Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Amen sire [emoji120] Thank u [emoji91]
Wengine wote wakapange foleni manispaa wakahesabiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
Kweli njia ya kutafuta mtonyo kwenye social media ZIKO nyingi kama utatumia akili na sio K..
Hongera pia kwa kuingiza pesa kupitia comments na views zetu mwanamke jeuri[emoji2][emoji2][emoji2]
Nafikiri hata wewe ujumbe umekufikia kupitia uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera pia kwa kuingiza pesa kupitia comments na views zetu mwanamke jeuri[emoji2][emoji2][emoji2]
Nafikiri hata wewe ujumbe umekufikia kupitia uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa
Asante
Mdau hakukosea Kwa kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapa Pesa Tu πŸ’ͺ
 
mambo yanakwenda kwa kasi sana, hata mimi nimekua natupia mara moja moja sana, wadau wengi mulokuwa munanieka active mmepotea nimekua najihisi pweke jamvini
Pole boss, ngoja tuone kama nitakaa
Hawa ma admin wanazingua
 
Huna akili we mtoto
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…