Moment ambayo hauwezi kuisahahau

Ohooo,mshua tena?[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku form six leavers wanapo jiona maninja na kutaka kutoroka kambi vumbi linawatifukia ,kuna mmoja alikufa kipindi cha adhabu 💪💪.
GLU™
 
Mkuu financial services namba tatu big up hio hata Mimi imenisaidia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 7 iliyopita wakati nipo 833kj Kama mkufunzi tulikuwa tuna wapigisha RTS aisee wale madogo walikuwa walikuwa balaa sana kuna Recruit moja alikuwa anaitwa Pizzo uyu kuruta alikuwaja jau kichwa kibovu cjapata ona yani dah...

Ilikuwa ivi alikuwaga na bifu na mkufunzi mmoja ivi sasa wakati wanabifu wakati jamaa alikuwa anampiga sana yule dogo madoso kibao kuna siku mzee dogo akachoka akasema uyu mkufunzi kuna siku nitakuja mfanyia tukio asije sahau maishani mwake mwote kweli bhana Jw na jkt ni tofauti sana uku akuna kudoji akuna kusema cjui upo singe cjui nn kazi ni moja tuu kwa wote ukiwa unazingua mwisho wa siku unakuwa utoshi kuwa kamanda.

Siku ya siku ikafika ya kwenda Range kupiga shabaha aisee Pizzo ile detail aliyipangwa bhana ww walianza kupiga kwa kulala wakaja kusimama wakaja kupiga goti aisee Yule kuruta Pizzo c akataka mpiga yule mkufunzi dah tulitahamaki sana aisee sitakuja sahau kuna kuruta wamedata aisee...hahahahaha ulikuwa kichwa kibovu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

121.
 
Hivi visa vipo sio uongo ndiyo yale ya kwenye movie ya full metal jacket yule bonge alikuwa anaitwa pvt Leonard aka mpa risasi za kutosha mwalimu wake na yeye aka jiua.
 
Nanga la demo hilo, unanikumbusha nilikua nasinzia kwenye kwata, dah nikashuhudia ngumi moja ya mgongo kama naota vile kumbe kweli aii,sitamani kurudi hata fimbo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nanga mwanzoni ikanisaidia kumla MP aliyekuwa ananifuatilia kila siku kunipa doso, CU Kimbiji hiyo! Yule Afande alinifanya niishi maisha mstarehe baada ya hapo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua ndani ya wiki sita au baada na alichukuliwa hatua zipi!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mbona hayo yote unaweza kujifunza bila kwenda jeshini
 
ilikua mwaka gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…