Monalisa: Natamani kuolewa

Hayo ni mapito tu. Pengine kuna alilojifunza tokana na aliyoyafanya/kuyapitia.

Alafu mi mbona huwa sisikii skendo zake?

Nani ana mda nae? Hana bwana wa maana kama kina CK, hana maisha mazuri inshort maisha yake ya kawaida sana na hana jipya yule kashafulia, japokuwa ni muigizaji first class bongo movie mwenye kiwango cha kimataifa, mona kwenye sanaa ni kifo yule hakunaga kama yu
 

Kwani we umeongea na wanamme wote wakasema hawana muda nae?
 

Aya ni mambo ya kina martin na wenzao wakina remtullar
 
Kwani kutamani kuolewa no kosa!? Au ndo kabakia muoaji mmoja tu duniani kaba akiolewa ndo hakuna engine kuolewa tens!? Hata kama alishaolewa mara laki muacheni, ni yeye, ni maisha yake... 😱😱
 

Sawa warumi ila kunam engi ya kuangalia hapa

Na kama alikuwa wa kwake kwanini waliachana na utakuta jamaa sasa ana mke labda na watotona mke mwingine
 

Samahani nauliza tu nifahamu "wewe ni 'he' au 'she ?
 
Kibongo bongo kwa umri wako ili uolewe lazima uwe na moja ya hivi;
1. Pesa za kumlea "mumeo";
2. Wezere la kuvunja chagga;
3. Rangi ya kuvutia.
Sasa nikiangalia sijui unaangukia wapi hapo
 
Unajua hata gari ya kununua Third hand huwa ina matatizo lukuki. Kila mtu katia miaka yake humo tu. Odo imetembea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…