Money penny amekubali kuchumbiwa na Superbug

Moneypenny hii ni ndoa ya jf tu usimaindi wala nini, mjuba kakuona huko yutub na huo mzigo Mungu anakuona hakyanani, hata mimi ningetangaza nia sema najua utanipa za mbavu fasta.
 
Ndio kusema "bi Kasie na Miss Natafuta hili bandiko hawajaliona? Au ndio wivu na hasira vimewakaba Shost wao kupata wa kumstiri!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…