Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Haya ndio tunayoweza Wabongo
nini tena zaidi ya haya ndugu yangu.........wewe unaona kuna kingine kinachofaa kwa sasa......?......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio tunayoweza Wabongo
iron finger. Diamond alihojiwa Kenya kwenye TV akasema hajawahi kugusa pombe tangu azaliwe.Sana
Na wewe ukaamini?iron finger. Diamond alihojiwa Kenya kwenye TV akasema hajawahi kugusa pombe tangu azaliwe.
Safi kwani magezeti si yanatoka hapo swax town au wew uko boda kabisa ziwa tanganyika uko!kwani hao uliowataja ndo kina nani? mimi hapa chaka...wengine tupo huku Namanyere Nkansi mjue!
Wewe unaamini vipi anakunywa?Na wewe ukaamini?
Hapana! Wabongo wa familia yanguWewe au umekuwa msemaji wa wabongo wote?
Kabisa inabidi kwasasa tubobee kwenye udaku tu!nini tena zaidi ya haya ndugu yangu.........wewe unaona kuna kingine kinachofaa kwa sasa......?......
ANAKATA KILAJI KAMA HANA AKILI NZURI NOW!Diamond anakunywa pombe?
Kiufupi jamaa ana hali mbaya tunaomjua tunamsikitikia hayupo sawa, mlevi,haendi studio nguvu kubwa ya ushirikina na stress vinamtesaMapenzi yanaweza jenga au Kubomoaa... Na yakibomoa yanabomoaa kwelii hayaachi hata jiwe moja likisimama juu ya jiwe linginee..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaaAsubuhi sana hii ata Mod bado hawajafanya Usafi kwenye majukaa yao .
Nini tena mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe jamaa
Hata wakati anafanya collabo na P Square walimshangaa sana kwani walimuandalia na Couvoisier, Jack Daniel, Henessy jamaa aliwaambia juice na maji vinatoshairon finger. Diamond alihojiwa Kenya kwenye TV akasema hajawahi kugusa pombe tangu azaliwe.
Umenifurahisha tuNini tena mkuu
Sky Eclat labda kwa sasa anapiga kinywaji.Hata wakati anafanya collabo na P Square walimshangaa sana kwani walimuandalia na cavosier, Jack Daniel, Henessy jamaa aliwaambia juice na maji vinatosha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Umenifurahisha tu