Moral Lesson kutoka kwa Harmonize

Moral Lesson kutoka kwa Harmonize

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
8,611
Reaction score
16,118
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Licha ya Harmonize kupitia changamoto nyingi hakika amefanikiwa kumrudisha Kajala kwenye himaya yake tena. Licha ya kukataliwa na kublokiwa kwenye mitandao ya kijamii hakika Harmonize aliendelea kumlilia Kajala Ili aweze kurudiana naye.

Ukiachilia mbali muda mwingi aliotumia Harmonize katika kuiteka Nafsi ya Kajala,pia ametumia gharama kubwa Sana ili kumuonyeshe Kajala Ni kiasi gani anavyompenda,kumthamini na kumhitaji.Jamaa alienda mbali zaidi akaamua kumtungia na nyimbo za Mtaje & You. Harmonize alikuwa anafanya haya yote kwa lengo la kumdhihirishia Kajala jinsi gani anavyompenda na kumhitaji.

Mambo aliyofanya Harmo Ni shughuli pevu Sana ambayo asilimia kubwa ya watu hasa vijana wa kiume wasingediriki kufanya kwani wengi huwa wanalichukulia hilo Kama ulimbukeni na kushindwa kujielewa.Hilo mi napingana nalo kbsa kwa sababu mtu anapohitaji kitu anatakiwa kuwekeza nguvu,akili na kila kitu na kutokukata tamaa licha ya kukumbana na changamoto mbali mbali Hadi pale atakapokipata.

Let's remember the story of persistent woman in the Bible.She didn't give up approaching the king untill the king decided to give in for her.Harmonize is now the proto- type of the persistent woman in the Bible.
He did anything at any cost just to restore Kajala in his life.

Ikija kwenye suala zima la mapenzi vijana wengi wa ckuiz huwaga wanafeli Sana.They're totally inpersistent.Yaani akitongoza mwanamke Mara Moja akamkatalia hata kishingo upande tu ndo Basi jamaa anasepa mazima ndo harudi Tena.

Yaani wavivu ajabu. Mwanaume hutakiwi kukata tamaa kirahisi rahisi hivyo jamani.Kama una lengo la kutimiza Jambo fulani maishani hakikisha unakomaa nalo mpaka pale utakapotusua. Haijalishi aina ya changamoto unazopitia ila hakikisha unapambana mpaka tone la mwisho la jasho Hadi ufaulu.

Binafsi niliwahi tumumia muda mrefu sana kutimiza Jambo fulani na nilihakikisha nimelifanikisha licha ya changamoto nyingi nilizopitia.So my dear comrades, we should always remain persistent & brave enough in chasing our dreams/ goals until we achieve them irregardless of the challenges we might be facing in the process.
 
Ndo maana wanaume wa humu wameumia maana jamaa kaonyesha kuwazidi kete katika kumshawishi mwanamke,, Ni vyema wakamuombe mbinu na ushauri, Harmo katika hili kaonyesha uanaume haswaa, aibu na dhihaka aliyopitia ni kubwa mno lakini alisimamia alichokitaka na kakipata
 
Alifanya vile kibiashara jina lake liendelee kua midomoni mwa watu ili aendelee kupata deals.

Na Kajala alivoona hata yeye atanufaika basi akakubali na watu kama wewe mleta uzi ndio walengwa na kawapata kweli.
 
Ndo maana wanaume wa humu wameumia maana jamaa kaonyesha kuwazidi kete katika kumshawishi mwanamke,, Ni vyema wakamuombe mbinu na ushauri,, harmo katika hili kaonyesha uanaume haswaa, aibu na dhihaka aliyopitia ni kubwa mno lakini alisimamia alichokitaka na kakipata
Kweli kbsa mkuu
 
Ndo maana wanaume wa humu wameumia maana jamaa kaonyesha kuwazidi kete katika kumshawishi mwanamke,, Ni vyema wakamuombe mbinu na ushauri,, harmo katika hili kaonyesha uanaume haswaa, aibu na dhihaka aliyopitia ni kubwa mno lakini alisimamia alichokitaka na kakipata
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 this is laughable. someone marrying damaged goods ndio waku mu admire??!!! kwa kweli sasa naanza kuamini bible, vibaya vitaonekana vizuri mbele ya macho ya mwanadamu.
 
Screenshot_20220626-121138_Twitter.jpg
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa.Licha ya Harmonize kupitia changamoto nyingi hakika amefanikiwa kumrudisha Kajala kwenye himaya yake tena. Licha ya kukataliwa na kublokiwa kwenye mitandao ya kijamii hakika Harmonize aliendelea kumlilia Kajala Ili aweze kurudiana naye.

Ukiachilia mbali muda mwingi aliotumia Harmonize katika kuiteka Nafsi ya Kajala,pia ametumia gharama kubwa Sana ili
Like Putin like Zelensky. .....😂😂😂
 
Nitapigania njia yeyote nipate hela na kufanikiwa LAKINI sio kufukuzia mwanamke, kwake hamo amewin lakini kwangu mie ni UJINGA na siwezi poteza muda kwa mambo kama hayo, we kapuku mwenzangu wa hapo Nyakanazi utaweza kuhonga mamilioni ya pesa ili kumpata mwanamke, Kajala kamkubalia jamaa coz jamaa kwenye gemu anakuja vyema bila kusahau material things jamaa kagharamia.

In a world where women outnumber men siwezi fanya huu upuuzi, wanawake ni wengi sana.
 
Ni vyema Kajala akawafunza wanawake anachofanya Hamo ili na watufanyie na sisi ili siku wakituacha tufanya kama hamo
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa.Licha ya Harmonize kupitia changamoto nyingi hakika amefanikiwa kumrudisha Kajala kwenye himaya yake tena. Licha ya kukataliwa na kublokiwa kwenye mitandao ya kijamii hakika Harmonize aliendelea kumlilia Kajala Ili aweze kurudiana naye.
Narudia tena.. kuna mambo huwezi fanya mpaka uvute kitu yani big up Tembo mnyama
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] this is laughable. someone marrying damaged goods ndio waku mu admire??!!! kwa kweli sasa naanza kuamini bible, vibaya vitaonekana vizuri mbele ya macho ya mwanadamu.
Muacheni Robert jaman
 
Kwa kweli jamaa anafaidi ule mtako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Robert ndio jina lake jipya?
Ndio nimesikia hivyo . Hivi nyie wanaume mnapopoa sana jamaa au mnaona wivu anaenda kujimilikisha zigo lile hehee
 
Alifanya vile kibiashara jina lake liendelee kua midomoni mwa watu ili aendelee kupata deals.

Na Kajala alivoona hata yeye atanufaika basi akakubali na watu kama wewe mleta uzi ndio walengwa na kawapata kweli.
Watu wengi tu zama hizi wanaingia kwenye mahusiano kimaslahi hivyo hamna ajabu hapo.
 
Nitapigania njia yeyote nipate hela na kufanikiwa LAKINI sio kufukuzia mwanamke, kwake hamo amewin lakini kwangu mie ni UJINGA na siwezi poteza muda kwa mambo kama hayo, we kapuku mwenzangu wa hapo Nyakanazi utaweza kuhonga mamilioni ya pesa ili kumpata mwanamke, Kajala kamkubalia jamaa coz jamaa kwenye gemu anakuja vyema bila kusahau material things jamaa kagharamia.

In a world where women outnumber men siwezi fanya huu upuuzi, wanawake ni wengi sana.
U nailed it mate! It is unfathomable that a man so talented, so loaded will, with his conscious mind change his religion to just marry a woman who he can easily keep shagging without the need to change his religion
 
Back
Top Bottom