DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu wangatala, hiki kichwa @bratanicca ni habari nyingine!, alinipaga kisa cha banyamulenge fulani, aliyezaliwa na baba sio Mtanzania, mama Mtanzania, akazaliwa huko alikozaliwa, alipofikisha umri wa miaka 5, yeye na mama yake na dada yake wakarejea Tanzania, wakabadili majina ya kibanyamulenge wakaachana nayo na kuchukua majina ya Kitanzania, wakawa Watanzania!. Hicho kisa cha huyo Banyamulenge ndicho kikanifungua macho, kwa wale "jamaa zetu", ni hakuna kitu kabisa pale ni madafu tupu yamepangana!, hakuna cha vetting wala cha nini!.
Huyu jamaa ni habari ingine!.
P
 
Mkuu wangatala, hiki kichwa @bratanicca ni habari nyingine!, alinipaga kisa cha banyamulenge fulani, aliyezaliwa na baba sio Mtanzania, mama Mtanzania, akazaliwa huko alikozaliwa, alipofikisha umri wa miaka 5, yeye na mama yake na dada yake wakarejea Tanzania, wakabadili majina ya kibanyamulenge wakaachana nayo na kuchukua majina ya Kitanzania, wakawa Watanzania!. Hicho kisa cha huyo Banyamulenge ndicho kikanifungua macho, kwa wale "jamaa zetu", ni hakuna kitu kabisa pale ni madafu tupu yamepangana!, hakuna cha vetting wala cha nini!.
Huyu jamaa ni habari ingine!.
P
Na akakulia Mugakorongo ni Hatari mno Hiyo umenikumbusha Katto

Britanicca
 
Emb acha utani Steve Nyerere ninayemjua mm au
yes, ipo humu, it is the most controversial scandal for the government these last few days

Steve Nyerere yupo kwenye bar ndani ya ndege, business class, anaomba kuongezewa pombe, enroute to South Korea in a presidential entourage.

Mhudumu anamuuliza, ushamaliza pombe ulivyokuwa nayo, Steve hawezi kujibu, anacheka cheka tu..... sasa ataenda kufanya nini cha maana kwa Taifa kama hawezi hata kusemeshana na bar maid wa kwenye ndege ? They are chucking our tax money down the toilet drain. Criminal malfeasance.
 
Duh....!, mbona sasa ndio umemharibia?. Hata kama ilikuwa iwe hivyo kiukweli, sasa umeisha mharibia!, all and all, japo ile ya Katto ni kweli, huu ni uongo na uzushi tuu!

Kwa nini umenitag mimi tuu?!, kama uongo huu ungekuwa kweli, na ingekuwa na mimi ni mtu wa kule, si ungeniponza bure kuonekana kama ni mimi ndie navujisha?!.

P
Huwa unajua kucheza na upepo..
 
britanicca kama wewe siyo nabii, basi utakuwa sijui kiumbe wa namna gani, Nape na Makamba wametumbuliwa usiku huu
 

Attachments

  • IMG-20240721-WA0038.jpg
    IMG-20240721-WA0038.jpg
    179.6 KB · Views: 14
Back
Top Bottom