Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Kwahiyo Lowassa ni muadilifu..??
Mwadilifu sana,aliwajibika kuiokoa serikali.
Leo mmemtosa mkimhamishia kawama zote yeye huku mkiogopa kumpeleka mahakamani.Sasa ngojeni awaonesheni mabadiliko
 
Nilimsikia huyo makufuli kwenye mkutano wa shinyanga anawaambia watu huyu mgombea wa ubunge Ccm alisoma na mdogo wangu Mussa kwa hiyo nitamuongezea na km 10, siwezi kumwangusha,,nikachoka
 
Kufananisha ufisadi wa magufuli kama upo na ufisadi wa lowasa ni sawa na kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu au mto Amazon na mfereji.

Toeni masihara yenu hapa.
 
Kumbe hata hujuwi unaloongea.mali za serikali zinauzwa kwa yeyote atakaefika bei awe mtumishi au mwanafunzi.it doesn't matter who you are.so long as the government collects its share

Mkuu,Lowassa anapoimba Elimu,Elimu.Elimu ina maana kubwa kwako ila wewe hujui tu!
 
Sio tatizo kumuuzia mdogo wake nyumba. Kumaliza chuo tu sio sababu ya kutokuwa na pesa. Mussa Magufuli ni mtanzania kama watanzania wengine. Swali ni je, who was eligible to buy?

Hakua eligible, sheria ilikua inatamka wazi awe ni senior civil servant, sasa mtu hata hajaajiliwa aliuziwaje nyumba?

Vile vile mpenzi wake ambae alikua sio mtumishi aliuziwaje nyumba, hapa ishu sio utanzania, ishu ni utaratibu na matakwa ya sheria ya uuzaji nyumba zilipindishwa na magufuri mwenyeee.
Mtu kama huyo hafai.
 
Bora ungekaa kimya kuliko kuandka pumba afu unaanza na kumaliza na kingereza utafikri mjuaji kweli hivi kna mali ya umma itauzwa bila masharti???
Mbna kila mwenye hela angeenda kununua!!! Kichwa kisichokuwa na akir ni mzigo kwa miguu

Sure mkuu huyo barafuyamoto hana akili, kichwa kinalemea miguu.
 
Last edited by a moderator:
Kamùulize babu yako anayefaa alipata wapi hela za kununua nyumba uingereza tena London? Na kwanini asingenunua humu tanzania kama yeye mzalendo? Bora magufuli anawekeza nchini kwake. Mzobe Mzobe na magufuli hadi magogoni

Vijana va ccm hamuwezi kuwaza, vichwani mmejaza mav.i na kazi ya kuwaza mmemuachia nape na makamba wote walufeli hata moja ongeza moja hawajui,nape alipata sifuri, makamba akaiba mtihani leo ndio think tank ya vijana wa ccm.

Kama jiniasi ndani ya ccm ni nape unategemea nini, mzee mwenye busara ni mkapa na makongoro unatevemea nini.
 

Hakuna anaelalamikia kuhusu uuzwaji wa nyumba, hilo tunajua ni kosa la serikali nzima ya awamu ya kipara na adunje, hoja ni utaratibu wa kuziuza.

1. Aliepewa mamlaka ya kuuza hakuwa waziri wala wizara, ilipewa Tanzania Building Agency maana ndie msimamizi wa ujenzi wa nyumba za serikali, kwa hiyo walipewa kama independent body kusimamia uuzaji wa nyimba. Magufuri akaingilia uuzaji wa nyumba wakati hakua amepewa mamlaka kuuza, yeye akawa ndio anataka nani auziwe na nani asiuziwe, nani auziwe bei gani na nani asiuziwe.

Mfano, nyumba ya bilioni moja yeye akaithaminisha ni milioni 52 na akaamuru apewe hosea wa Takukuru, yeye sio mthaminishaji wa majengo na hakupewa hiyo kazi. Nyumba ya bilioni 1.5 akamuuzia hawala yake milioni 22.

2. Sheria ya uuzaji ilitaka atakaeuziwa kwamnza awe mtumishi wa umma, yaani ana mkataba au barua ya ajira rasmi toka serikalini, pili awe ni senior kama hakimu wa wilaya,sijui nani wale wote mabosi bosi lakini alimuuzia mpenzi wake hakua mtumishi wa umma ukiachia usenior, mdogo wake hakua senior alikua intern tu bado hata hajapata barua ya uthibitisho kazini.

3. Magufuri alimuuzia makamo mwenyekiti wa sasa wa ccm mangula nyumba na baadhi ya wakuu wa wilaya, mangula hakua mtumishi wa umma, alikua katibu wa ccm.

Magufuri hafai kua rais na hawezi kua rais wa taifa lolote lile.
 
sasa kama una ushahidi,unasubiri nini kuupeleka mahakamani badala ya kupoteza muda humu jf?

Mimi sio dola, ni raia tu, naishangaa ccm na serikali yake yenye wajibu wa kuwapeleka waovu mahakamani inawachekea tu. Hovyo tu. Ok lakini pengine naongea na layman asiyejua hata mfumo wa sheria na mahakama unavyofanya kazi.
 
Duh hii habari sijui jaji warioba hajaiona mana ule wimbo wake wa uadilifu naona angeutafutia chorus nyngne
 
🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…