Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

ili inabidi aulizwe popote atakapo-onekana akikatiza ili isiwe ni sawa na kujaza gunia maji. Linahusika sana coz hizi gharama ni kubwa sana!!

Ni kweli gharama ni kubwa mno na kwa hesabu ya haraka zimeishafikia zaidi ya Bilioni moja na ushehe. Hatujui mpaka kesi inamalizika zitafikia kiasi gani. Thamani ya samaki hao ni kama Bilioni Mbili. Kwa hili Mheshimiwa Magufuli asilaumiwe. Watendaji wake ambao naona ni Mawakala wa Wenye viwanda vya kusindika minofu ya samaki walimzunguka na kumuingiza mkenge. Kwa hali ya kawaida Samaki hao ilitakiwa wahifadhiwe Chuo Cha Uvuvi Mbegani - Bagamoyo ambapo kuna Majogofu (Cold rooms) yenye uwezo wa kuhifadhi samaki hao; hata japo kwa malipo badala yake wakaamua samaki hao wakahifadhiwa kwenye Majogofu ya Mfanya biashara binafsi aitwaye Bhagat? Hii ni hujuma!!!.

Mahakama zetu nao wamechangia naona kwa kukosa uzalendo. Kwa kuwa Mahakama zina uwezo wa kuruhusu samaki au mali ambayo inaweza kuharibika (perishable) iuzwe na fedha zikatiwe sitakabadhi ya Serikali ambayo inatumika Mahakamani kama Exhibit. Kwa nini Hakimu aamue kusitisha zoezi la mnada kwa kisingizio kuwa Mahakama yake ni mamlaka ya chini na kwamba anataka samaki hao waoneshwe kama ushahidi kwenye Mahakama za juu!! Kwani hilo hakulijua tangu siku ya kwanza alipopokea kesi hiyo?? je kusingekuweko huduma ya kuwahifadhi hao samaki angechukua uamuzi gani?

Wadau kuna maswali mengi kuliko majibu. Lakini yote hayo ni dalili za ufisadi na Hujuma kwa Taifa letu.
 
Ni kweli gharama ni kubwa mno na kwa hesabu ya haraka zimeishafikia zaidi ya Bilioni moja na ushehe. Hatujui mpaka kesi inamalizika zitafikia kiasi gani. Thamani ya samaki hao ni kama Bilioni Mbili. Kwa hili Mheshimiwa Magufuli asilaumiwe. Watendaji wake ambao naona ni Mawakala wa Wenye viwanda vya kusindika minofu ya samaki walimzunguka na kumuingiza mkenge. Kwa hali ya kawaida Samaki hao ilitakiwa wahifadhiwe Chuo Cha Uvuvi Mbegani - Bagamoyo ambapo kuna Majogofu (Cold rooms) yenye uwezo wa kuhifadhi samaki hao; hata japo kwa malipo badala yake wakaamua samaki hao wakahifadhiwa kwenye Majogofu ya Mfanya biashara binafsi aitwaye Bhagat? Hii ni hujuma!!!.

Mahakama zetu nao wamechangia naona kwa kukosa uzalendo. Kwa kuwa Mahakama zina uwezo wa kuruhusu samaki au mali ambayo inaweza kuharibika (perishable) iuzwe na fedha zikatiwe sitakabadhi ya Serikali ambayo inatumika Mahakamani kama Exhibit. Kwa nini Hakimu aamue kusitisha zoezi la mnada kwa kisingizio kuwa Mahakama yake ni mamlaka ya chini na kwamba anataka samaki hao waoneshwe kama ushahidi kwenye Mahakama za juu!! Kwani hilo hakulijua tangu siku ya kwanza alipopokea kesi hiyo?? je kusingekuweko huduma ya kuwahifadhi hao samaki angechukua uamuzi gani?

Wadau kuna maswali mengi kuliko majibu. Lakini yote hayo ni dalili za ufisadi na Hujuma kwa Taifa letu.


john pombe magufuli for presidency 2010...
 
john pombe magufuli for presidency 2010...
Huyu bwana bado ni tishio kisiasa!

Mwaka juzi walimpiga vita sana hapa JF, akazushiwa vijikashfa vingi sana, hata wakati fulani wakasema amefariki. Nafuu aliyonayo sasa hivi ni kwamba sisiemu-MTANDAO wamelala mbele kuogopa vita dhidi ya ufisadi.

Unawaita warudi?
 
