Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Naibu katibu Mkuu huyo wa CCM, Taifa, John Mongella amefika Mkoani Shinyanga kuhitimisha kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27, mwaka huu.
Sambamba na hilo Mongella ameongoza maandamano makubwa kutoka ofisi za CCM, Mkoa hadi kata ya Kitangili kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi huo wa serikali za mitaa na kukipigia kura chama cha Mapinbduzi, CCM.
Sambamba na hilo Mongella ameongoza maandamano makubwa kutoka ofisi za CCM, Mkoa hadi kata ya Kitangili kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi huo wa serikali za mitaa na kukipigia kura chama cha Mapinbduzi, CCM.