Money Heist - Season 5 part 2

Money Heist - Season 5 part 2

Moja kati ya series bora sana kwangu, kama ni marks Naipa 9/10

Akili za Professor si rahisi kuzielewa haki tena,ili umuelewe yakubd uwe Pro Thinker

Lile li jamaa lina quality zote za kuitwa Faza House/Leader yanii Prof ni jitu 1 hivi (upstairs kumetulia)

ni movie ila Director wa hii movie nadhani na lenyewe ni li master mind sio kawaida,Movie inaisha haikuachi na Maswali.
 
mmekosa

vya kuangalia,inaonesha ni jinsi gan mlivo na uvivu wa kufikirisha akili zenu..izo movie tunawawekea watoto sasa iv
Ww km ujui kingereza tulia kamchek Ong bak na jet li
 
Moja kati ya series bora sana kwangu, kama ni marks Naipa 9/10

Akili za Professor si rahisi kuzielewa haki tena,ili umuelewe yakubd uwe Pro Thinker

Lile li jamaa lina quality zote za kuitwa Faza House/Leader yanii Prof ni jitu 1 hivi (upstairs kumetulia)

ni movie ila Director wa hii movie nadhani na lenyewe ni li master mind sio kawaida,Movie inaisha haikuachi na Maswali.
Big up men !!

Ukiona mtu hamkubal professor jua huwa hamsikiliz mm akianza kuongeq mm huwa nakuwa makin sn kuna viti ving sikuwah kuvijua ila nijifunzq kupitia lile jitu linaweza kukuvuruga kwa maneno tu

U can call me professor
 
Umetoka kwenye kujitia ujuaji wa kusema ishatoka miezi kadhaa nyuma saiz umehamia kwenye uvivu wa kufikirisha akili zetu, Mkuu ukiona kitu hakijakuvutia ujue hakipo kwa ajili yako. Tafuta vilivo andaliwa kwa ajili yako, usi complicate maisha
Io mtu lugha ilipita kushoto achana nae uyo sio kosa kosa ni la jet li na ong bak
 
Moja kati ya series bora sana kwangu, kama ni marks Naipa 9/10

Akili za Professor si rahisi kuzielewa haki tena,ili umuelewe yakubd uwe Pro Thinker

Lile li jamaa lina quality zote za kuitwa Faza House/Leader yanii Prof ni jitu 1 hivi (upstairs kumetulia)

ni movie ila Director wa hii movie nadhani na lenyewe ni li master mind sio kawaida,Movie inaisha haikuachi na Maswali.
Movie!?
 
Moja kati ya series bora sana kwangu, kama ni marks Naipa 9/10

Akili za Professor si rahisi kuzielewa haki tena,ili umuelewe yakubd uwe Pro Thinker

Lile li jamaa lina quality zote za kuitwa Faza House/Leader yanii Prof ni jitu 1 hivi (upstairs kumetulia)

ni movie ila Director wa hii movie nadhani na lenyewe ni li master mind sio kawaida,Movie inaisha haikuachi na Maswali.
Exactly, Yaanii part 2 is [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].

Nairudia rudia part 2 na sichoki
 
kweli watu mpo nyuma ya dunia bado,ina miezi miwili hyo tangu itoke na watu tulishaacha kuingalia baada ya kuona ni utopolo mtupu
Ulivyojibu kwa kujiamini while wewe ndio huko nyuma kabisa na dunia!
 
Kimsingi imeisha naipa 8/10 inahitaji uwe mwangaliaji wa series kuelewa, hasa namna gold zilivyoibiwa na kutolewa benk, namna ambavyo professor alivyo weza kutolewa mle ndani, jinsi agreement ya kuzirudisha dhahabu ilivyokuwa fake, n.k, matukio yamekwenda kasi Sana, ila nafkr bado huko mbele kunakitu kinakuja, kwangu mm ukiondoa prison break na 24, hii ndo inakuwa ya 3, na zingine Sasa zinafuata, kwa ujumla series imepangwa vzr..
 
Back
Top Bottom