Money laundering

Money laundering

Yaan account yako mwisho kabisa ni milioni 3, halafu ghafla unaweka milioni 100?:nono:
 
usipeleke bank zote fungua account upeleke million moja kwanza,pia fungua biashara mbalimbali apo utawin,lakin ukipeleka bank shauri yako itakula kwako,bank hawana msamaha watakufatilia harafu ukisema umeokota anatokea jamaa wanakula dili wanasema ndio waliopoteza hizo ela kwa kuibiwa na wanakuwa na document zote kuonyesha za kwao,harafu watu wanagawana inakula kwako
 
iko hivi mtoa mada kuna sehemu kapiga pesa hizo sema sasa ndio hajui azifanyie nini
ngoja nikushauri

millioni tisini na tano nunua kiwanja mjini maeneo ya kuanzia tegeta mpaka mkwajuni,

tenga millioni 5 ya kuandika mchanganuo wa biashara ambayo watavutia investors kujenga property eneo hilo

usijenge wewe hiyo property itakuwa ni rahisi wewe kushtukiwa kuliko kununua kiwanja

investors ndio wajenge

hiyo 5 mil tafuta mtu anayefanya kazi kampuni yeyote ya uwekezaji mfano hawa hapa Homes For Sale, Local Data, Financing Info - ERA Real Estate


c.e.o wake anaitwa Jcharlie young i know him

tafuta mtu yeyote wa humo ndani ya hiyo kampuni mwambie akuandikie b plan ambayo wao huwa wanazikubali kwa ajili ya kujenga property

anaweza kuku charge usd 2,000

so kumpata mtu wa hiyo kampuni kazi ni kwako... mie nimekuonyesha tu sehemu wanyama walipo, aina ya mnyama wa kumla wa kula jinsi ya kuwinda, kuchuna na kumchoma na kumla utajua mwenyewe

CTU naona unampeleka mtu jela mzima mzima. Tehe tehe tehe. Umetisha CTU
 
Peleka benki ndogo ndogo ambazo hazina majina,fungua account na weka!!make sure unafungua business ya kuzugia
au ukishindwa kabisa fungua fixed deposit account (FDR) ziweke for 6months utapata zaidi ya M 16,Kama interest.
Zitafutie doc hizo hela,zuga umeuza plot etc
 
Back
Top Bottom