Monday Morning Special!!

Monday Morning Special!!

Haya hapa ni maelezo yako >>>>Kuna beef la ngabu na nifah sasa Mimi nikaonekana nina urafiki na ngabu ikawa shida bna.kumbe picha ya nifah ililetwa humu Mimi maskini hata sikuona pia nisingependa au kushabikia hilo jambo.Ila nikafanywa adui wa wasiojulikana bila sababu.
Sasa wapi nimesema niligombana?
 
Hee huu uzi bado upo naona kila mmoja ni Innocent, kila mmoja anasemwa aiseee na mikwara kibao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah
hahaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaambiwa group la kuelimishana sijui kufanya nn kufika anaambiwa inabidi utume picha tukujue akatuma bwana mtu wa jf hajui kama huyu ni mzigua asije nayo jf kuipost kwenye mapicha

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Back
Top Bottom