Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Wewe ni money penny? Umesahau kuswitch akaunt?
 
Kwa sasa sihitaji support yako anti, wanaume washakuona wewe NI mbululaz mbona unapita pita tena, hawakutakiπŸ˜‚πŸ˜‚
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

We kibali Tu umezodoka, kwetu Sisi wakristo tunasema, ubaya haulipwi Kwa ubaya, leo umenifanya ubaya me naingiza dollars πŸ˜‚ Nani mwamba sasa??

Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yoursπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Huyo ndo money pennies?
 
Money penny ni MWANAMKE!
Nimeona video zake...ni vlogger kumbe !
Hongera kwa akili na confidence yako!
Nakuja tu vlog wote
[emoji40][emoji4][emoji4]View attachment 1435778

Sent using Jamii Forums mobile app
Namshukuru Mungu Kwa confidence
Sio kama hao mama Jusi WA 5 wenye jitihada za kumwangusha mtoto YESU (Mwanaume) zilizogonga mwamba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Hebu kamfollow mwenzako bwana. πŸ˜€

Naona mmehangaika kumpata mtoto Yesu (Mwanaume) lakini MMEFELI na kuangukia pua πŸ˜‚πŸ˜‚
Njia ya kwenda Kwa farao NI kule sio hapa kwangu jamaa, hapa mnaniachia hela za kidhunguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama kitufe [emoji28]
MaskiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

We kibali Tu umezodoka, kwetu Sisi wakristo tunasema, ubaya haulipwi Kwa ubaya, leo umenifanya ubaya me naingiza dollars πŸ˜‚ Nani mwamba sasa??

Alafu next time unataka kugombana nami please wear your best garment, coz mine smells like money today and not hatred and shame like yoursπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Wewe uko Sawa kweli kichwani umenipeleka wapi mimi nimeona picha yako hapa siwezi kuenda huko Instagram kwa ajili yako mpendwa
 
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Muone kichwa
 
Wewe uko Sawa kweli kichwani umenipeleka wapi mimi nimeona picha yako hapa siwezi kuenda huko Instagram kwa ajili yako mpendwa
Sasa hivi akili ndio imefunguka sio baada ya kunizalishia viewers laki 8 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
God has always been good to me Mama, we panga mabaya however you want, it won't workπŸ’ͺ

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Acha kiherehere mama, qoute sio yako unareply ya nini
 
Sasa wewe u.malaya wa nini? Upo mbaya hivyo sura mbovu upo kma tufe.
Unaumiza kuuma yako tu bure.
 
Muone kichwa


una taka kusema kwamba yeye sio MCHOYO yaani Chama la Wana sio?

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„Best ukweli ni kwamba nimeanza kufahamu kwa nini unataka majibizano ili watu waende huko unapotaka ila mimi nitoe sitaweza kamwe.
 
Sasa wewe u.malaya wa nini? Upo mbaya hivyo sura mbovu upo kma tufe.
Unaumiza kuuma yako tu bure.

Weka Sura yako hapa JF na mie niweke yangu tuone ya Nani mbayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ plz do that

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasaπŸ”₯❀πŸ’ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…