suala la magufuri ni kiini macho kila mtu anajua jk hakumtaka,jk watu wake alishawaandaa kabla ya kuwa rais mf..tangu wakati wa kampeni tulisikia fununu mkurugenzi wa idara angekua RO ambaye hata kabla hajaenda uk walikua washkaji na wakibadilishana mademu,,IGP shemeji kila mtu alijua na ikawa...na mjue wana mtandao wanaakili sasa hivi urais na chama wameupata wenzenu wanaangalia 2015,,kwa hiyo watu wote ambao hawawataki wanandaliwa political suicides kwa kutumia mhimili wa habari waliouteka hatukata magufuli si malaika lakini hamshangai kweli rai tunalolijua lina tabia hiii? tulizoea rai zamani likichokoza mada na kuendelea na nyingine lakini sasa inaonekana limefanya u turn kiuandishi naona linatumiwa..masikini magufuli ,,tishio lingine la urais 2015 ni mwandosya naona baada ya magufuli iatakua yeye,sumaye pamoja na kuwa ziro alisema "mtu anayeingia madarakani kwa kupaka wenzake matope kwa kalamu ,atatumia bunduki kusalia madarakani.."tungoje tuone,yetu macho!!!