Habar wadau !!
Money heist imetoka janq dea 3 sasa mwenye link naomba aweke nidownload nione profesq atqvyomalizana na captqin sagata
Utanipa link mkuu maanq si sinunuag m9vieInatoka leo kwenye saa tano hivi. (Saa tano ya asubuhi)
Mkuu vipi mzigo tayari?
BadoMkuu vipi mzigo tayari?
nimeweka link bado tena unaulizaMkuu vipi mzigo tayari?
Wewe ndio upo nyuma ya dunia maana hujui ata kama ile iliyotoka ilikuwa season 5 vol 1 Sasa ndio imetoka season 5 vol 2, na kuacha kwako kuitazama hakufanyi na wengine waachekweli watu mpo nyuma ya dunia bado,ina miezi miwili hyo tangu itoke na watu tulishaacha kuingalia baada ya kuona ni utopolo mtupu
vya kuangalia,inaonesha ni jinsi gan mlivo na uvivu wa kufikirisha akili zenu..izo movie tunawawekea watoto sasa ivWewe ndio upo nyuma ya dunia maana hujui ata kama ile iliyotoka ilikuwa season 5 vol 1 Sasa ndio imetoka season 5 vol 2, na kuacha kwako kuitazama hakufanyi na wengine waache
Umetoka kwenye kujitia ujuaji wa kusema ishatoka miezi kadhaa nyuma saiz umehamia kwenye uvivu wa kufikirisha akili zetu, Mkuu ukiona kitu hakijakuvutia ujue hakipo kwa ajili yako. Tafuta vilivo andaliwa kwa ajili yako, usi complicate maishammekosa
vya kuangalia,inaonesha ni jinsi gan mlivo na uvivu wa kufikirisha akili zenu..izo movie tunawawekea watoto sasa iv
Umetoka kwenye kujitia ujuaji wa kusema ishatoka miezi kadhaa nyuma saiz umehamia kwenye uvivu wa kufikirisha akili zetu, Mkuu ukiona kitu hakijakuvutia ujue hakipo kwa ajili yako. Tafuta vilivo andaliwa kwa ajili yako, usi
nenda kajambe na watoto wenzio huko
Kumbe watoto ndio waga wanajamba ila wakubwa hamjambi vizuri kujua, Nikushauri kitu tu Mkuu, punguza ujuaji usiokuwa nao maana mwisho wa ujuaji mwingi mwisho wake waga ni Ushamba, ndo kilichokutokea hapa umetoka kwenye hoja unaleta utotonenda kajambe na watoto wenzio huko