Monday Morning Special!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaambiwa group la kuelimishana sijui kufanya nn kufika anaambiwa inabidi utume picha tukujue akatuma bwana mtu wa jf hajui kama huyu ni mzigua asije nayo jf kuipost kwenye mapicha
Hehehe sasa huyo mtu kiherehere gani kilimtuma akaenda kupost huko
 
Umesomeka
 
Ahahaa ameenda wapi?
Kitu kimoja watu wajue.ugomvi wa nifah na ngabu Mimi siujui.nifah was my friend kama nilivosema mwanzoni kila mwanamke wa jf nilimchukulia kama shosti wangu.nilikuwa namuheshimu sana
JF kweli kuna mambo, wapo waliogombana tena? kazi ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…