USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kuna kipindi unakuwa na akili kumbe?
Ode, me NI mjukuu WA TANU, hapa kazi Tu[emoji123]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ode, me NI mjukuu WA TANU, hapa kazi Tu[emoji123]
Duuh!Mauno waende uwanja WA fisi
Hahahaha nilitaka kuja pm unipe escort mmoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Embu mshangae for me plz[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti 63 umeanza sasa kukosa akiliMiaka yote 63 ya maisha yangu sijawahi kuacha kuwa na akili
Unagombea udiwani?Ngumu, labda uje pale round about kawe j3 mpaka ijumaa nipo na Nabii Tito tuna kampeni
Ameshindwa askofu Gwajima
[/QUOTENaomba umfikishie salam
Nasikia mshindi ni Gwajima au kura zimehesabiwa mara ya pili!Kashindwa au kashinda?!
Inawezekana umemfanyia hujuma Nabii Tito.Askofu ameshinda
Haleluyah?!
Kwan alikuwa anagombea?! Huyo Nabii?!Inawezekana umemfanyia hujuma Nabii Tito.
.Ngumu, labda uje pale round about kawe j3 mpaka ijumaa nipo na Nabii Tito tuna kampeni
hahahahaha, yangu al;ikupa?Money Penny mbona mi nilipata kanisani Nabii alitaja namba za mabinti wanaotafuta mume
nene?
sijaelewa thread,nene?
anza upya kusoma, upitie comment moja moja ndio u commentsijaelewa thread,
Wewe dada una heka heka nyingi.To be honest nimemiss Sana JF na kuandika HADITHI Kwa website yangu na Kuongea YouTube, tulieni Wana ngoja upepo upite nitarudi Novemba
NIMEKUWA buzy mweeee, Hadi utanihurumia[emoji126]
Anywho naskia mabaharia huku mnalalamika natoa namba feki, kuna Faza anapokea simu na KUWAFOKEA [emoji23][emoji23][emoji23], poleni mweee
nilishawaambia namba yangu ya simu iko Kwa website yangu na Instagram yangu ya binafsi
Hizo namba mnampigia Nani tenaa?! [emoji849]
Anywho nawapenda[emoji3590][emoji91][emoji3590]
Ratiba yangu ya kuniona iko hivi:
j2 napatikana viwanja vya kawe Kwa Mchungaji Mwamposa[emoji120]
J3 mpaka ijumaa nipo round about ya kawe na Nabii Tito [emoji23] tunafanya kampeni[emoji126]
Ijumaa napatikana Juliana Bar Africana, SAA 1 mpaka SAA 4 usiku, VIP Lounges
Jumamosi napatikana Rotanna Hotel Sunday Brunch
ila Leo nipo nyumbani kwetu Bunju namalizia kuangalia tamthilia ya Queen Sono Netflix[emoji91]
weka picha ya mauzo watu wakuamini basiWewe dada una heka heka nyingi.
Hadi unauza mashangazi insta!!!!
Hatari sana
Hii hapa ulinipaga jina la ac yakoweka picha ya mauzo watu wakuamini basi