Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Tupia picha ya huyu penny . Noana fujo zimekua nyingi

Sent From Galaxy S9
Screenshot_20200430-151406.png
post ina miezi karibu mi3 na nusu na viewers ndiyo hao tia maji tia maji 😂😂 halafu anataka kudanganya hapa eti web ina viewers laki 5 ....BTW this is non of my concern lakini huyu mazaa anatafuta attention kinguvu tena very locally

Anaanzisha Uzi kabisa eti mdau kamtonya PM wanawake wa JF hatupendani so ye love yake inatoka kwa wanaume wanaume wenyewe mpaka aforce kuwatag na pamoja na kuwatag bado hawaji na wakija wanaishia kuchungulia na kumkimbia.

Hana kabisa business skills hata za kuokoteza
 
View attachment 1435768post ina miezi karibu mi3 na nusu na viewers ndiyo hao tia maji tia maji 😂😂 halafu anataka kudanganya hapa eti web ina viewers laki 5 ....BTW this is non of my concern lakini huyu mazaa anatafuta attention kinguvu tena very locally

Anaanzisha Uzi kabisa eti mdau kamtonya PM wanawake wa JF hatupendani so ye love yake inatoka kwa wanaume wanaume wenyewe mpaka aforce kuwatag na pamoja na kuwatag bado hawaji na wakija wanaishia kuchungulia na kumkimbia.

Hana kabisa business skills hata za kuokoteza
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru, business skills zipi tena unataka😂😂
Attention nishapata laki 8 Kwa leo Tu Mungu anipe nini😂😂

Sema unaona aibu ulivyoonekana mbululaz na bado unazidi kunitangazia YouTube, weeeee
Piga kelele Kwa hela yake penny?! Weuweeeee💃

NI maujinga haya haya ndio yanaingiza hela mjini, wewe na usirious wako huna hata 100 ya ziada zaidi ya kumaliza bando lako na kuonekana mduwanzi

We kubali Tu umeshashindwa 😂
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Hahaha me nafurahi tu huku. Uzi umenisahaulisha kwa muda matatizo ya dunia
Kujichekesha vepe?!
We kubali Tu umeshashindwa 😂 unaona aibu ulivyoonekana mbululaz na jinsi gani kujiaibisha kwako kumeniingizia hela😂😂😂
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
View attachment 1435768post ina miezi karibu mi3 na nusu na viewers ndiyo hao tia maji tia maji 😂😂 halafu anataka kudanganya hapa eti web ina viewers laki 5 ....BTW this is non of my concern lakini huyu mazaa anatafuta attention kinguvu tena very locally

Anaanzisha Uzi kabisa eti mdau kamtonya PM wanawake wa JF hatupendani so ye love yake inatoka kwa wanaume wanaume wenyewe mpaka aforce kuwatag na pamoja na kuwatag bado hawaji na wakija wanaishia kuchungulia na kumkimbia.

Hana kabisa business skills hata za kuokoteza
Sitaki kuamini kwamba ni yeye 😄😄😄
 
Kujichekesha vepe?!
We kubali Tu umeshashindwa 😂 unaona aibu ulivyoonekana mbululaz na jinsi gani kujiaibisha kwako kumeniingizia hela😂😂😂
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
Nione aibu kwa kipi hasa? Niwaonee aibu watu siwajui?
Nigombane na upepo!! Mie kabisa? Jipange upya dada
 
Sitaki kuamini kwamba ni yeye 😄😄😄
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤️💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Nione aibu kwa kipi hasa? Niwaonee aibu watu siwajui?
Nigombane na upepo!! Mie kabisa? Jipange upya dada
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru, nijipange nini wakati ushaniingizia Dola za kutosha Kwa website na sasa unaenda YouTube?!😂😂😂😂
All for the love of hatred

Endelea kuwaleta mama me naingiza hela Tu leo, asante Kwa kuwa secretary wangu WA Jamii forum leo

We kibali Tu umeshashindwa 😂
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤️💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Umeshangaa nini


Sent using Jamii Forums mobile app
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤️💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru, nijipange nini wakati ushaniingizia Dola za kutosha Kwa website na sasa unaenda YouTube?!😂😂😂😂
All for the love of hatred

Endelea kuwaleta mama me naingiza hela Tu leo, asante Kwa kuwa secretary wangu WA Jamii forum leo

We kibali Tu umeshashindwa 😂
Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yours😂😂😂

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
Sina Ac YouTube pole huko hautopata support yangu, subiri za wengine.

Niko selective sana kiasi cha kwamba account ya aina yako Insta miaka mia siwezi kufollow

At least kwenye web support yangu utaipata. Tushukuru tumekusaidia kukuboost na uache tutambia ujinga hapa eti tumepata aibu. Aibu kwa vitu gani hasa?
 
Back
Top Bottom