Monitoring and evaluation, Kwa yoyote anayefahamu hili

Monitoring and evaluation, Kwa yoyote anayefahamu hili

Stv Mkn

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
328
Reaction score
273
Wakuu natafuta short course ya monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania au East Africa. Naomba kwa anayeweza kunifahamisha chuo au tahasisi inayotoa hii kozi, muda na gharama zake.

Pia kama kuna anayefahamu scholarship za short course za hii kozi nje ya nchi anifahamishe, njia zake. au jinsi ya kupata updates ya trainings mbalimbali.

Mimi nina degree na masters ya PublicAdmnistration.

Natanguliza shukrani na ubarikiwe utakae nipa mwanga.
 
Wakuu natafuta short course ya monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania au East Africa. Naomba kwa anayeweza kunifahamisha chuo au tahasisi inayotoa hii kozi, muda na gharama zake.

Pia kama kuna anayefahamu scholarship za short course za hii kozi nje ya nchi anifahamishe, njia zake. au jinsi ya kupata updates ya trainings mbalimbali.

Mimi nina degree na masters ya PublicAdmnistration.

Natanguliza shukrani na ubarikiwe utakae nipa mwanga.
Mkuu mambo M&E sisi watanzania hatuko vizuri sana hebu jaribu kufuatilia Kenya maana kuna MTU namfahamu alikwenda kusomea Kenya.
 
Tuko vizuri tz achana na huyo mcharo anayehusudu kenya sijui ana bwana huko jzribu bacas sua
 
Mkuu mambo M&E sisi watanzania hatuko vizuri sana hebu jaribu kufuatilia Kenya maana kuna MTU namfahamu alikwenda kusomea Kenya.

Asante mkuu, nitafatilia...Ila kama una info yoyote itayosaidia kujua pa kuanzia ningefurahi sana. Naiitaji sana hii course kwenye career yangu.
 
Tuko vizuri tz achana na huyo mcharo anayehusudu kenya sijui ana bwana huko jzribu bacas sua

Sijakuelewa hapo mwishoni mkuu, nijaribu wapi?..ilo la Kenya pengine ana experience tofauti yeye tusimpuuze.
 
Alafu nachoshangaa hii course mbona haifundishwi sana na vyuo vyetu wakati ni deal sana nowadays haswa kwenye international agencies/orgs.
 
kama unataka knowledge tu, unaweza kwenda kumuomba Dr yoyote, aloyesomea project planning. Akatenga muda akakufundisha. Wataalamu wapo sua, udsm, open dsm na tumaini.Mimi kuna jamaa angu alikuwa akihitaj knowledge tu akaenda Tumaini iringa kuna Dr akamfundisha kama wiki mbili. Monitoring and evaluation ni sehem ya project management.
 
Tuko vizuri tz achana na huyo mcharo anayehusudu kenya sijui ana bwana huko jzribu bacas sua
A cha matusi mkuu Mimi nipo kwenye mambo ya Consultancy na nishafanya kazi na wataalamu wengi tu wanaenda Nairobi kuchukua Darasa.Hi kitu wakenya wako mbali sana kuliko sisi waltz,penye ukweli kubali tu mkuu hata kama wakenya huwapendi.
 
open walitangaza kuanza kutoa Masters yake ktk matawi ya DSM, arusha na Zanzibar.
 
Wakuu natafuta short course ya monitoring and evaluation kwa hapa Tanzania au East Africa. Naomba kwa anayeweza kunifahamisha chuo au tahasisi inayotoa hii kozi, muda na gharama zake.

Pia kama kuna anayefahamu scholarship za short course za hii kozi nje ya nchi anifahamishe, njia zake. au jinsi ya kupata updates ya trainings mbalimbali.

Mimi nina degree na masters ya PublicAdmnistration.

Natanguliza shukrani na ubarikiwe utakae nipa mwanga.

mimi nna madesa tu ya M&E kama upo tayari nipe email address yako niwe nakurushia kidogokidogo yapo mengi,
 
kama unataka knowledge tu, unaweza kwenda kumuomba Dr yoyote, aloyesomea project planning. Akatenga muda akakufundisha. Wataalamu wapo sua, udsm, open dsm na tumaini.Mimi kuna jamaa angu alikuwa akihitaj knowledge tu akaenda Tumaini iringa kuna Dr akamfundisha kama wiki mbili. Monitoring and evaluation ni sehem ya project management.

Nimekusoma mkuu, mimi nahitaji knowledge ya nguvu kuhusu hii kitu, nakosa fursa nyingi sana sababu wanaitaji mwwnye kujua. Licha ya knowledge lazima niwe na kitu cha kuni certify ata wakitaka document nakuwa nayo. Huyo jamaa yako alipewa doc yoyote na huyo teacher?
 
kama unataka knowledge tu, unaweza kwenda kumuomba Dr yoyote, aloyesomea project planning. Akatenga muda akakufundisha. Wataalamu wapo sua, udsm, open dsm na tumaini.Mimi kuna jamaa angu alikuwa akihitaj knowledge tu akaenda Tumaini iringa kuna Dr akamfundisha kama wiki mbili. Monitoring and evaluation ni sehem ya project management.
Kwa UDSM akamtafute Dr.Haji Semboja dept ya economics,hiyo kozi inafundishwa na IDS,but lecturer ni semboja,akionana nae anaweza mkubalia kuingia darasani,semester hii inayoanza juna 3 ndo huwa inafundishwa
 
open walitangaza kuanza kutoa Masters yake ktk matawi ya DSM, arusha na Zanzibar.

Poa nitafatilia ila tayari nina masters, sasa kukaa miaka miwili tena nasoma itaniwia ngumu ukiangalia. bado sina permanent job. Ndio maana niliprefer short course.
 
Kuna Chuo kipo Arusha pale Usa River maarufu kama 'Danish Voluteer' zipo hizi course
 
Kwa UDSM akamtafute Dr.Haji Semboja dept ya economics,hiyo kozi inafundishwa na IDS,but lecturer ni semboja,akionana nae anaweza mkubalia kuingia darasani,semester hii inayoanza juna 3 ndo huwa inafundishwa

Nitafatilia hii mkuu. Asante sana.
 
A cha matusi mkuu Mimi nipo kwenye mambo ya Consultancy na nishafanya kazi na wataalamu wengi tu wanaenda Nairobi kuchukua Darasa.Hi kitu wakenya wako mbali sana kuliko sisi waltz,penye ukweli kubali tu mkuu hata kama wakenya huwapendi.

mkuu utakuwa hukufanya utafiti wa kitosha Tanzania, wataalamu wapo mbona, open wanatoa masters yake na kila chuo kinachotoa masters ya project planning kuna wataalamu wa hiyo kitu.Hakuna mtaalamu wa project asiyejua hiyo. kwenye ajira wametenganisha project coordinator na mtu wa Mo & E kwa maana kwamba coordinator hawez kuiassess kaz aliyofanya. Ila utaalumu ni mmoja project planning and management. Hata hao wanaotoa masters yake ukifatilia koz zake utakuta hakuna tofauti na master ya project.
 
Back
Top Bottom