Moment ambayo hauwezi kuisahahau

Moment ambayo hauwezi kuisahahau

Ohooo,mshua tena?[emoji16]
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku form six leavers wanapo jiona maninja na kutaka kutoroka kambi vumbi linawatifukia ,kuna mmoja alikufa kipindi cha adhabu 💪💪.
GLU™
 
Mkuu financial services namba tatu big up hio hata Mimi imenisaidia sana
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuwasilisha.....
IMG-20200322-WA0004.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 7 iliyopita wakati nipo 833kj Kama mkufunzi tulikuwa tuna wapigisha RTS aisee wale madogo walikuwa walikuwa balaa sana kuna Recruit moja alikuwa anaitwa Pizzo uyu kuruta alikuwaja jau kichwa kibovu cjapata ona yani dah...

Ilikuwa ivi alikuwaga na bifu na mkufunzi mmoja ivi sasa wakati wanabifu wakati jamaa alikuwa anampiga sana yule dogo madoso kibao kuna siku mzee dogo akachoka akasema uyu mkufunzi kuna siku nitakuja mfanyia tukio asije sahau maishani mwake mwote kweli bhana Jw na jkt ni tofauti sana uku akuna kudoji akuna kusema cjui upo singe cjui nn kazi ni moja tuu kwa wote ukiwa unazingua mwisho wa siku unakuwa utoshi kuwa kamanda.

Siku ya siku ikafika ya kwenda Range kupiga shabaha aisee Pizzo ile detail aliyipangwa bhana ww walianza kupiga kwa kulala wakaja kusimama wakaja kupiga goti aisee Yule kuruta Pizzo c akataka mpiga yule mkufunzi dah tulitahamaki sana aisee sitakuja sahau kuna kuruta wamedata aisee...hahahahaha ulikuwa kichwa kibovu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

121.
 
Miaka 7 iliyopita wakati nipo 833kj Kama mkufunzi tulikuwa tuna wapigisha RTS aisee wale madogo walikuwa walikuwa balaa sana kuna Recruit moja alikuwa anaitwa Pizzo uyu kuruta alikuwaja jau kichwa kibovu cjapata ona yani dah...

Ilikuwa ivi alikuwaga na bifu na mkufunzi mmoja ivi sasa wakati wanabifu wakati jamaa alikuwa anampiga sana yule dogo madoso kibao kuna siku mzee dogo akachoka akasema uyu mkufunzi kuna siku nitakuja mfanyia tukio asije sahau maishani mwake mwote kweli bhana Jw na jkt ni tofauti sana uku akuna kudoji akuna kusema cjui upo singe cjui nn kazi ni moja tuu kwa wote ukiwa unazingua mwisho wa siku unakuwa utoshi kuwa kamanda.

Siku ya siku ikafika ya kwenda Range kupiga shabaha aisee Pizzo ile detail aliyipangwa bhana ww walianza kupiga kwa kulala wakaja kusimama wakaja kupiga goti aisee Yule kuruta Pizzo c akataka mpiga yule mkufunzi dah tulitahamaki sana aisee sitakuja sahau kuna kuruta wamedata aisee...hahahahaha ulikuwa kichwa kibovu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

121.
Hivi visa vipo sio uongo ndiyo yale ya kwenye movie ya full metal jacket yule bonge alikuwa anaitwa pvt Leonard aka mpa risasi za kutosha mwalimu wake na yeye aka jiua.
 
Nanga la demo hilo, unanikumbusha nilikua nasinzia kwenye kwata, dah nikashuhudia ngumi moja ya mgongo kama naota vile kumbe kweli aii,sitamani kurudi hata fimbo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nanga mwanzoni ikanisaidia kumla MP aliyekuwa ananifuatilia kila siku kunipa doso, CU Kimbiji hiyo! Yule Afande alinifanya niishi maisha mstarehe baada ya hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 7 iliyopita wakati nipo 833kj Kama mkufunzi tulikuwa tuna wapigisha RTS aisee wale madogo walikuwa walikuwa balaa sana kuna Recruit moja alikuwa anaitwa Pizzo uyu kuruta alikuwaja jau kichwa kibovu cjapata ona yani dah...

Ilikuwa ivi alikuwaga na bifu na mkufunzi mmoja ivi sasa wakati wanabifu wakati jamaa alikuwa anampiga sana yule dogo madoso kibao kuna siku mzee dogo akachoka akasema uyu mkufunzi kuna siku nitakuja mfanyia tukio asije sahau maishani mwake mwote kweli bhana Jw na jkt ni tofauti sana uku akuna kudoji akuna kusema cjui upo singe cjui nn kazi ni moja tuu kwa wote ukiwa unazingua mwisho wa siku unakuwa utoshi kuwa kamanda.

Siku ya siku ikafika ya kwenda Range kupiga shabaha aisee Pizzo ile detail aliyipangwa bhana ww walianza kupiga kwa kulala wakaja kusimama wakaja kupiga goti aisee Yule kuruta Pizzo c akataka mpiga yule mkufunzi dah tulitahamaki sana aisee sitakuja sahau kuna kuruta wamedata aisee...hahahahaha ulikuwa kichwa kibovu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

121.
Ilikua ndani ya wiki sita au baada na alichukuliwa hatua zipi!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona hayo yote unaweza kujifunza bila kwenda jeshini
 
Katika maisha yangu siwezi kusahau siku ambayo nilikua jkt 821 kj Bulombora Egle coy mujibu wa sheria nikiwa katika harakati za hapa na pale za usumbufu wangu nakujikuta mjanja.

Nilikua mzee wakudoji sana basi siku hio nikawa nimechaguliwa kwata kwa kua nimrefu hivi nikawa right maker chini ya afande Ali na afande Mbaga bhasi siku hio ilikua siku ya mateso makali sana kwangu.

Sikujua hata kugeuka nyuma geuka na vile Niko mbele nikikosea kiboko cha mgongo mwendo wa pole chenga siwezi right maker huyo.

Kesho yake nikaingia mitini nikaenda zangu kuogelea bhasi jioni tukafoleni kumbe wameandika majina waliokua kwata na sehem zingine kama singe N.k

Bhasi mzee mzima nikakamatika nikaulizwa wewe ulikua kitengo gani nikajibu singe nikasimamishwa nikauliza tuoneshe kidogo hio singe imachezwa vipi daaaah
hahahahahahaaaaa!!!!!!!

Nilikula mbarati nakuning'inizwa kama chapati singe nilirusha ile fimbo kama nawinda kwale kumbe singe ina step zake mzee

Coy nzima ilikua ni furaha na vicheko vikali nikatundika mpaka miguu na mikono vikataka kukatika.

Ila siku ile nilikua kituko cha coy uzuri ilikua usiku ko sikuonekana sana na wananzengo.

Sent using Jamii Forums mobile app
ilikua mwaka gani mkuu?
 
Back
Top Bottom