“MONEY LAUNDERING” inaweza kukuza uchumi wa nchi au Jiji?

Unaambiwa London ndo capital ya money laundering dunia.Nadhani kuna namna mji unafahamika sidhan kama wameshindwa kuzia

Sehemu kama dubai yaan easy mazingira rahisishi yapo
I get you ila huko circular flow ya hizo cash lazima iwe complex juu kuna mamlaka zinafatilia sio kama huku simple tu hela inatakatishwa na hamna mtu anakuja kuuliza
 
Money Laundering ni uhalifu yaani, criminal offence.

Huwezi kutoa fedha kwenye rushwa, ufisadi, biashara ya madawa na njiazingine za kihalifu kisha ukaziweka kwenye mzunguko rasmi wa fedha hiyo ni money laundering.

Hata hivyo kwa sasa financial regulations za Ulaya zimebadilika sana na hakuna kutia fedha kwenye FS bila kutaka kujua chanzo cha fedha hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…