Uchaguzi 2020 Monduli: Yaliyojiri kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea urais kupitia CCM Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Monduli: Yaliyojiri kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea urais kupitia CCM Dkt. Magufuli

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Leo mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. Magufuli yupo Arusha na Monduli akiendelea kunadi sera na ilani ya chama cha Mapinduzi kuomba ridhaa ya kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili.

1603520755278.png


===​
DKT. MAGUFULI AMSIFIA DKT. SLAA KAMA MPINZANI ALIYEKUWA NA MASLAHI YA WATU

Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli amesema, mpinzani mwenye uzalendo ni Dkt. Wilbroad Slaa

Amesema, Dkt. Willbroad Slaa alikuwa anajenga hoja zenye maslahi mapana kwa wananchi tangu mfumo wa vyama vingi uwekwe mwaka 1992

Amesema hayo alipokuwa katika mkutano wa Kampeni Karatu, Mkoani Arusha wakati akiendelea kunadi Sera za chama chake. Karatu ni mahali ambapo Dkt. Slaa anatokea

Aidha, kutokana na ubora wa Dkt. Slaa ambaye sasa ni balozi wa Tanzania nje ya nchi, Dkt. Magufuli amesema ilibidi ampe ubaozi wa nchi tisa za Ulaya na sio nchi moja kama Mabalozi wengine​
 
Leo mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. Magufuli yupo Arusha na Monduli akiendelea kunadi sera na ilani ya chama cha Mapinduzi kuomba ridhaa ya kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili.

Mwambie afingashe tu mizigo yake pale Chamwino na Magogoni. Tuna mpangaji mwingine tunaenda kumuweka Magogoni na Chamwino hapo wiki ijayo jumatano. Ni yeye Tundu Antiphas Lissu
 
Kwa hali ilivyo Arusha asubuhi hii Magu anajiharibia sana...
Yaani huwezi amini harakati zote za usafiri wa magari ndani ya jiji lote la Arusha na viunga vyake zimesimamishwa...
Magari yamezimwa barabarani.... Abiria wote wanasonya na kutoa viapo vya kutenda kweli 28.10.2020

NB: Jana walisomba wanyonge kutoka vijijini wakaja kuwatelekeza stadium bila hili wala lile...!!

Hakika wasiojitambua tu ndo watakipigia kura ccm...!
 
Jana Vitus Nkuna alisema amemuona mdogo wake kavalishwa nguo ya chama yupo Sheikh Amri Abeid. Huku anadai akiwaga nyumbani ni mpinzani damu damu. Nilicheka sana...
Upinzani uko mioyoni kwetu, waache wajisifu kuwa wameifuta upinzani Hai, Moshi na Arusha na sisi tunywee bia mahela wanayomwaga lakini kura zetu ni kwa Mbowe na Lema.
 
Upinzani uko mioyoni kwetu, waache wajisifu kuwa wameifuta upinzani Hai, Moshi na Arusha na sisi tunywee bia mahela wanayomwaga lakini kura zetu ni kwa Mbowe na Lema.
Acha kudanganya watz wewe haupo TZ tunajua upo UK hiyo kura utapigaje?
 
Kwa hali ilivyo Arusha asubuhi hii Magu anajiharibia sana...
Yaani huwezi amini harakati zote za usafiri wa magari ndani ya jiji lote la Arusha na viunga vyake zimesimamishwa...
Magari yamezimwa barabarani.... Abiria wote wanasonya na kutoa viapo vya kutenda kweli 28.10.2020

NB: Jana walisomba wanyonge kutoka vijijini wakaja kuwatelekeza stadium bila hili wala lile...!!

Hakika wasiojitambua tu ndo watakipigia kura ccm...!
Dada tuliza mshono wanaume wapite!
 
Kule kwenye nyomi ya kweli polisi wana rusha mabomu ya machozi.
Ukivunja sheria lazima udundwe,
Huyo mgombea wenu anajifanya anajua sheria mpaka kuzi hdharau hizo sheria.
Anafanya mikutanobusiku na kwenda sehemu hana ratiba kisha kuanza kutoa vitisho akidhani yupo juu ya sheria na hana madaraka.

Sasa huyu ndo atafata sheria kweli ambazo amazitunga kweli?
Huyu akipata madaraka atatungiwa sheria na mabeberu na kuziona ndizo za maana kuliko na mwafrika.
Maana ana kasumba ya kuabudu beberu kuwa ndi anajua kila kitu na kudharau vya kiafrika, hata ngozi atabdilisha na kuwa mzungu.
 
Jana Vitus Nkuna alisema amemuona mdogo wake kavalishwa nguo ya chama yupo Sheikh Amri Abeid. Huku anadai akiwaga nyumbani ni mpinzani damu damu. Nilicheka sana...
Dogo atakua alivuta mpunga , mm yupo mdada hua ananiambia kiukwel ccm siipendi hata , sema kwenye campeni zao hua anahudhuria na kuvaa jezi kabisa , anasema hua nikienda kule hua navuta mpunga ndio maana
 
Ukivunja sheria lazima udundwe,
Huyo mgombea wenu anajifanya anajua sheria mpaka kuzi hdharau hizo sheria.
Anafanya mikutanobusiku na kwenda sehemu hana ratiba kisha kuanza kutoa vitisho akidhani yupo juu ya sheria na hana madaraka.
Sasa huyu ndo atafata sheria kweli ambazo amazitunga kweli?
Huyu akipata madaraka atatungiwa sheria na mabeberu na kuziona ndizo za maana kuliko na mwafrika.
Maana ana kasumba ya kuabudu beberu kuwa ndi anajua kila kitu na kudharau vya kiafrika, hata ngozi atabdilisha na kuwa mzungu.
Umenena vizuri sana mkuu wenye akili sawasawa tumekuelewa lakini mapopoma wataleta mapovu ya OMO!
 
Dogo atakua alivuta mpunga , mm yupo mdada hua ananiambia kiukwel ccm siipendi hata , sema kwenye campeni zao hua anahudhuria na kuvaa jezi kabisa , anasema hua nikienda kule hua navuta mpunga ndio maana
Kula kwa jirani, kulala nyumbani yaani...
 
Jana Vitus Nkuna alisema amemuona mdogo wake kavalishwa nguo ya chama yupo Sheikh Amri Abeid. Huku anadai akiwaga nyumbani ni mpinzani damu damu. Nilicheka sana...
Sasa ulicheka nini? Utakuwa hamnazo wewe!
 
Back
Top Bottom