“MONEY LAUNDERING” inaweza kukuza uchumi wa nchi au Jiji?

“MONEY LAUNDERING” inaweza kukuza uchumi wa nchi au Jiji?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Nauliza hili nikiwa na sababu.

vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa vigogo wa Russia.
Kwa sasa London inasemekana ni

“Money Laundering Capital of the world”

London unaweza kutengeneza shell compan au kampuni bubu na kununua mijengo au kuwekeza kwenye Real Estate bila kujulikana nani mmiliki kupitia hyo kampuni bubu ambayo kiuhalisia haipo.

Kiufupi ni mahali pekee unapoweza kuingiza mabilioni na kuyawekeza bila kuwa na trace ya mmiliki, umetoa wap n taarifa nyingine kama hizo .Na kuna mifumo wezeshi ya hivo kukusaidia kuficha utambulisho wako.

Wakati dunia nzima utakatishaji wa fedha ukiwa n haramu na wenye madhara kwa uchimi ila London imeuruhusu na kuutengenezea mazingira ya kuustawisha.Ni vita ya ukraine pekee ndio kwa lengo la kuwadhoofisha marafiki wa Putin ndipo walianza kuwafuatilia.

Sehemu nyingine ambako watakatishaji wa fedha hukimbilia ni Dubai.Pia kuna mazingira wezeshi ya kutakatisha fedha.

Kwa wataalam wa fedha!

Je Kuna faida zilizofichika za kutakatisha fedha kwa nchi au mji???
Kama hamna kwanini miji mikubwa kama hii itengeneze mazingira wezeshi na ilihali inaweza kuzuia.?
IMG_9333.jpg
 
Utakatishaji wa fedha ni mzuri,
Ila tu fedha hizo zisiwe za kodi ya walala hoi,
Wew deal na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya, ila wakikuzidi wakapata pesa waache watakatishe kiroho safi,

Inakuza sana pesa mzee, si unaona bank za uswis zinavyofaidika na mabillion ya pesa za wa africa ?
 
Utakatishaji wa fedha ni mzuri,
Ila tu fedha hizo zisiwe za kodi ya walala hoi,
Wew deal na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya, ila wakikuzidi wakapata pesa waache watakatishe kiroho safi,

Inakuza sana pesa mzee, si unaona bank za uswis zinavyofaidika na mabillion ya pesa za wa africa ?

Sijui lakini nadhani ina hasara katitka flacuation ya uchumi mkuu
 
Kwenye maelezo sijaona money laundering

Money laundering

London inaruhusu utakatishaji wa fedha kutoka kwa matajiri mbalimbali wa dunia hasa kutoka Russia.
Kua matajiri au vigogo wa Russia wanaiba hela nchini kwao na kuja kuzificha London UK.
Na UK imewawekea mazingira mazuri ya “Anonymity” ambayo yanaruhusu kuficha pesa nyingi kwene real estate pasipo maswali wala kujulikana.

Utakatishaji wa fedha ni pale unapopata pesa kwa njia isiyo halali na kuiingiza kwene mifumi halali.Hivo landani imeweka mazingira hayo makusudi
 
Utakatishaji wa fedha ni mzuri,
Ila tu fedha hizo zisiwe za kodi ya walala hoi,
Wew deal na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya, ila wakikuzidi wakapata pesa waache watakatishe kiroho safi,

Inakuza sana pesa mzee, si unaona bank za uswis zinavyofaidika na mabillion ya pesa za wa africa ?
Wanawekeza huko pesa kibao
 
Money laundering

London inaruhusu utakatishaji wa fedha kutoka kwa matajiri mbalimbali wa dunia hasa kutoka Russia.
Kua matajiri au vigogo wa Russia wanaiba hela nchini kwao na kuja kuzificha London UK.
Na UK imewawekea mazingira mazuri ya “Anonymity” ambayo yanaruhusu kuficha pesa nyingi kwene real estate pasipo maswali wala kujulikana.

Utakatishaji wa fedha ni pale unapopata pesa kwa njia isiyo halali na kuiingiza kwene mifumi halali.Hivo landani imeweka mazingira hayo makusudi
Hata hapa TZ niliwahi kusikia afisa mmoja anahojiwa kwenye redio kuwa kuna ka mfumo unaweza kusajili kampuni brela halafu mmiliki akawa kwenye public domain ni mtu mwingine lakini mmiliki halisi hayuko kwenye publlic domain anajulikana brela tu.
Nikajiuliza hii ina lengo gani au ilikuwa kuficha majina ya wanasiasa ambao wamepata mali kupitia siasa
 
Nauliza hili nikiwa na sababu.

vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa vigogo wa Russia.
Kwa sasa London inasemekana ni

“Money Laundering Capital of the world”

London unaweza kutengeneza shell compan au kampuni bubu na kununua mijengo au kuwekeza kwenye Real Estate bila kujulikana nani mmiliki kupitia hyo kampuni bubu ambayo kiuhalisia haipo.

Kiufupi ni mahali pekee unapoweza kuingiza mabilioni na kuyawekeza bila kuwa na trace ya mmiliki, umetoa wap n taarifa nyingine kama hizo .Na kuna mifumo wezeshi ya hivo kukusaidia kuficha utambulisho wako.

Wakati dunia nzima utakatishaji wa fedha ukiwa n haramu na wenye madhara kwa uchimi ila London imeuruhusu na kuutengenezea mazingira ya kuustawisha.Ni vita ya ukraine pekee ndio kwa lengo la kuwadhoofisha marafiki wa Putin ndipo walianza kuwafuatilia.

Sehemu nyingine ambako watakatishaji wa fedha hukimbilia ni Dubai.Pia kuna mazingira wezeshi ya kutakatisha fedha.

Kwa wataalam wa fedha!

Je Kuna faida zilizofichika za kutakatisha fedha kwa nchi au mji???
Kama hamna kwanini miji mikubwa kama hii itengeneze mazingira wezeshi na ilihali inaweza kuzuia.?View attachment 2870759

IMG_4536.jpg

IMG_4535.jpg
 
Hata hapa TZ niliwahi kusikia afisa mmoja anahojiwa kwenye redio kuwa kuna ka mfumo unaweza kusajili kampuni brela halafu mmiliki akawa kwenye public domain ni mtu mwingine lakini mmiliki halisi hayuko kwenye publlic domain anajulikana brela tu.
Nikajiuliza hii ina lengo gani au ilikuwa kuficha majina ya wanasiasa ambao wamepata mali kupitia siasa

Hii ndo inaitwa shell company
 
Hata hapa TZ niliwahi kusikia afisa mmoja anahojiwa kwenye redio kuwa kuna ka mfumo unaweza kusajili kampuni brela halafu mmiliki akawa kwenye public domain ni mtu mwingine lakini mmiliki halisi hayuko kwenye publlic domain anajulikana brela tu.
Nikajiuliza hii ina lengo gani au ilikuwa kuficha majina ya wanasiasa ambao wamepata mali kupitia siasa
Hakuna nchi rahisi kutakatisha hela kama Tanzania mamlaka bado haziko tayari.
 
Hakuna nchi rahisi kutakatisha hela kama Tanzania mamlaka bado haziko tayari.
Unaambiwa London ndo capital ya money laundering dunia.Nadhani kuna namna mji unafahamika sidhan kama wameshindwa kuzia

Sehemu kama dubai yaan easy mazingira rahisishi yapo
 
Back
Top Bottom