Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Sauwa dalaliKwanini asiwe nao..usimchukulie poa😜
Huhuhuhuhuh mam unakwama wapii thatha? Mie nmemic kucheza kiduku ujue. Sku ya ndoa yenu [emoji2][emoji2]Wapi wewee, unadhani kunipata Mimi NI rahisi Sana ee?! Aendelee kuandika Tu kama ndio furaha yake
Naolewa mara ngap lakini??Huhuhuhuhuh mam unakwama wapii thatha? Mie nmemic kucheza kiduku ujue. Sku ya ndoa yenu [emoji2][emoji2]
Kumbe na we ulimsoma?Hahaha cjui kwa nn nimemkumbuka yule jamaa wa " isitoshe miundombinu yake sio mizuri" (I'm kidding) ila hongera mkuu.
Ndio kusema "bi Kasie na Miss Natafuta hili bandiko hawajaliona? Au ndio wivu na hasira vimewakaba Shost wao kupata wa kumstiri!?Ndugu zetu Wana MMU kwa heshma na taadhima napenda kuwataarifu rasmi kwamba hatimae Money Penny na superbug ni mtu na mchumba wake rasmi.
Tunaendelea na taratibu za kifamilia kama Mambo yakienda Kama tunavyotarajia tutawajulisha rasmi.
Mwisho Uhuru na faragha yetu yanabaki kuwa Mambo binafsi kwetu asanteni.
Superbug.
Huhuhuh poyeeeeeh bas, afu relaaaaaaxNaolewa mara ngap lakini??
Makubwa [emoji849]
Duuuuh mam kweli naweza kukufokea mie? UwiiiiiihUsinifokee[emoji849][emoji125][emoji125][emoji125]