Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko hivi mtoa mada kuna sehemu kapiga pesa hizo sema sasa ndio hajui azifanyie nini
ngoja nikushauri
millioni tisini na tano nunua kiwanja mjini maeneo ya kuanzia tegeta mpaka mkwajuni,
tenga millioni 5 ya kuandika mchanganuo wa biashara ambayo watavutia investors kujenga property eneo hilo
usijenge wewe hiyo property itakuwa ni rahisi wewe kushtukiwa kuliko kununua kiwanja
investors ndio wajenge
hiyo 5 mil tafuta mtu anayefanya kazi kampuni yeyote ya uwekezaji mfano hawa hapa Homes For Sale, Local Data, Financing Info - ERA Real Estate
c.e.o wake anaitwa Jcharlie young i know him
tafuta mtu yeyote wa humo ndani ya hiyo kampuni mwambie akuandikie b plan ambayo wao huwa wanazikubali kwa ajili ya kujenga property
anaweza kuku charge usd 2,000
so kumpata mtu wa hiyo kampuni kazi ni kwako... mie nimekuonyesha tu sehemu wanyama walipo, aina ya mnyama wa kumla wa kula jinsi ya kuwinda, kuchuna na kumchoma na kumla utajua mwenyewe