Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungua pm nije nikuonyeshe..😂😂😂😂😂😂😂😂 angalia usinyooke wewe tu
Hivi unajua ni ngumu kula na kuliwa na mtu usiyempenda? Labda kwenu ME kwa sababu mnaongozwa na tamaa...me kama sina hisia na wewe nakwambia hizo cents zako hazitafua dafuMapenzi ya vijana wa chini ya miaka 45 ni hisia kwa wanawake (Pesa), wanaume (Mwanamke mwenye mvuto), ndo maana watu wanakulana na kupeana pesa tu.
Haha sawaFungua pm nije nikuonyeshe..
Ila usilie lie tu
Haya.. nakusubir ufungue nikuonjeshe matamu na machungu ya long relationshipHaha sawa
Unamaana gani usemapo mapenzi ya kweli yapo kwenye hisia??Kwahiyo mapenzi ni pesa na ngono/tendo la ndoa!!
ME...toeni hela
KE...toeni papuchi
#mapenzi ya kweli yapo kwenye hisia.
Najua unajua nilichokimaanisha unless na wewe ni wale wazee wa hit and run
Ukitaka kuelewa pata hela mtoto wa kike.
Ndio utajua pesa sio kila kitu kwa upande mwingine.
Hivi unajua ni ngumu kula na kuliwa na mtu usiyempenda? Labda kwenu ME kwa sababu mnaongozwa na tamaa...me kama sina hisia na wewe nakwambia hizo cents zako hazitafua dafu