Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Nauliza hili nikiwa na sababu.
vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa vigogo wa Russia.
Kwa sasa London inasemekana ni
“Money Laundering Capital of the world”
London unaweza kutengeneza shell compan au kampuni bubu na kununua mijengo au kuwekeza kwenye Real Estate bila kujulikana nani mmiliki kupitia hyo kampuni bubu ambayo kiuhalisia haipo.
Kiufupi ni mahali pekee unapoweza kuingiza mabilioni na kuyawekeza bila kuwa na trace ya mmiliki, umetoa wap n taarifa nyingine kama hizo .Na kuna mifumo wezeshi ya hivo kukusaidia kuficha utambulisho wako.
Wakati dunia nzima utakatishaji wa fedha ukiwa n haramu na wenye madhara kwa uchimi ila London imeuruhusu na kuutengenezea mazingira ya kuustawisha.Ni vita ya ukraine pekee ndio kwa lengo la kuwadhoofisha marafiki wa Putin ndipo walianza kuwafuatilia.
Sehemu nyingine ambako watakatishaji wa fedha hukimbilia ni Dubai.Pia kuna mazingira wezeshi ya kutakatisha fedha.
Kwa wataalam wa fedha!
Je Kuna faida zilizofichika za kutakatisha fedha kwa nchi au mji???
Kama hamna kwanini miji mikubwa kama hii itengeneze mazingira wezeshi na ilihali inaweza kuzuia.?
vita ya Ukraine imeibua mengi sana!!Yote tisa kulikua na hili la utakatishaji pesa ambao mji wa London kwa makusudi ulikua umetoa muanya kwa matajiri wengi hasa vigogo wa Russia.
Kwa sasa London inasemekana ni
“Money Laundering Capital of the world”
London unaweza kutengeneza shell compan au kampuni bubu na kununua mijengo au kuwekeza kwenye Real Estate bila kujulikana nani mmiliki kupitia hyo kampuni bubu ambayo kiuhalisia haipo.
Kiufupi ni mahali pekee unapoweza kuingiza mabilioni na kuyawekeza bila kuwa na trace ya mmiliki, umetoa wap n taarifa nyingine kama hizo .Na kuna mifumo wezeshi ya hivo kukusaidia kuficha utambulisho wako.
Wakati dunia nzima utakatishaji wa fedha ukiwa n haramu na wenye madhara kwa uchimi ila London imeuruhusu na kuutengenezea mazingira ya kuustawisha.Ni vita ya ukraine pekee ndio kwa lengo la kuwadhoofisha marafiki wa Putin ndipo walianza kuwafuatilia.
Sehemu nyingine ambako watakatishaji wa fedha hukimbilia ni Dubai.Pia kuna mazingira wezeshi ya kutakatisha fedha.
Kwa wataalam wa fedha!
Je Kuna faida zilizofichika za kutakatisha fedha kwa nchi au mji???
Kama hamna kwanini miji mikubwa kama hii itengeneze mazingira wezeshi na ilihali inaweza kuzuia.?