MONUSCO yakiri kuiunga mkono kijeshi DRC katika vita baina ya jeshi la DRC na kundi la M23

MONUSCO yakiri kuiunga mkono kijeshi DRC katika vita baina ya jeshi la DRC na kundi la M23

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Umoja wa Mataifa nchini Congo, MONUSCO, limekili kuiunga mkono serikali ya DRC katika mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi hiyo.

MONUSCO ilikuwa na kambi ya kijeshi katika mji mdogo wa SAKE, uliopo Km 20 kutoka mji wa GOMA, huku kambi nyingine kubwa na uongozi vikiwa mjini GOMA. Hapo juzi baada ya mapigano makali, ambayo yameuzingira mji huo wa GOMA, MONUSCO ililazimika kuondoa kambi hiyo na kurudi GOMA mjini.

Baada ya siku moja, ndipo jeshi la DRC, washirika wake ambao ni kundi la wakongo lijulikanalo kama Wazalendo, kundi la wanajeshi wa nchi mbali mbali wenye ngozi nyeupe, na MONUSCO, waliamua kurudi kuikomboa SAKE, na ndipo alipouliwa Gen Chirimwami katika maandalizi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini auliwa na M23

Siku za nyuma, kulikuwa na malalamiko ya raia wa DRC waliokuwa wakidai uwepo wa MONUSCO hauna msaada na bora waondoke;mara nyingi walikamatwa na madini kutoka huko walikokuwa kakienda kwenye dolia za kijeshi, na kukingiwa kifua na serikali.

Katika mission zote za UN, wanajeshi hawa huwa na jukumu la kulinda amani ya raia waliopo katika maeneo yenye usalama mdogo, na kujihusisha na mapigano, ni pale tu wanapovamiwa,hivyo hawaruhusiwi kuvamia wao. Safari hii, mambo yamekwenda kinyume, wao wamefuata adui wa serikali na kuacha makazi yao.

Hata hivyo, msemaji mkuu wa kundi la M23 kisiasa, bwana Lawrence Kanyuka, ametangaza kwamba vita ni vya wenyewe kwa wenyewe, hivyo kuwaunga mkono, ni wazi wameingia uwanja wa vita hivyo M23 ina haki ya kujihami. Mpaka sasa,katika mapigano kati ya pande hizo mbili, wanajeshi 3 wa MONUSCO wamejeruhiwa.

Mpaka sasa, mji wa Goma umezingilwa na M23, na njia pekee ya kuingia au kutoka, ni njia ya maji au ya anga tu. Na kundi hilo lilisema kwamba ikitokea zikaingia ndege au boat za siraha, zitashughulikiwa.
 
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Umoja wa Mataifa nchini Congo, MONUSCO, limekili kuiunga mkono serikali ya DRC katika mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi hiyo.

MONUSCO ilikuwa na kambi ya kijeshi katika mji mdogo wa SAKE, uliopo Km 20 kutoka mji wa GOMA, huku kambi nyingine kubwa na uongozi vikiwa mjini GOMA. Hapo juzi baada ya mapigano makali, ambayo yameuzingira mji huo wa GOMA, MONUSCO ililazimika kuondoa kambi hiyo na kurudi GOMA mjini.

Baada ya siku moja, ndipo jeshi la DRC, washirika wake ambao ni kundi la wakongo lijulikanalo kama Wazalendo, kundi la wanajeshi wa nchi mbali mbali wenye ngozi nyeupe, na MONUSCO, waliamua kurudi kuikomboa SAKE, na ndipo alipouliwa Gen Chirimwami katika maandalizi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini auliwa na M23

Siku za nyuma, kulikuwa na malalamiko ya raia wa DRC waliokuwa wakidai uwepo wa MONUSCO hauna msaada na bora waondoke;mara nyingi walikamatwa na madini kutoka huko walikokuwa kakienda kwenye dolia za kijeshi, na kukingiwa kifua na serikali.

Katika mission zote za UN, wanajeshi hawa huwa na jukumu la kulinda amani ya raia waliopo katika maeneo yenye usalama mdogo, na kujihusisha na mapigano, ni pale tu wanapovamiwa,hivyo hawaruhusiwi kuvamia wao. Safari hii, mambo yamekwenda kinyume, wao wamefuata adui wa serikali na kuacha makazi yao.

Hata hivyo, msemaji mkuu wa kundi la M23 kisiasa, bwana Lawrence Kanyuka, ametangaza kwamba vita ni vya wenyewe kwa wenyewe, hivyo kuwaunga mkono, ni wazi wameingia uwanja wa vita hivyo M23 ina haki ya kujihami. Mpaka sasa,katika mapigano kati ya pande hizo mbili, wanajeshi 3 wa MONUSCO wamejeruhiwa.

