Money is better than Life for CCM members

Money is better than Life for CCM members

"for their interests sake."=for their interests's sake or for their interest's sake?
Which is which?
 
Nchi za africa zilitakiwa kwa kufunga mipaka na sio kufungia watu nyumbani.

Unajua nchi kama Tanzania most of us hatuna tofauti na maisha ya digidigi kule serengeti.

Cha pili mheshikiwa Rais anashindwa kuweka mikakati yake kwa sababu ya hasira aliyo nayo juu ya waoinzani.

Nauhakika chadema wangekataa kufunga mipaka toka mwanzo , Magu angekua amefunga mipaka toka feb 2020.
Tz wanaikataa lockdown kwa sababu nichi maskini yakutupwa most of people can't survive without earn daily income, ....uwez kulinganisha Tz na Sweden unakuwa unafanya makosa makubwa ya kiakili.
 
Hila Tz sio Tunadunda Isipokuwa Tumeamua kuhide information hili kuminimize Pressure kwny Jamii , Hila In real Fact vifo vipo na wagonjwa wapo wengi tu.
Hayo nenda kawaambie WHO ili wakupe hela zao mle na wanao. Ungeliweka data hapa JF kuwa, Hapa nilipo.....kuna watu wamekufa kwa corona na majina yao ni.....Mkumbuke Lema alivyogundua kuwa yale majina ya kule Singida kuwa yalikuwa ya uongo. Huoni kakaa kimyaaa kabisa?? Leteni ushahidi tuwasikilize sio bla blaa hapa JF
 
Your English needs a quick overhaul
If this is how you write it,I can't imagine when you speak it
Go back to school
you're troublesome like Covid -19,revelation of your poor English has come up on a word "overhaul ".
Such a word can't be used on such way.
This is a problem of serving the Devil, you were begotten by a stray cant that's why you're fully perplexed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom