Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #21
Why ukose furaha??Unique Flower, wee kila anayekugonga ni bonge la tajiri? Kama ndio, hao matajiri unawapata wapi kwenye nchi fukara Kama hii ambayo inashika nafasi ya nne kwa watu wake kukosa furaha duniani?
lara 1 ni bonge la writer, bonge la story teller, bonge la artist, akiandika unajikuta tu umesoma Hadi mwisho. Uzi mrefuuuu, mtamuuuu.Unique Flower, wee kila anayekugonga ni bonge la tajiri? Kama ndio, hao matajiri unawapata wapi kwenye nchi fukara Kama hii ambayo inashika nafasi ya nne kwa watu wake kukosa furaha duniani?
Hizo ni sifa positive za lara 1, na wewe unazo zako. Hivi unajua kuwa lara 1 alikuwa na PhD tatu za udangaji lakini akaokoka na kuwa Mchungaji?lara 1 ni bonge la writer, bonge la story teller, bonge la artist, akiandika unajikuta tu umesoma Hadi mwisho. Uzi mrefuuuu, mtamuuuu.
lara 1 ni bonge la jembe
Umeshanikosoa vyote hivi?
Sio mimi ambaye nimepewa pasu ningeringa sana nammengejua
Naani kakuambia mimi ni katoto kazuri??Hizo ni sifa positive za lara 1, na wewe unazo zako. Hivi unajua kuwa lara 1 alikuwa na PhD tatu za udangaji lakini akaokoka na kuwa Mchungaji?
Mapito ya lara 1 si ya kitoto, utapasuka msamba.
Kesho ntaorodhesha sifa zako elfu 10 nzuri, usikonde katoto kazuri