Mpaka sasa, mji wa Goma umezingilwa na M23, na njia pekee ya kuingia au kutoka, ni njia ya maji au ya anga tu. Na kundi hilo lilisema kwamba ikitokea zikaingia ndege au boat za siraha, zitashughulikiwa.
Kwani Tanzania wanasemaje maana wanajeshi wetu wako pale
 
Duh ila Kongo bhana yaan waasi wanashinda jeshi kamili
Ndo hapo ujiulize huyo muasi anayemvaa Mkongo, Mrusi, Bulgalia, Burundi, Malawi, South Africa, Tanzania na wengine wengi ana mbinu gani! MONUSCO siku za nyuma ilisema wameiva kweli kweli si waasi kama waasi wa kawaida. Sema ubaya wa kila vita, kila mara traitors wapo, unapanga hili, taarifa zinapaa, unashitukia umeshamimywa malinda.
 
hivi haya majeshi ya MONUSCO NA SADC wanalinda amani ya raia wapi huko kongo maana vita havipoi watu wanauliwa,wanabakwa na kukimbia makazi..eti hawaruhusiwi kupigana wakati upo uwanja wa vita UN wanajidai kufata sheria wakati wahuni M23 wanapeleka moto tu..kuliko kufanya doria za show off bora wawachape tu hao washenzi ila kwa hizo sheria zao UN na majeshi yao ndio zinafanya mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi kwani inayapa nguvu zaidi makundi ya waasi kuchipua..ndio maana waasi wanajiamini kutenda lolote wakijua hakutokuwa na upinzani au hatua za maana zitafanywa na majeshi ya UN na SADC kisa sheria zao wenyewe zimewabana..haya majeshi ya UN yanawalinda waasi kuwa huru kufanya uharamia wao..na badala yake hao raia mnaosema eti mnawalinda ndio wanataabika hawana hiyo amani wao raia ndio walipaswa watambe kwa uhuru mitaani ila huko ni kinyume chake kabisa eti waasi wanajinafasi raha mustarehe mjini.!
 
Hapo kila upande wahuni........wanaoiunga mkono serikali ya Drc wakichukua mji wanaanza kumiliki wao madini na kuanza kupeleka sokoni na eneo akishika M23 nao hivyohivyo wanachukua madini wanapeleka sokoni na M23 maeneo mengi anayoshikilia anawapa wachimbaji bei nzuri kwahio watu wa eneo hilo madini yao wanakua wanauza kwa bei nzuri kuliko wakishika serikali,,naona hio ndo imewafanya M23 wapate support kubwa toka kwa raia wa kawaida,,,,na jamaa jeshi lao lina zana za kisasa sio waasi wachovu
 
hivi haya majeshi ya MONUSCO NA SADC wanalinda amani ya raia wapi huko kongo maana vita havipoi watu wanauliwa,wanabakwa na kukimbia makazi..eti hawaruhusiwi kupigana wakati upo uwanja wa vita UN wanajidai kufata sheria wakati wahuni M23 wanapeleka moto tu..kuliko kufanya doria za show off bora wawachape tu hao washenzi ila kwa hizo sheria zao UN na majeshi yao ndio zinafanya mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi kwani inayapa nguvu zaidi makundi ya waasi kuchipua..ndio maana waasi wanajiamini kutenda lolote wakijua hakutokuwa na upinzani au hatua za maana zitafanywa na majeshi ya UN na SADC kisa sheria zao wenyewe zimewabana..haya majeshi ya UN yanawalinda waasi kuwa huru kufanya uharamia wao..na badala yake hao raia mnaosema eti mnawalinda ndio wanataabika hawana hiyo amani wao raia ndio walipaswa watambe kwa uhuru mitaani ila huko ni kinyume chake kabisa eti waasi wanajinafasi raha mustarehe mjini.!
Umeelewa kilichoandikwa? Je umejaribu kufatilia vyombo vya habari? Ni muda mrefu sana hao MONUSCO wanawaunga mkono wanaopigana upande wa serikali. Kosa kubwa moja, jeshi la RDC halina umoja, halina nia, halijui linachokifanya. Pili, ukiacha mihemko, kama wapi UN ilisaidia? Libya? Afghanistan? Mali? Burkinafaso? Mzungu ni mzungu tu. Waafrica wangekuwa na umoja haya yote yasingetokea. Watu wanatengeneza pesa hapo hapo af wewe uanze kuleta za kupigana! Pale ni jikola kuoka mkate. Sema tu tayari kimenuka.
 
