DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimeandika kwa uchungu kutokana na jinsi Watanzania wasivyojua mambo ya nchi yao wenyewe. Wanadhani eti watu wa usalama huwa wana mandate ya kuzuia wiz au kutapanya mali ya umma au kwamba bosi wao Ikulu huwa hapendi wizi au mtapanyo, waste and abuse.

Kiongozi anaechukua kodi zenu anaenda kuzichoma kwa kuwapandisha kina Steve Nyerere first class kuzunguka dunia anajali ubadhilifu wa mali ya umma ?????
Emb acha utani Steve Nyerere ninayemjua mm au
 
Humu Tu.
IMG_20240712_162357.jpg
 
tulimvumilia kwa uzi wake ule alioleta utabiri mwaka 2015. akaweka jina mwishoni kwenye watu 10 uwezekano wa kuwa kiongozi mkuu, hakika kama alivyooneshwa kwa jicho la rohoni ikawa. alijipatia sifa na heshima humu jukwaani; leo wanajitokeza wenye maono anawabeza na kuwaita waongo. 😠
Aliyetabiri Magufuli atakua Rais ni member anajiita MAGAMBA MATATU hiyo ilikua mwaka 2012 .Pasko kama kawaida yake alicopy na kupaste idea ya jamaa kwa thread yake ya mwaka 2014 alafu akataka kujisifia kuwa yeye ndio katabiri 😆😆👇👇

 
Aliyetabiri Magufuli atakua Rais ni member anajiita MAGAMBA MATATU hiyo ilikua mwaka 2012 .Pasko kama kawaida yake alicopy na kupaste idea ya jamaa kwa thread yake ya mwaka 2014 alafu akataka kujisifia kuwa yeye ndio katabiri 😆😆👇👇

Plagiarism Pascal Mayalla
 
Aliyetabiri Magufuli atakua Rais ni member anajiita MAGAMBA MATATU hiyo ilikua mwaka 2012 .Pasko kama kawaida yake alicopy na kupaste idea ya jamaa kwa thread yake ya mwaka 2014 alafu akataka kujisifia kuwa yeye ndio katabiri [emoji38][emoji38][emoji116][emoji116]

MAG3 alitaja jina la mwanasiasa yeyote moja kwa moja kwenye andiko lake?

Pascal Mayalla aliwezaje kukisia jina halisi la mwanasiasa katikati ya miamba Lowassa na Membe?


Kama unabeza uwezo wa mtu, utaishi kwa huzuni kila siku kutokana na mafanikio yake. Badilika!
 
Aliyetabiri Magufuli atakua Rais ni member anajiita MAGAMBA MATATU hiyo ilikua mwaka 2012 .Pasko kama kawaida yake alicopy na kupaste idea ya jamaa kwa thread yake ya mwaka 2014 alafu akataka kujisifia kuwa yeye ndio katabiri 😆😆👇👇

Mkuu masare, heshima kitu cha bure, kitendo cha kuniita mimi ni mwizi kwa kufanya plagiarism kwa copy and paste, sio kunitendea haki,
1. Kwanza naomba weka threads zote mbili kwa pamoja. - Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa
- Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
2. Kisha compare and contrast.
3. Onyesha any copy and paste kutoka kwenye thread yangu ambacho nime copy na kupaste.
Nitakushukuru!.
P.
 
MAG3 alitaja jina la mwanasiasa yeyote moja kwa moja kwenye andiko lake?

Pascal Mayalla aliwezaje kukisia jina halisi la mwanasiasa katikati ya miamba Lowassa na Membe?

Kama unabeza uwezo wa mtu, utaishi kwa huzuni kila siku kutokana na mafanikio yake. Badilika!
Mkuu, Uhakiki , asante kunitetea, baadhi ya madogo humu hawana uwezo wa kuchambua mada kwa compare and contrast.
Hakuna copy and paste yoyote.
P
 
Back
Top Bottom