JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
-
- #21
Amarok ina sifa zipi za ziada kuipiku land cruiser V8 Kwenye speed....naomba elimu zaidi Kwenye hili
Mbona kama ilikuwa ni kuwahiana?
Mara ya kwanza Amarok alimuwahi cruiser na kumburuta lakini mara ya pili cruiser kamuwahi Amarok ndiyo maana kashinda!
Hebu lete Amarok v/s hilux..
Chukua hio Land cruiser tuitafute Mbeya au popote unapotaka uone kama hio LC itaona hata taa za hio Amarok. Hapo Amarok inazidiwa nguvu simply because hio lc ni cc3000 au zaidi wakati Amarok ni cc2000 bahati nzuri mbio na perfomance nyingine hazihitaji maguvu yote hayo.
Landcruiser ya mwaka sawa na Amarok anamnyoosha vizuri tu huyo Amarok
Sio hio cruiser mzee, vx v8 260kph anamfua kilaini kabisa huyo Amarok
Hio v8 naipa amarok v6 hataona hata imepita wapi. Amarok ni pick up lakini hata kwenye kona hio vx haithubutu kufuata
Hakuna haki hapo...
Amarok Vs discovery 4
Kwenye ligi ya kuitafuta mbeya Mimi nitaendesha disco alafu wewe tumia amarok alafu utaona kama sijakuacha zaidi masaa 2
V6 late modelsSijabahatika kukutana na V6 ila hata ya kawaida moto wake si haba.
V6 late models
Siyo rahisi hiyo Amarok kutanua mbavu kwa hiyo LC kwa kuvutana...Hiyo amaroki imepewa mshindani aliyemzidi nguvu sana...Vipi kama Amarok angeshinda?
Duh kazi ipo! Hilux ndio mnyonge kwenye pick upsMpelekeeni mwenzie Hilux 1GD-FTV basi muone inakuwaje! 2.8L for show!
Atleast atashindwa kwa haki ila sio kumletea ubishi mtu mwenye 235HP+ Kwenye 1VD...ila ukikuta hilux ilioko tuned inakalisha huyo amarok mchana kweupe!Duh kazi ipo! Hilux ndio mnyonge kwenye pick ups
Sasa ukizungumzia tuning hata Vitz ikiwa tuned itaipiga stock GX 100. Hilux,Prado za 2016/7 nishazipiga sana highway nikiwa na mtoto wa VW. Hayo malori hayakuumbiwa mbio.Atleast atashindwa kwa haki ila sio kumletea ubishi mtu mwenye 250HP+ ila ukikuta hilux ilioko tuned inakalisha huyo amarok mchana kweupe!
Amarok yenyewe sio naturally aspirated hata hivyo!Sasa ukizungumzia tuning hata Vitz ikiwa tuned itaipiga stock GX 100. Hilux,Prado za 2016/7 nishazipiga sana highway nikiwa na mtoto wa VW. Hayo malori hayakuumbiwa mbio.
Chuma VX R au Y62 V8
Naona umeamua kunichosha. Hio ni stock 2.0tdi kama Hilux ni stock 3.0tdi.Amarok yenyewe sio naturally aspirated hata hivyo!
Naona umeamua kunichosha. Hio ni stock 2.0tdi kama Hilux ni stock 3.0tdi.
Au mwenzetu ukizungumzia tuned unamaana kila gari yenye turbo?
Turbo diesel sio?Hilux ni 2.8
Nmeona kuna video nyingine ya Amrok vs Hulux.Siyo rahisi hiyo Amarok kutanua mbavu kwa hiyo LC kwa kuvutana...Hiyo amaroki imepewa mshindani aliyemzidi nguvu sana...
Yaani hapo ni Sawa na Yanga uwachezeshe na Man U..[emoji26][emoji26]