Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Hii ni kutokana na kushamiri kwa matukio ya ukwapuaji hasa kwa watu wanaotoka kwenye sherehe majira ya usiku.
Polisi wanasema mwisho wa sherehe itakuwa saa 4:00 Usiku na atakayezidisha mda huo lazima aombe kibali maalumu na kulipia gharama za askari watakaotoa ulinzi baada ya muda huo.
Night weddings banned in Mombasa
Polisi wanasema mwisho wa sherehe itakuwa saa 4:00 Usiku na atakayezidisha mda huo lazima aombe kibali maalumu na kulipia gharama za askari watakaotoa ulinzi baada ya muda huo.
Night weddings banned in Mombasa