Miaka 7 iliyopita wakati nipo 833kj Kama mkufunzi tulikuwa tuna wapigisha RTS aisee wale madogo walikuwa walikuwa balaa sana kuna Recruit moja alikuwa anaitwa Pizzo uyu kuruta alikuwaja jau kichwa kibovu cjapata ona yani dah...
Ilikuwa ivi alikuwaga na bifu na mkufunzi mmoja ivi sasa wakati wanabifu wakati jamaa alikuwa anampiga sana yule dogo madoso kibao kuna siku mzee dogo akachoka akasema uyu mkufunzi kuna siku nitakuja mfanyia tukio asije sahau maishani mwake mwote kweli bhana Jw na jkt ni tofauti sana uku akuna kudoji akuna kusema cjui upo singe cjui nn kazi ni moja tuu kwa wote ukiwa unazingua mwisho wa siku unakuwa utoshi kuwa kamanda.
Siku ya siku ikafika ya kwenda Range kupiga shabaha aisee Pizzo ile detail aliyipangwa bhana ww walianza kupiga kwa kulala wakaja kusimama wakaja kupiga goti aisee Yule kuruta Pizzo c akataka mpiga yule mkufunzi dah tulitahamaki sana aisee sitakuja sahau kuna kuruta wamedata aisee...hahahahaha ulikuwa kichwa kibovu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
121.