mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Mwanaharakati huruHukijui cheo cha Musiba wakati wa Jiwe?
Kumbe mwizi tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaharakati huruHukijui cheo cha Musiba wakati wa Jiwe?
Watu mna data za tangu 1995.Yeye mwenyewe ni chawa wa enzi na enzi tangu wakati wa Mrema NCCR mageuzi na alitumika sana dhidi ya Mrema na baada ya Mrema kufifia amekuwa akitumika dhidi ya CHADEMA.
Hata wakati alipopinduliwa uongozini UDP dola iliingilia kupitia. Msajili akarudishiwa uongozi hadi leo.
Aseme lingine lakini hilo la uchawa inabidi yeye. ndio aanze kuacha kama kweli ana.maanisha
Ongeza na Tantalila sijui Tlaatla!Watu mna data za tangu 1995.
RMC unaweza kua na data za
Hawa chawa wa Nyanda za juu kusini
ChoiceVariable &
Lucas Mwashambwa ?
Ni TlaatlaahOngeza na Tantalila sijui Tlaatla!
Hiyo Tlaatlaa ni sauti ya mashuzi anayojamba akaona na ID aipe jina hiloho ili aendelee kujamba mashuzi humu.
Lakini hakua na madarakaNyani halioni kundule, wakati yeye alipogeuka kuwa chawa wa Magufuli anadhani tulikuwa tumelala?
Isaac Cheyo ndio anajitambuwa siyo hii takataka.Chawa kuu linaongelea machawa wenzie.
Alishasahau kipindi cha Magufuli alikuwa chawa na moja wa kutokea upinzani aliekuwa akiimba mapambio ya Magufuli.
Anakumbuka shuka kumeshapambazuka.Isaac Cheyo ndio anajitambuwa siyo hii takataka.
Hayo masukuma gang ndio hana habari nayo kabisa, ndio maana Shibuda kakubali matokeo kajikalia kimya.Anakumbuka shuka kumeshapambazuka.
Kizimkazi ana deal na wa Kizimkazi wenzie. Yeye John apambane na hali yake tu.
I think a senior politician John Momose Cheyo is not relevant any more in country's current political temperature, we should not take him seriously unless we are also done with no new ideas or thinking capacity ..Ongeza na Tantalila sijui Tlaatla!
as a young visionary political leader of a constituency,
I am superstitious.😅I think a senior politician John Momose Cheyo is not relevant any more in country's current political temperature, we should not take him seriously unless we are also done with no new ideas or thinking capacity ..
nyumbu or chawa identities are narratives which have completely no impacts in country's politics unless someone is superstitious 🐒
Kwanza atakuwa haelewi maana ya chawa, simply ni wapambe.Ni wapi hapa Duniani Kuna shughuli ya Kisiasa au kijamii ikakosa wapambe?Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Kwahiyo wewe ni mpambe wa Samia?Kwanza atakuwa haelewi maana ya chawa, simply ni wapambe.Ni wapi hapa Duniani Kuna shughuli ya Kisiasa au kijamii ikakosa wapambe?
Hilo swala ni impossible sana sana itakuwa ni Majina kubadilika tuu kulingana na nyakati.
Ni aibu nchi kugeuka ya chawa, ni nchi ya kijinga snHuyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Yeye ni kupe wa SamiaKwahiyo wewe ni mpambe wa Samia?
Asante mzee, professionalism ipewe kipaumnele namba moja kuliko uchawa kama ilivyo sasa!!Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560