Mugishagwe
Kama mtandao umeenea mpake kwenye media basi tumekwisha! Ndio maana sasa kwenye magazeti hakuishi headings kama "Kikwete Mwisho" "Kikwete Kiboko" "Haijapata Kutokea". Wananchi wanachotaka kuona ni uchambuzi wa kina kuhusu utendaji kazi wa serikali ili ambapo pana makosa wakosolewe na penye mafanikio wapewe hongera.

Katika pitapita zangu mtandaoni nilikumbana na hii article,

In Bed With State

Source: http://home.ripway.com/2005-4/290382/mapenzi.doc

Tanzania is perhaps the only country in the region with four sports dailies and no less than seven titles that thrive on sheer pornography. Ernest Mpingajira explains why.

In a free media environment, why would the Press keep mum when the president travels in a reconditioned jet for which the taxpayer forked out twice what would have cost a brand new aircraft? Or, why would the Tanzanian media look the other side when the government purchases junk radar equipment at a time when airport security has become a matter of international concern since 9/11?

The answers are never easy to come by until one delves into the cosy relationship between media practitioners and the powers that be in Tanzania.

In April this year, two very experienced editors, Said Nguba and Mhingo Rweyemamu, committed what amounted to professional impropriety. They manipulated a picture of former OAU secretary-general, Dr Salim Ahmed Salim, and cast him as a member of an Islamic terrorist group Hizbu.

At the time this happened, Dr Salim was running neck and neck for the Chama Cha Mapinduzi presidential nomination against the eventual victor, Jakaya Kikwete. Dr Salim looked set to win the nomination to vie for the presidency in the October 30 General Election.

Within the CCM ranks, Dr Salim’s encroachment on Kikwete’s turf was a major threat and his wings had to be clipped at whatever cost.The offensive picture was fished out of the archives, manipulated and published on page one of Mwananchi Kiswahili daily. It portrayed Dr Salim as a racist and an Arab supremacist who masterminded the assassination of Zanzibar’s first president, Abeid Amani Karume.

Foremost diplomat
Naturally, Dr Salim protested, but the damage had been done. For the time being, Tanzania’s foremost diplomat will never shake off this tag for the rest of his political life. The two Mwananchi editors, Nguba and Rweyemamu, were given their marching orders by the employer but for Dr Salim, the die had been cast; he lost to Kikwete, who is likely to become Tanzania’s president in the October polls. But rather than feel ashamed of the unorthodox conduct of the two editors against his opponents, Kikwete has rewarded Nguba by appointing him his press secretary. He is touted to become permanent secretary in the ministry of information and broadcasting upon Mr Kikwete’s ascendancy to power.
Nguba took up his new role with gusto; his first clean up move was to rid the local media of people deemed to be hostile to CCM. He has his searchlight focused on foreign journalists who have in the recent past questioned everything from state firms using taxpayer’s money to run paid adverts in the media to support CCM and its presidential candidate.

Curious foreign journalists appeared to give voice to Tanzania’s often-timid opposition parties. They went further and questioned why CCM was using state-owned media to campaign for its candidates. Questions about why the CCM had hit the campaign trail before parliament is prorogued and the National Electoral Commission (NEC) gives the green light for start of campaigns angered CCM mandarins. They cracked the whip. The result was the expulsion of the gung-ho journalists who had begun asking the party to observe the law that it had so brazenly broken in the past.

Unless you are spreading the ruling party’s propaganda, the standard rule in the Tanzanian industry media is "never scratch beneath the surface." Make a mistake of forcing CCM to account for its activities and the repercussions would be unbearable.

In June, a columnist with one of Tanzania’s widely read weeklies, Rai, Jabbir Idrissa, dared tread the unbeaten path. In an incisive analysis of the sporadic election violence in Zanzibar, the writer accused CCM of heavy-handedness. CCM reacted swiftly: he was branded an alien and threatened with being stripped of citizenship. He was temporarily barred from writing anything about the isles. Of course, Jabbir Idrissa was born in Zanzibar and is in possession of a press card that allows him to travel to any part of Tanzania.
The government relented on its threat only after the intervention of Amnesty International and the International Press Institute.

Idrissa’s run-in with the authorities was, however, not as nasty as say what befell the country’s top journalist, Jenerali Ulimwengu, in the early years of President Benjamin Mkapa’s presidency. Having campaigned for Mkapa to win the 1995 General Election, Ulimwengu, a media owner, felt betrayed by Mkapa’s partiality to sleaze.

Mkapa, with whom Ulimwengu worked at the Daily News (Tanzania’s oldest English daily) in the 1970s alongside Kenya’s Philip Ochieng, did not take kindly to Ulimwengu’s bare-knuckled criticism of entrenched graft in the government. He responded by stripping Ulimwengu of his Tanzanian citizenship, claiming the latter was a Tutsi from neighbouring Rwanda. Like a marionette, Ulimwengu was tweaked rudely into line. He plays it safe these days lest he is deported.

