Hili povu, watu mmevurugwa vibayaaaa.Kukuza shoga ndio usmart wa siku hizi??
Unaanzaje kuwa smart ikiwa kumlea mtoto kwenye malezi ya maadili unashindwa??
Tutolee UCHAWA wako hapa.
Bora umemuambiaaaa yaanWewe sasa ndio shoga mada ya Monalisa na mafanikio yake ila kwa kua huwezi kutuliza kinyeo chako hadi kila mtu akujue ulivyo ukaamua kuchomeka agenda yako
Wanawaza ushoga, kuliko chochoteee.yani mashoga hamuwezi kujificha kila mahali mpk muweke agenda yenu, si mkulane kimya kimya ni lazima mtutambie [emoji849]
noma sana povu juu ya povuHAPO JUU KUNA MPAMBANO MKALI SANA WA KUTUKANANA🤣🤣🤣🤣
Majinga hayo,Wanawaza ushoga, kuliko chochoteee.
Yaan acha tyuuhMajinga hayo,
Ndio miharibifu yenyewe ya watoto hayo
MWIGIZAJI Mtanzania Yvonne Cherrie, maarufu kama ‘Monalisa’ ameshinda tuzo ya kimataifa Emmy Kids 2022 katika series ya ‘My Better World Show’ kwa kuingiza sauti kwa lugha ya Kiingereza.
Baada ya ushindi huo, Monalisa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram ameandika “Miaka minne iliyopita, nilikuwa mmoja wa waigizaji tuliochaguliwa kuingiza sauti kwa lugha ya Kiingereza katika series ya My Better World Show ambapo mimi binafsi nilitia sauti ya wahusika watatu.
Napenda kukujulisha kuwa, series hiyo imeshinda moja kati ya tuzo kubwa sana duniani, tuzo za EMMYS 2022, katika Kipengele cha International Emmy Kids: Entertainment and Factual. Na usiku wa jana tulipata wasaa wa kukutana CAST and CREW ili kusherehekea ushindi huo.”ameandika Monalisa.
Amemaliza kwa kuandika “Sio mbaya ukaanza kuniita Emmy award winner voice over artist. Hongera kwa Timu nzima kwakweli, maana ni kazi kubwa iliyoshirikisha watu mbalimbali wa nchi mbalimbali za Afrika.”
Maisha binafsi ni yale ambayo hayajulikankHayo ni maisha binafsi, hata wewe unaweza kubali ukaruhusiwa tu
Nilikuwa najiuliza mbongo na english wapi na wapi! Hilo ulilolisema, hilo ndo limefanya apewe tuzoU-smart wake uko wapi kama kakubali kijana wake kuwa shoga?
Nilikuwa najiuliza mbongo na english wapi na wapi! Hilo ulilolisema, hilo ndo limefanya apewe tuzo
Hela zinaingiaje hapa. Na wivu unaingiaje hapa. Jibu hoja acheni short cut. Eboo.Wivuuuuu,
Tafuta helaaaaa
Amefeli kumlea mtoto wake kuwa ndume.Sasa ushoga wa mtoto na u smart wa mama inahusu nn??
Lol.
mtu smart anaza shogaHuyu dada yupo smart sana, hata kwenye interviews zake utamuona,
Kila la kheir kwake na afike mbali zaidi
Ukiwa na hela huwezi kua na wivu wa maendeleo ya mtu mwingine tena msiyefahamiana,Hela zinaingiaje hapa. Na wivu unaingiaje hapa. Jibu hoja acheni short cut. Eboo.
Ni smart, famous and rich,mtu smart anaza shoga