Burnaboy
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 1,070
- 1,439
Mondi ametangaza anakwenda tour Europe akiambatana na bendi na dancers. Live band!
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa BONGO FLEVA kufanya hivi katika historia na nchi inayonyemelewa na mabeberu kina Pompeo!
Hii ni kwa Europe. Mondi alishapiga live band Nairobi.
Hongera Chibu.
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa msanii wa BONGO FLEVA kufanya hivi katika historia na nchi inayonyemelewa na mabeberu kina Pompeo!
Hii ni kwa Europe. Mondi alishapiga live band Nairobi.
Hongera Chibu.