Money stunna uko wapi?

humu tumeshakimbiza wanaume wanaopenda taarabu kama mabinti
 
Watu wanawaeza wakawa wamesha RIP.
 
hata nimi nilipotea jf kwa mda wa kama mwaka mmoja hivi.nilikuwa naingia mara chache chache sana,nimejerea hivi majuzi tu.

round hii napanga kupotea tena kwa mda usio na ukomo rasmi.

hivyo basi kama kuna member ananidai anikumbushe mapema kabla sijatoweka.
 
Mi nakudaiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…