More from WikiLeaks: Tanzania and the Fight to Stop Airbus Sale

More from WikiLeaks: Tanzania and the Fight to Stop Airbus Sale

Mie nimependa hapa...this is the govt without political will to tackle senior corruption. Mmm yaani hata hii sentensi hawataiona? hii tu ni aibu tosha, maskini JK wa watu asije kufa bure, hii si aibu hii jamani
 
Mie nimependa hapa...this is the govt without political will to tackle senior corruption. Mmm yaani hata hii sentensi hawataiona? hii tu ni aibu tosha, maskini JK wa watu asije kufa bure, hii si aibu hii jamani

Sura ya JK inazidi kuchafuka....na atachafuka mpaka achukue hatua.....
Gazeti la Mwanahalisi la wiki iliyopita lilisema kwamba JK tumbo moto: ni kuhusu WikiLeaks......
Bila shaka kuna cable kadhaa zitakuja ili kusiliba kabisa smile ya JK...
Very sad.....
 
Sura ya JK inazidi kuchafuka....na atachafuka mpaka achukue hatua.....
Gazeti la Mwanahalisi la wiki iliyopita lilisema kwamba JK tumbo moto: ni kuhusu WikiLeaks......
Bila shaka kuna cable kadhaa zitakuja ili kusiliba kabisa smile ya JK...
Very sad.....

Lazima akubali kutoka kitini
 
Maana ya kuwa na board ya ATC ni nini? Kama maamuzi ya nani atuuzie na mlipaji ichague wizara. Kwa njia hii ndiyo maana miradi mingi haifanyiki. How I wish hawa washenzi wakubwa wangepelekwa pale uwanja wa Jangwani halafu firing squad tu kama Jerry Rawlings. Puu!
 
Gazeti gani litaandika hii scandal hapa bongo kwa ufasaha? sidhani, nadhani tuprint vipeperushi kwa kiswahili then tusambaze upuuzi wa serikali yao
 
Tuombe mungu atupe uzima ifikapo 2015 tufanye maamuzi sahihi!!
 
Kikwete si safi inaelekea anatumia wasaidizi wake kuomba na kujisafisha pia!
 
..naona David Mataka alimlengesha Mmarekani kwa "agent" wa kihindi jamaa akachomoa!!

..sasa hebu jiulize ni lini umesikia balozi wetu anajaribu kum-redirect to Tanzania mwekezaji anayeelekea kupeleka mtaji wake Kenya,Rwanda,au Uganda.
 
inashangaza kuwa hata baada ya uozo wote aliofanya Mattaka Air Tanzania,bado akapewa ulaji mwingine kiushkaji na JK. licha ya kwamba che mkapa alimipiga chini kipindi chote alichokuwa madarakani 95-2005'.
hiii inaonyesha shida si mafisadi.,shida ni baba yao mafisadi ambaye yeye ndo anayewalinda waendelee kula kuku na ndafu ya taifa huku mamilioni wakitaabikika mijini na vijijini.

tutafika nchi ya ahadi au ndo tunapotezeana mda tu na walafi wanaokula mpaka wanajitapikia kwenye miguu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:target:
 
Nitabiri? Siku kukiwepo skendo ambayo Chenge hayumo nyota zitaanguka!!!! Huyo bwana ndiye mjumbe na mwenyekiti wa kamati ya maadili CCM. Unaona CCM ni chama cha aina gani? Thanks to Assange and his Wikileaks
 
Itabidi Dr. Hosea akanushe na hii habari sio kweli.Vinginevyo mimi naamini aliyoyasema yule balozi wa marekani yalisemwa na Dr. Hosea.
 
Hivi mabalozi wa tanzania huko ulaya nao wangekuwa wana looby hivi kutetea bidhaa za kilimo na viwanda za tanzania mbona japo supermarekt za huko zingekuwa na bidhaa mbili tatu za tanzania.

Hivi kuna balozo wa tanzania ameshwai kuomba audience na mkurugenzi wa supermaket kubwa US au UK kuona uwezekano wa tanzania japo tuuza asali.

Hawa wamarekani kweli ndio mabalozi. THis is economic intelligency inayotakiwa karne hii

..............To a greater degree than previously known, diplomats are a big part of the sales force, according to hundreds of cables released by WikiLeaks, which describe politicking and cajoling at the highest levels.
It is not surprising that the United States helps American companies doing business abroad, given that each sale is worth thousands of jobs and that their foreign competitors do the same. But like the other WikiLeaks cables, these offer a remarkably detailed look at what had previously been only glimpsed - in this case, the sales war between American diplomats and their European counterparts.
..................... http://www.nytimes.com/2011/01/03/b... Source: New York Times 2 January 2011&st=cse
 
Hii ni kiboko! Yaani inaonesha wazi kabisa kuwa David Mattaka, MD wa Air Tanzania alikuwa analazimisha Boeing wapitie kwa agent mhindi ili waongeze bei ya contract na vigogo walipwe rushwa zao kama issue ya radar na nyingine. Rushwa imekithiri sana serikali ya Kikwete na hawa wala rushwa wanaangaliwa tu. Hakuna mkataba unapita bila vigogo kupewa rushwa.

Nimejaribu kuiangalia hii cable kwenye website ya WikiLeaks sijaiona, umeipata wapi mkuu Gulioni tukaisome from the source?

Ukimsoma vizuri ameandika source ni New york times ukitaka kuziapata moja kwa moja zifuate hapa http://www.nytimes.com/interactive/2010/11/28/world/20101128-cables-viewer.html#report/boeing-07DARESSALAAM1249


Unaweza kuwa unatembelea na website ya guardian uk The US embassy cables | World news | guardian.co.uk
 
Watu wengine bwana, hizo ndio espionage wanazofanya wenzetu! kuna mtu humu JF aliwahi kuuliza, sisi, tunafanya nini?
 
Amani na Utlivu, Watanzania Tunapendana, Ukitaka iba iba vijisent, ole wako uibe kuku au kisimu cha tochi, tairi lako
 
Back
Top Bottom