Ulimwengu’s once flourishing stable of newspapers was denied government advertisements. Private firms that advertise in newspapers deemed to be hostile to the government, too, risk the wrath of the powers that be if they place ads in the "hostile" publications. To this day, Ulimwengu’s Habari Corporation, the second largest media house in Tanzania, survives on a shoestring budget and there are no indications that it will pick up the pieces soon because CCM looks set to retain power.

The flipside of the journalists and media houses being marked by the government is that praise- singing publications carry many government adverts. Taking the cue from the government, private firms also place adverts only in newspapers the government does business with. Papers that write positively about opposition politics also risk being sidelined by the government.

Investors in the media industry know full well that circulation revenue alone cannot sustain a newspaper, and the more advertising the better.

The risk of losing government adverts sends a clear message: see nothing, say nothing; the gravy train will come your full way. Scratch beneath the surface, expose the underside and your nose will be bloodied.

With this stick and carrot (call it club and pie) method, the government has managed to clamp down on the media so much that Tanzania is perhaps the only country in the region with four sports dailies and no less than seven titles that thrive on sheer pornography!

In sports and pornography, journalists and investors rarely cross the government’s path. In all, Tanzania has more than 15 dailies and over 30 weeklies, which are published in the commercial capital of the country, Dar es Salaam, but their content is invariably hymnal – praise be to the government!

Radio and TV stations, which number more than 25 and spread over the country, fair no better. They are no more than tools for individual’s self-glorification. It would be presumed that pornographic and seminar/workshop journalism have taken root in Tanzania because the industry wants to steer clear of political and investigative reporting, which ordinarily drive circulation in other parts of the world. Compared with Uganda and Kenya, where the media – sometimes even the state-owned media – hold the government of the day to account, Tanzania’s media portrays itself as part of the government.

Even after the country shed its socialist cloak, the Fourth Estate has not played its public watchdog role. Except in the case when Ulimwengu took President Mkapa’s government to task over the brazen theft of public utilities by people close to him, the industry is yet to wake up to its core role of informing the public. Hence the citizens lack an impartial vehicle of information, and political repression is a reality.

Tyrannical
Unbeknown to the outside world, Mkapa is one of those African leaders who do not brook criticism – however, fair. His tyrannical tendencies are something most Tanzanians talk about in muted tones.

So intimidated are political leaders and the media that those within the ruling party cannot change allegiance to the opposition for fear being persecuted. And to stay on the lee side of government fire, many journalists are members of the ruling party.

Some are retained to paint a rosy picture of CCM and its leaders. And overzealous ones like Said Nguba and Mhingo Rweyemamu are assured of plum appointments. In this situation it is difficult to expect a lot from journalists and media owners who expect to be cuddled by their government.

After Mark Bomani, a former CCM stalwart who passed on in April this year, leaked to the media how his party had made questionable purchases of aircraft and airport equipment, one would have expected the media to take the cue and peek into the government’s other shady deals.

And they are many: from questionable disposal of state firms, houses, issuance of mining licences, awarding of plum contracts to firms associated with the big shots in the government, etc to arm-twisting officials to approve questionable decisions.

Whereas Tanzania is a goldmine for stories that speak for the downtrodden, the poor, the marginalised and the disenfranchised, few stories seriously tackle these themes. Runaway graft at all levels of society has given Dar es Salaam the nickname of Bongo — implying that you only need to be crafty to make it in life.

WanaMtandao walikuwa, na bado wanatafuta jinsi ya kumuondoa J.P.Magufuli (JPM) kwenye Cabinet. Kwanza wanataka kuanza kwa kum-discredit mbele ya public ili hatimaye wakimuondoa pasiwe na kelele nyingi.

Inafahamika fika kuwa uamuzi wa kuuza nyumba za Serikali ulikuwa wa Serikali kuu ya B.W.Mkapa, na ulipitishwa na Cabinet, Kikwete naye akiwemo ndani ya Cabinet. By the way Kikwete naye amechukua nyumba ya Serikali. Magufuli alitangaza kwa kuwa zilikuwa chini ya Wizara yake.

JPM ni kiongozi mtendaji halisi popote pale, iwe Ujenzi, Ardhi au sasa Samaki/Nyama (sic!), na hii ni threat kwa watu fulani. Period.
 
Nitaridhika akiondolewa Mramba sio magufuli.

