Mombasa vs Dar Es Salaam in 2018

Mombasa vs Dar Es Salaam in 2018

Very soon Mombasa will be bigger than Dar, watch this
 
Mwengine alipagawa hadi akaita mmwambao oman....yani nilicheka sana
 
ni uchizi kulinganisha dar yenye wakazi zaid ml.5 na mombasa yenye wakazi zaid ya ml.1.
 
ni uchizi kulinganisha dar yenye wakazi zaid ml.5 na mombasa yenye wakazi zaid ya ml.1.
Kwa hivyo nitakuwa sawa kusema mji wa Onitsha in Nigeria ni mkubwa kuliko Dar es salaam nikitumie vigezo vyako? Population yake ni 7 million.
Onitsha
1542726150806.png

1542726176119.png
 

Attachments

  • 1542726277222.png
    1542726277222.png
    198.7 KB · Views: 58
  • 1542726371297.png
    1542726371297.png
    181.2 KB · Views: 52
huwezi kusema population ndio kigezo cha maendeleo, dar watu wanafyatua tu na kuzaliana kama panya huku wakaazi wakiishi maisha duni ya uchochole na ukosefu wa miundo mbinu. Mombasa kuna surbabs/ estates za kutosha pamoja na miundo mbinu. in short watu wa darislum hawajielewi, yaani wapo wapo tu bora liende
 
huwezi kusema population ndio kigezo cha maendeleo, dar watu wanafyatua tu na kuzaliana kama panya huku wakaazi wakiishi maisha duni ya uchochole na ukosefu wa miundo mbinu. Mombasa kuna surbabs/ estates za kutosha pamoja na miundo mbinu. in short watu wa darislum hawajielewi, yaani wapo wapo tu bora liende

[emoji13][emoji13][emoji13]nyie watu mlitoroka zoo hapo nairobi.

Basi tufanye sisi tumekubali mombasa is ahead to dar.
 
Mombasa na Dar au Mombasa na Cape Town??
Teh teh teh tihiii
you must be serious.
Mombasa is at another level.
 
Back
Top Bottom