Umeelewa kilichoandikwa? Je umejaribu kufatilia vyombo vya habari? Ni muda mrefu sana hao MONUSCO wanawaunga mkono wanaopigana upande wa serikali. Kosa kubwa moja, jeshi la RDC halina umoja, halina nia, halijui linachokifanya. Pili, ukiacha mihemko, kama wapi UN ilisaidia? Libya? Afghanistan? Mali? Burkinafaso? Mzungu ni mzungu tu. Waafrica wangekuwa na umoja haya yote yasingetokea. Watu wanatengeneza pesa hapo hapo af wewe uanze kuleta za kupigana! Pale ni jikola kuoka mkate. Sema tu tayari kimenuka.
Ukweli jeshi la Congo na serikali yake ni mangese kabisa usaliti usaliti kila Kona R.I.P Generali Dumbia
 
Hapo kila upande wahuni........wanaoiunga mkono serikali ya Drc wakichukua mji wanaanza kumiliki wao madini na kuanza kupeleka sokoni na eneo akishika M23 nao hivyohivyo wanachukua madini wanapeleka sokoni na M23 maeneo mengi anayoshikilia anawapa wachimbaji bei nzuri kwahio watu wa eneo hilo madini yao wanakua wanauza kwa bei nzuri kuliko wakishika serikali,,naona hio ndo imewafanya M23 wapate support kubwa toka kwa raia wa kawaida,,,,na jamaa jeshi lao lina zana za kisasa sio waasi wachovu
Support ya m 23 ipo Kigali
 
Katika hali isiyo ya kawaida, jeshi la Umoja wa Mataifa nchini Congo, MONUSCO, limekili kuiunga mkono serikali ya DRC katika mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi hiyo.

MONUSCO ilikuwa na kambi ya kijeshi katika mji mdogo wa SAKE, uliopo Km 20 kutoka mji wa GOMA, huku kambi nyingine kubwa na uongozi vikiwa mjini GOMA. Hapo juzi baada ya mapigano makali, ambayo yameuzingira mji huo wa GOMA, MONUSCO ililazimika kuondoa kambi hiyo na kurudi GOMA mjini.

Baada ya siku moja, ndipo jeshi la DRC, washirika wake ambao ni kundi la wakongo lijulikanalo kama Wazalendo, kundi la wanajeshi wa nchi mbali mbali wenye ngozi nyeupe, na MONUSCO, waliamua kurudi kuikomboa SAKE, na ndipo alipouliwa Gen Chirimwami katika maandalizi hayo.

Soma Pia: Mkuu wa mkoa wa Kivu kasikazini auliwa na M23

Siku za nyuma, kulikuwa na malalamiko ya raia wa DRC waliokuwa wakidai uwepo wa MONUSCO hauna msaada na bora waondoke;mara nyingi walikamatwa na madini kutoka huko walikokuwa kakienda kwenye dolia za kijeshi, na kukingiwa kifua na serikali.

Katika mission zote za UN, wanajeshi hawa huwa na jukumu la kulinda amani ya raia waliopo katika maeneo yenye usalama mdogo, na kujihusisha na mapigano, ni pale tu wanapovamiwa,hivyo hawaruhusiwi kuvamia wao. Safari hii, mambo yamekwenda kinyume, wao wamefuata adui wa serikali na kuacha makazi yao.

Hata hivyo, msemaji mkuu wa kundi la M23 kisiasa, bwana Lawrence Kanyuka, ametangaza kwamba vita ni vya wenyewe kwa wenyewe, hivyo kuwaunga mkono, ni wazi wameingia uwanja wa vita hivyo M23 ina haki ya kujihami. Mpaka sasa,katika mapigano kati ya pande hizo mbili, wanajeshi 3 wa MONUSCO wamejeruhiwa.

Mpaka sasa, mji wa Goma umezingilwa na M23, na njia pekee ya kuingia au kutoka, ni njia ya maji au ya anga tu. Na kundi hilo lilisema kwamba ikitokea zikaingia ndege au boat za siraha, zitashughulikiwa.

Congo DR (Zaire) haijawahi kuwa na Utawala thabiti wenye Majeshi thabiti ya kuweza kupigana na Maadui zao na kushinda.
 
Umeelewa kilichoandikwa? Je umejaribu kufatilia vyombo vya habari? Ni muda mrefu sana hao MONUSCO wanawaunga mkono wanaopigana upande wa serikali. Kosa kubwa moja, jeshi la RDC halina umoja, halina nia, halijui linachokifanya. Pili, ukiacha mihemko, kama wapi UN ilisaidia? Libya? Afghanistan? Mali? Burkinafaso? Mzungu ni mzungu tu. Waafrica wangekuwa na umoja haya yote yasingetokea. Watu wanatengeneza pesa hapo hapo af wewe uanze kuleta za kupigana! Pale ni jikola kuoka mkate. Sema tu tayari kimenuka.
Hata wangekosa huo umoja basi wakaajaliwa uelewa. Waafrika tunachokijua ni ubishi na ujuaji. Mtu kakaa kwenye gogo la mnazi hapo la mboto anakwambia congo wajinga. Pale mzungu kakita mizizi kutoka kwake mpaka atake. Ana kazi ya kuweka mchanga anawambia wana puta, wanaputa wanaanza kuumizana wao kwa wao. Mzungu anajua kuwagombanisha watu weusi ni dk sifuri sababu vichwa 🎈
 
Back
Top Bottom