Monalisa ashinda tuzo Kimataifa ya Emmy Kids 2022

Monalisa ashinda tuzo Kimataifa ya Emmy Kids 2022

Ukiwa na hela huwezi kua na wivu wa maendeleo ya mtu mwingine tena msiyefahamiana,
Maskini pekee ndio hua wana makasiriko muda wote.
Laiti ungejua matajiri wana wivu mbaya usingesema. Wengi wao hawapendi kuona wengine wananyanyuka kiuchumi.
 
Nilikuwa najiuliza mbongo na english wapi na wapi! Hilo ulilolisema, hilo ndo limefanya apewe tuzo
Kha! eti mbongo na English wapi na wapi [emoji28], we babu pole kwa kupata elimu duni, Monalisa sio level yako
 
Kha! eti mbongo na English wapi na wapi [emoji28], we babu pole kwa kupata elimu duni, Monalisa sio level yako
Mtoto wa dandu anatetemeka huko kabulini kusikia kuwa mtoto wake wa kiume naye anapelekewa moto na mwanaume mwingine mpaka analalamika taratibu unaniumiza
 
sorry siwezi shindia mihogo na maji, nina uwezo w kuajiri huyo monalisa na ukoo wako wote
Mwalimu una Mbwembwe!


 
Mwalimu una Mbwembwe!


hamna mbwembwe ,awalimu ni ajira tu kuna maisha mengi nje ya ualimu, ficha mdomoni kauli zako si kila mwalimu ni fala
 
Mtoto wa dandu anatetemeka huko kabulini kusikia kuwa mtoto wake wa kiume naye anapelekewa moto na mwanaume mwingine mpaka analalamika taratibu unaniumiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Huyu dada yupo smart sana, hata kwenye interviews zake utamuona,

Kila la kheir kwake na afike mbali zaidi
Alipotoka ni mbali na aliyopitia ni mengi
20230317_081850.jpg
 
Back
Top Bottom