Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Duh...!, basi TISI huyu ni kiboko!, kama anaweza kupandisha bandiko kama hili kuhusu ofisi yake... TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! then atakuwa ni tisi wa ajabu.Mbona unaogopa mkuu. Sisi tunakujua kama ni TISS.
DahAjaye atatokea Unguja
Yaani PascalDuh...!, basi TISI huyu ni kiboko!, kama anaweza kupandisha bandiko kama hili kuhusu ofisi yake... TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! then atakuwa ni tisi wa ajabu.
P
Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika Kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyepo sasa!
Swali kwanini kwa kipindi hiki wamefukuzwa sana wakurugenzi wa idara hii?
Cc Pascal Mayalla
Britanicca
Pia Soma
- Uteuzi : Abubakar Mombo Ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa,Siwa Amestaafu.
Very unfortunately, kuna hawana mtu wa capability hiyo!, sio unaona mwenyewe watu wa kule!.Ajaye atatokea Unguja
Umetema nondo sanaAsingeweza kiwakumbatia wapinzni kwa sababu Wenyeviti wa vyama vikuu vya upinzani kwa maana ya Chadema na ACT walikua wamenunuliwa na mafisadi wakubwa ili wafanye vurugu kama ilivo Kenya leo. Zito angetumia udini na Mbowe Ukabila . Lisu hakujua kinachoendelea kawa anasimamia maamuzi ya Mwenyekiti atokeo yake akapigwa risasi kwa sababu ni kiongozi asiyekubali kurudi nyuma.
Kwenye siasa za upinzani Lisu ni tishio hata kwa wapinzani wenzake achilia mbali CCM.
Msigwa ni chawa wa Lisu ndani ya CCM. Lisu akishinda uchaguzi Msigwa atarudi Chadema.
Mafisadi walicheza mchezo wa sayansi kubwa sana ya siasa.
Tanzania ni nchi yenye mabilionea wengi sana wanaoficha pesa majumbani kama somalia kutokana na kutopenda mifumo ya riba kwenye mabanki. Wengi hawalipi kodi.
Mabilionea Waliopo wangelipa Kodi inavyotakiwa hakikauchumi wa nchi ungekua kwa Kasi sana.