Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
KARIBU NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MZALENDO EDWARD MORINGE SOKOINE MH RAIS USISAHAU KWENDA KUZURI KABURI LA MTU MLIYEFANANANAE KIUZALENDOLeo mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi, Dkt. Magufuli yupo Arusha na Monduli akiendelea kunadi sera na ilani ya chama cha Mapinduzi kuomba ridhaa ya kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili.
Tabia zao zinafafana za kuumiza watu na kuwafanya wawe masikini ili wapate furaha,soon nae atasomwa kwenye historia Kama huyo aliyelalaKARIBU NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MZALENDO EDWARD MORINGE SOKOINE MH RAIS USISAHAU KWENDA KUZURI KABURI LA MTU MLIYEFANANANAE KIUZALENDO
Upinzani uko mioyoni kwetu, waache wajisifu kuwa wameifuta upinzani Hai, Moshi na Arusha na sisi tunywee bia mahela wanayomwaga lakini kura zetu ni kwa Mbowe na Lema.
Nimecheka jinsi mnavyolazimisha wanafunzi kuvaa minguo yenu na kuwaamrisha waende kujaza uwanja eti mseme wafuasi wengi wamehudhuria.Sasa ulicheka nini? Utakuwa hamnazo wewe!
Unadhani mimi ni mwanafunzi kama wewe....Vipi vyuo vinafunguliwa lini?
Akili yako itakuwa na mapungufu mengi sana! Hivi kweli kuna watz wanaweza kulazimishwa kwenda kwenye mikutano ya kisiasa? Tofautisha kulazimishwa na kushawishiwa!Nimecheka jinsi mnavyolazimisha wanafunzi kuvaa minguo yenu na kuwaamrisha waende kujaza uwanja eti mseme wafuasi wengi wamehudhuria.
Enzi mimi nasoma mbona CCM hamkuwa na ujinga huu? Niliwahi kuhudhuria mikutano yenu hasa kampeni za Ubunge bila kushurutishwa na nikiwa na Uniform za Shule kama kawaida bila kuvalishwa Minguo yenu hiyo...
Hivi hizi ndio kampeni za kisayansi kweli za kulazimisha na kusomba watu...
Wenye akili zao wanachora tu huku wakiendelea kuwalia hela zenu(ambazo ni kodi za watanzania wote).
Kinachowabeba ni ushindi kwa msaada wa polisi,TISS na TUME tu.
Mama nna zawadi yako usiisahauKule kwenye nyomi ya kweli polisi wana rusha mabomu ya machozi.
Mnahangaika Sana vibwengo nyie..makelele yenu ya mitandaoni haimzuii tembo kunywa majiKwa hali ilivyo Arusha asubuhi hii Magu anajiharibia sana...
Yaani huwezi amini harakati zote za usafiri wa magari ndani ya jiji lote la Arusha na viunga vyake zimesimamishwa...
Magari yamezimwa barabarani.... Abiria wote wanasonya na kutoa viapo vya kutenda kweli 28.10.2020
NB: Jana walisomba wanyonge kutoka vijijini wakaja kuwatelekeza stadium bila hili wala lile...!!
Hakika wasiojitambua tu ndo watakipigia kura ccm...!
Ili akufurahishe ulitaka ukuambieje!? Hii Ni sawa na demu akuambie mimi yule jamaa simpendi ila uwa nalala ghetoni kwake.(ndo ashagongwa hivyo)Dogo atakua alivuta mpunga , mm yupo mdada hua ananiambia kiukwel ccm siipendi hata , sema kwenye campeni zao hua anahudhuria na kuvaa jezi kabisa , anasema hua nikienda kule hua navuta mpunga ndio maana
Mkuu uko vizuri.....jana ile idadi ya wanafunzi waliokuwa wanafurika kwenye kampeni za Magufuli Sheikh Amri Abeid kama mikutano yake yote nchi nzima ndiyo ilikuwa style hiyo basi Mzee wa watu wamemhujumuHuku hawawezi kurusha ili wasiumize wanafunzi wa shule
Hivi unajua maana ya kulazimisha?Nimecheka jinsi mnavyolazimisha wanafunzi kuvaa minguo yenu na kuwaamrisha waende kujaza uwanja eti mseme wafuasi wengi wamehudhuria.
Enzi mimi nasoma mbona CCM hamkuwa na ujinga huu? Niliwahi kuhudhuria mikutano yenu hasa kampeni za Ubunge bila kushurutishwa na nikiwa na Uniform za Shule kama kawaida bila kuvalishwa Minguo yenu hiyo...
Hivi hizi ndio kampeni za kisayansi kweli za kulazimisha na kusomba watu...
Wenye akili zao wanachora tu huku wakiendelea kuwalia hela zenu(ambazo ni kodi za watanzania wote).
Kinachowabeba ni ushindi kwa msaada wa polisi,TISS na TUME tu.
Ungejua hata sio dem Wangu , ni jiran yangu , aliniambia mwenyewe pasipo hata kumuuliza , alikua anajifurahisha nafsi yake tuuIli akufurahishe ulitaka ukuambieje!? Hii Ni sawa na demu akuambie mimi yule jamaa simpendi ila uwa nalala ghetoni kwake.(ndo ashagongwa hivyo)
Soma na ueleweUngejua hata sio dem Wangu , ni jiran yangu , aliniambia mwenyewe pasipo hata kumuuliza , alikua anajifurahisha nafsi yake tuu
Wewe mmoja unasonya, watanzania zaidi ya mil 29 tutamchagua huyu Mzalendo. Ninyi bakini nia majizi, masagaji na mashoga yenu sisi tunasonga mbele kwa mbele na Magufuli mpaka 2025.Kwa hali ilivyo Arusha asubuhi hii Magu anajiharibia sana...
Yaani huwezi amini harakati zote za usafiri wa magari ndani ya jiji lote la Arusha na viunga vyake zimesimamishwa...
Magari yamezimwa barabarani.... Abiria wote wanasonya na kutoa viapo vya kutenda kweli 28.10.2020
NB: Jana walisomba wanyonge kutoka vijijini wakaja kuwatelekeza stadium bila hili wala lile...!!
Hakika wasiojitambua tu ndo watakipigia kura ccm...!
Sasa kuna ugumu Gan hapo, au ulichokiandika na ww hukielewiSoma na uelewe