Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
- Thread starter
- #101
Nina 40+. Afu si mpenzi wa Mondi kama unavyofikiri.Ndo ubaya wa watoto kumjua KING MJ via youtube
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina 40+. Afu si mpenzi wa Mondi kama unavyofikiri.Ndo ubaya wa watoto kumjua KING MJ via youtube
Opps,sorry[emoji120]Nina 40+. Afu si mpenzi wa Mondi kama unavyofikiri.
Anaelekea kwa kipi?..aelekee kuwa wizkid kwanza akipita aelekee kwa chrissbrown,neyo,usher,john legend,r.kelly yan apite kwa wasanii kama 80 hiv ndo amfikie MJ na kila msanii inaeza mgharimu miaka 6 had 7 so am sure kabla hajafika level ya MJ atakuwa kashakufa hahahahaaaaawe jamaa hukuelewa thread, "anaelekea kuwa",, na sio eti ndo keshakua
Mwacheni kidume...pambaneni na upuuzi wenu mloandika hapa had wananchi waelewe unataka uwatoe watu kwenye mjadala hatutokii haya mtueleze kisa cha kumfananisha MJ na mambo ya kijingaHata kiba yupo ila tu hapendi show off!
Acha bwanaaa...we harufu ya jini umeijueje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaka mshanaaaaa....Nilibahatika kumuona karibu kama hatua tano alivyokuja Bongo 90"s..ukimtazama jamaa alikuwa anatisha (sio ubaya)bali jamaa alikuwa na power fulani watu wanazimia..alafu ananukia kama jini
Hahaha jinga sana weweAnaelekea kwa kipi?..aelekee kuwa wizkid kwanza akipita aelekee kwa chrissbrown,neyo,usher,john legend,r.kelly yan apite kwa wasanii kama 80 hiv ndo amfikie MJ na kila msanii inaeza mgharimu miaka 6 had 7 so am sure kabla hajafika level ya MJ atakuwa kashakufa hahahahaaaaa
Mweh..UMENENA !!
PilaO..haya.Kama pilao
Upepo wapi ulijua mjadala utakuwa mwepes kama mnavyomshindanishaga na wasanii wa bongo UKASHANGAA HATA ULOWATUMAINI WAMEKUGEUKA hahahahahahaaaaa HIVI HUJALAZWA KWELI KWA KOMENT ZA WANANZENGO???...mambo yamekuwa magumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji11][emoji11][emoji6] pole kaka.Hapana mkuu. Nilikuwa napima upepo....
Labda afe afu azaliwe TENA puuumbav..tena mwisho leo kumfananisha the late MJ na mambo ya kipuuzi.
Opps,sorry[emoji120]
Ila MJ mzee mwenzangu hmm.
Watu walimfananidha beyonce na mj tu walipgwa za uso balaa..
Ss tuanzie hapa, Platnum n beyonce
Asa uliwashwa nn mzee wangu jamani ona sasa watoto wanavyokuchambua babu yao bila huruma...afu nyie wazee wa mjini matatizo mengine mnajitakiaga tu hahahahahahaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Nina 40+. Afu si mpenzi wa Mondi kama unavyofikiri.
Ndo ubaya wa watoto kumjua KING MJ via youtube
Nsamehe mimi kaka hahahahaaa...Hahaha jinga sana wewe
Lile shetani kuu hayupo msanii atalifikia
Hahahaha bonge la comment mkuuAnaelekea kwa kipi?..aelekee kuwa wizkid kwanza akipita aelekee kwa chrissbrown,neyo,usher,john legend,r.kelly yan apite kwa wasanii kama 80 hiv ndo amfikie MJ na kila msanii inaeza mgharimu miaka 6 had 7 so am sure kabla hajafika level ya MJ atakuwa kashakufa hahahahaaaaa
Itakuwa MJ wa tandale bila shakaJamaa no mbunifu sana. Wimbo japo kuna watu wanajaribu kuudis but tayari ni gumzo kila kona ya hii nchi. Vibanda vyote vinavyoingiza nyimbo kwenye simu, memori card, na hata flash siku mbili hizi wamepiga pesa sana. Unaambiwa kuna foleni KUBWA kila mtu anataka kuupata huu wimbo.
Mondi kwenye video yake mpya ya wimbo wa kanyaga kagongesha watu kwata kama Michael jackson. Video ni nzuri, kwa kweli Mondi ni noumar.
Dah we jamaa leo umenifurahisha hahahahahaUpepo wapi ulijua mjadala utakuwa mwepes kama mnavyomshindanishaga na wasanii wa bongo UKASHANGAA HATA ULOWATUMAINI WAMEKUGEUKA hahahahahahaaaaa HIVI HUJALAZWA KWELI KWA KOMENT ZA WANANZENGO???...mambo yamekuwa magumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji11][emoji11][emoji6] pole kaka.
Amina sana mkuu.Hahahaha bonge la comment mkuu