Nimuhimu pia uchunguzi ufanyike maana Magufuri katumia vibaya madaraka kwenye miradi ya barabara akiwa waziri wa miundombinu, vilevile akiwa ardhi si safii kabisaaa
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.

Kwa nini unaona Magufuli anafaa kwenye wizara hiyo? Lazima useme umetumia vigezo gani au umeangalia nini mpaka kufikia kuona hivyo. Kwa nini awekwe wizara ya mambo ya ndani na si wizara nyingine?
 
Mwanafalsafa;

Si dhani kwamba wewe ni mtoto sana kiasi kwamba wakati magufuri akiwa wizara ya ujenzi hukuwa unajitambua.Kamundu hana haja ya kutaja au kusema kwanini magufuri awekwe nafasi ya masha.Mambo aliyoyafanya akiwa miundo mbinu yanafahamika, sasa unataka ataje nini.Kama enzi za magufuri ulikuwa mtoto mdogo basi ulizia watu wakwambie alifanya nini.

Masha, mimi binafasi sioni anafanya nini na kazi gaini zaidi ya kutapatapa kwenye nafasi aliyopewa.JK,sijui kama kwanini hajaliona hilo,watu wanaingia Tanzania kufanya kazi kumbe wanapita immigration kuwa wanakuja kutembea Tanzania kumbe wanakuja kupiga mzigo Tanzania alafau nyie ndo wa kwanza kulalamika wachina wamejaa kariakoo,sijui wazungu wamejaa tanzania nani anawaopitisha kama siyo yeye na staff wake.
 
Mwanafalsafa;
Si dhani kwamba wewe ni mtoto sana kiasi kwamba wakati magufuri akiwa wizara ya ujenzi hukuwa unajitambua.Kamundu hana haja ya kutaja au kusema kwanini magufuri awekwe nafasi ya masha.Mambo aliyoyafanya akiwa miundo mbinu yanafahamika, sasa unataka ataje nini.Kama enzi za magufuri ulikuwa mtoto mdogo basi ulizia watu wakwambie alifanya nini.
Masha, mimi binafasi sioni anafanya nini na kazi gaini zaidi ya kutapatapa kwenye nafasi aliyopewa.JK,sijui kama kwanini hajaliona hilo,watu wanaingia Tanzania kufanya kazi kumbe wanapita immigration kuwa wanakuja kutembea Tanzania kumbe wanakuja kupiga mzigo Tanzania alafau nyie ndo wa kwanza kulalamika wachina wamejaa kariakoo,sijui wazungu wamejaa tanzania nani anawaopitisha kama siyo yeye na staff wake.

I still stand by what I said. Kwa nini kaona atafaa wizara ya mambo ya ndani? Kufanikiwa wizara ya ujenzi haimaanishi ata fanikiwa wizara ya mambo ya ndani.

Na pia swali lingine ni kwamba kwa nini kaona apelekwe wizara ya mambo ya ndani na si wizara nyingine? Kwani ni wizara ya mambo ya ndani tu ndiyo yenye waziri aliye boronga?

Hatuwezi kuassume kuwa mawazo ya mtoa mada itakua sawa na ya kila mchangiaji. Swali langu halina tatizo lolote. Kaja na kasema Magufuli ahamishwe huko sasa kwa nini asiseme why? Na itambulike sijasema Magufuli hata fanikiwa huko ila ina paswa aseme why he feels magufuli should be there. Sasa wewe unakuja na kusema tu hujaona mafanikio yake wizara ya ulinzi?

There is no problem with my question mkuu.
 
Mwanafalsafa;
Wewe binafisi unaona masha anafanya kazi nzuri sio.Mimi nilivyomwelewa huyu bwana ni kamba wizara ya mambo ya ndani ni nyeti sana.Ukiangalia swala zima la utitili wa watu wanaotinga Tanzania mpaka madreva kuja kufanya kazi Tanzania na khali tunao madreva wa kutosha hapa na wenye uzoefu.Na wanapita borders kwa kuja kutembea tu.Ndo huyu bwana akaona nafasi hii afadhali apewe mtu strict,kama magufuli.Toa pendekezo lako na wewe jinsi unavyoona lakini sio kupinga hoja mojakwamoja, inaonekana imekukela kabisa hiyo.
 
Mwanafalsafa;
Wewe binafisi unaona masha anafanya kazi nzuri sio.Mimi nilivyomwelewa huyu bwana ni kamba wizara ya mambo ya ndani ni nyeti sana.Ukiangalia swala zima la utitili wa watu wanaotinga Tanzania mpaka madreva kuja kufanya kazi Tanzania na khali tunao madreva wa kutosha hapa na wenye uzoefu.Na wanapita borders kwa kuja kutembea tu.Ndo huyu bwana akaona nafasi hii afadhali apewe mtu strict,kama magufuli.Toa pendekezo lako na wewe jinsi unavyoona lakini sio kupinga hoja mojakwamoja, inaonekana imekukela kabisa hiyo.

