Mombasa: Shehena ya Pembe za ndovu yakamatwa Bandarini

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Shehena ya pembe za ndovu iliyokamatwa bandarini leo . Watuhumiwa walipakia shehena hii chini ya mzigo wa mbao na kufanikiwa kupita vizuizi vingi ila mwisho ilikuwa leo hapo bandarini.

Shehena hiyo imekamatwa katika bandari ya Mombasa.
 
Kulaleki wallah..!!

PM yupo busy na kaburi la faru john huku watu wanafanya yao.

Hii nchi ni zaidi ya uijuavyo.
 


Watuhumiwa waliweka shehena hiyo chini ya mzigo wa Mbao.

Walifanikiwa kupita katika vizuizi kadhaa lakini mwishowe walikamatwa.

Sipati picha nini kitawakuta chini ya utawala huu wa hapa kazi tu.

Chanzo : Ni mimi mwenyewe kwa sababu nipo bandarini.
 
Katibu mkuu maliasili mwanajeshi, mkurugenzi TANAPA awali alikuwa mkuu wa majeshi and host of assistant wanajeshi.

Bado kuna ujangili, kila mtu na taaluma yake.
 
Natamani maraika ashuke na kuzima JF.
 
Kalipia kibali[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wakiwauliza vizuri wanaweza wakaonyesha faru John aliko, lakini usije ukashangaa muhusika Ni kiongozi wa ccm na akapewa dhamana kama yule jangiri wa iringa
 
Kwani chini ya utawala huu hao ndo wa kwanza kukamatwa na shehena ya pembe za ndovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…