Tetesi: Mond atimka Madale,chanzo Hamisa

Tetesi: Mond atimka Madale,chanzo Hamisa

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
220
Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana kwamba hatua ya Mond kuondoka madale ni baaada ya mama mzazi huyo kukutaa uhusiano wa Mond na Hamisa,kwani kwa sasa wamerudiana.Mama Mond anaamini mwanae kwa sasa amepigwa misumali kwani tangu atoke white house madale anaishi nyumbani kwa kina mobeto na amekuwa mnywaji kupindukia.

Nitarudi tena.
 
mmmh bora tuhamie kwenye udaku tu hakuna namna!
 
Taarifa za uhakika kabisa nilizopata toka kule madale ni kwamba hali sio shwari kwani msanii wetu mkubwa yuko katika ugomvi mkubwa na mamaye chanzo kikiwa ni mama mtoto wake Mobeto.Inasemekana kwamba hatua ya Mond kuondoka madale ni baaada ya mama mzazi huyo kukutaa uhusiano wa Mond na Hamisa,kwani kwa sasa wamerudiana.Mama Mond anaamini mwanae kwa sasa amepigwa misumali kwani tangu atoke white house madale anaishi nyumbani kwa kina mobeto na amekuwa mnywaji kupindukia.

Nitarudi tena.
kwani hao uliowataja ndo kina nani? mimi hapa chaka...wengine tupo huku Namanyere Nkansi mjue!
 
Unaambiwa ukitaka kujua stori za tajiri au aliyefanikiwa, mpaka chupi unayovaa, chakula anachokula basi utaipata kwa maskini au jobless...

Ukitakajua boksa anayovaa Bakhersa basi nenda pande za Tandale huko, Temeke..utazipata

Sijui tumelogwa na nani yarabii toba
 
Unaambiwa ukitaka kujua stori za tajiri au aliyefanikiwa, mpaka chupi unayovaa, chakula anachokula basi utaipata kwa maskini au jobless...

Ukitakajua boksa anayovaa Bakhersa basi nenda pande za Tandale huko, Temeke..utazipata
Msaidieni boss wenu
 
Back
Top Bottom