Mkuu mbona unaspin mambo? Sijasema Masha anafanya kazi nzuri nimemuuliza kwa nini anaona Magufuli anafaa. Wewe unaona nimefanya kosa kuuliza hilo? Haha wewe ndiyo umekereka mkuu. Yeye kamtaja mtu na hajatoa sababu sasa kuna ubaya kuhoji kwa nini anafaa? Kama nilivyo sema mkuu sijakataa pendekezo lake I simple asked yeye kwa nini anaona anafaa na sidhani mtoa mada anakuhitaji umjibie.
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.
Binafsi natambua mfumo wa uongozi tulio nao hauna dira ya kutupeleka pale tunapotaka kimaendeleooo...mkuu wa kaya hawezi kukiri eti 30% ya bajeti kupitia manunuzi inakwenda mifukoni kwa wachache tena wanajulikanaaaa..

kubadili masha ya magufuli bado ni sawa tuu bila kufanya hata utafiti wa vigezo kwani pamoja na mfumo unaochochea uzembe kaziniii..magufuli amejitahidi kuwa action oriented na kusonga mbele kuliko wenzake wotee kwa sasa ndani ya cabinet!!!!!

haitoshi kumbadili na masha kwani anastahili kuwa kiranja mkuu kwa mazingira ya uzembe wa sasa tulio nao..(mapungufu yake bado sio kikwazo cha maendeleo)
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.

Wewe sema madhambi ya Masha na PENDEKEZA aachishwe kazi Maghufuri sio muarobaini, wako watu wengi hata Anne Kilango. muacheni Maghufuri wetu asimamie KITOWEO kwanza ndio aondoke aje kuwa RAIS wetu 2020.
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.
Kwanini Magufuli kwanini usiwe wewe au yule na yule! kuna zitto, hamad rashi etc....embu tuibue vipaji vingine ati! magufuli is about to retire.
 
Waziri magufuli anatakiwa kuwekwa wizara ya mambo ya ndani na Masha anatakiwa kuachishwa kazi. Huyu Kijana anatutia aibu sana na ni kitu cha kushangaa kwamba ni kizazi kipya. Hakuna mtu anamwamini Masha hivyo ningependekeza Masha kutolewa na nafasi yake kuchukuliwa na Magufuli.


Kwa mtazamo wangu naona bado magufuli hastahili wizara ya mambo ya Ndani. Kwake wizara inayomstahili ni kama fedha au wizara yoyote inayoshughulika moja kwa moja na kuongeza pato la taifa na yenye kuhitaji usimamizi makini. Nafikiri madini kunamfaa zaidi kuhakikisha tunapata hela za kutosha na kukuza pato la taifa. Au tumrudishe infrastructure ambako kuna uozo kem kem
 
Kwa mtazamo wangu naona bado magufuli hastahili wizara ya mambo ya Ndani. Kwake wizara inayomstahili ni kama fedha au wizara yoyote inayoshughulika moja kwa moja na kuongeza pato la taifa na yenye kuhitaji usimamizi makini. Nafikiri madini kunamfaa zaidi kuhakikisha tunapata hela za kutosha na kukuza pato la taifa. Au tumrudishe infrastructure ambako kuna uozo kem kem
Shangazi bado hatujamaliza Project yetu Chalinze-Msata-Segera, pls
 
Kwa mtazamo wangu naona bado magufuli hastahili wizara ya mambo ya Ndani. Kwake wizara inayomstahili ni kama fedha au wizara yoyote inayoshughulika moja kwa moja na kuongeza pato la taifa na yenye kuhitaji usimamizi makini. Nafikiri madini kunamfaa zaidi kuhakikisha tunapata hela za kutosha na kukuza pato la taifa. Au tumrudishe infrastructure ambako kuna uozo kem kem

Hapa mkuu sawa, kama mh magufuli au mtu mwingine yoyote wa aina yake angepelekwa kushikilia wizara ya madini, sidhani hata kama issue ya north mara ingekuwa story leo achilia mbali umaskini tuliojitengenezea kwa kwa kubadilishana madini na mahandaki.
 
12.jpg


13.jpg


Mambo anayopenda sana Mh Masha ! kwa haya anafaa sana kuliko nafasi aliyo nayo kitaifa!
 
Back
Top Bottom