Monday Morning Special!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo akaanza kuji introduce kama anaomba kazi bank [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

hahhah yani kiukweli nilikuaga nakutafutiaga visa tu kwenye lile ID langu la zamani lakini ulikua hujai kwenye 18 kabisaaa Mwanamke unabusara sana wewe, Nimeamua nikupende tu..Thumbs Up
 
hahhah yani kiukweli nilikuaga nakutafutiaga visa tu kwenye lile ID langu la zamani lakini ulikua hujai kwenye 18 kabisaaa Mwanamke unabusara sana wewe, Nimeamua nikupende tu..Thumbs Up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umenichekesha ujue. Kwahiyo mkuu ulikua unanichokoza tu ili nikujibu uniseme zaidi eeh?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Umenichekesha ujue. Kwahiyo mkuu ulikua unanichokoza tu ili nikujibu uniseme zaidi eeh?

Kiukweli ndivyo ilivyokua halaf wala hata sikua na sababu ya msingi basi tuu..ehehheeh
 
JF kweli kuna mambo, wapo waliogombana tena? kazi ipo
Kuna beef la ngabu na nifah sasa Mimi nikaonekana nina urafiki na ngabu ikawa shida bna.kumbe picha ya nifah ililetwa humu Mimi maskini hata sikuona pia nisingependa au kushabikia hilo jambo.Ila nikafanywa adui wa wasiojulikana bila sababu.
 

You said it all [emoji1476][emoji1476]mydear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…