More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

The fact kwamba vimejengwa kwenye ardhi ya Kenya inatosha kuwapongeza majirani.. Hongereni Nairobi inapendeza kwa mafly over na miundombinu mengine
Kwahyo ulichowapongeza hapa ni nini? Kwamba wamefaulu kuwavutia wawekezaji au wameendelea kiujenzi au ustawi wa wakenya umeimarika?

Nadhani bana ba Afrika, sasa tunapoteza dira, maono na matarajio ya kujipigania uhuru. Sisi ni wajinga kuliko machief walorubuniwa na wakoloni kwa vitambaa vya nguo na wakauza nchi zao.

Big up wakenya kwa Mobius yenu, haya ndo maendeleo, maumau waliyafia. Takataka nyingine msituletee... ni ujinga wa kiubongo huo. Majengo, maduka, tena kwa teknolojia msiyoijua, ni upuuzi sana.
 
Si ndio propaganda mnazolishana. Mbona wapo wakenya kibao tu wanajifanya WaTZ. Sisi tanzania tunajuana. Kunasiri ipo duniani kote watz pekee wana alama yao. Mtanzania yupo na alama ndugu. Huwezi ukajichanganya na kujifanya mtz usujulikane.

We have our mark. Nyie hamna alama yoyote. TZ ni zaidi ya uijuavyo. Wewe endelea na propaganda za kitoto. Sisi tukiamua kuanzisha propaganda dhidi yenu mnapotea.
Hata hivyo utaanzishaje duka pasi na soko, hao waganga wapo huko coz kuna wateja wao huko. Huku masoko yanapungua wanajitanua huko.
Ombaomba ndo kitu cha ajabu, pia ni kipimo cha ustawi bora, ingawa na ujinga pia upo. Wakenya hamshangai mtu anawezaje kusafiri nje ya nchi kwenda kuombaomba, na mkamuona kuwa ni maskini huyo?
 
Hata hivyo utaanzishaje duka pasi na soko, hao waganga wapo huko coz kuna wateja wao huko. Huku masoko yanapungua wanajitanua huko.
Ombaomba ndo kitu cha ajabu, pia ni kipimo cha ustawi bora, ingawa na ujinga pia upo. Wakenya hamshangai mtu anawezaje kusafiri nje ya nchi kwenda kuombaomba, na mkamuona kuwa ni maskini huyo?
Cha kushangaza kwamba hao ombaomba wana passport.
 
Kwenye social development tumewapiga tena pigo takatifu.

Maendeleo yanapimwa na vitu vingi.
Mf:
1. Political stability
2. Security
3. Gape between poor and rich
4. Availability of resources
5. Corruption index
6. Unit of citizens

Na mengine yafananayo na hayo. Wewe unapima maendeleo kwa kuangalia ratios zitokanazo na statistical records. Hizo record mara nyingi huchukua samples na kutengeneza calculation kisha unapata hizo ratios.
Hizo indicators ni za kwako. Indicators za World Bank ni hizi: Indicators | Data

Ukisoma hizo indicators, utaona kwenye social development, World Bank wanaongelea juu ya: ajira za watoto, nguvukazi, life expectancy, literacy rate, hali ya UKIMWI, school enrollment katika ngazi zote (msingi, upili na elimu ya juu), masuala ya ajira n.k.

Vilevile, unaongelea social development bila kuongelea hali za huduma za kijamii (shule, umeme, maji, elimu, barabara n.k.)?

Kwa upande mwingine econometrics ambazo serikali ya CCM utumia katika kujifanya Tanzania inaendelea? Si umesikia wanajisifia kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi duniani?

Hiyo ndio idea ya socialism. Sio capitalism ambayo wachache ndio wanafaidika.

Kwa hiyo hapa unataka kusema socialist countries are more socially developed than capitalist countries?
 
Cha kushangaza kwamba hao ombaomba wana passport.
Hapo sasa, hawa watu hawatumii akili kabisa. Mikoa ya Simiyu na Shinyanga huku kuna watu huwa wanafuata walemavu kuwapeleka Kenya kuombaomba, wao ndo Wamiliki wao.
 
Hataaaa.... Hamna cha Passport
Depay, amini hivyo hao si maskini hata kidogo. Huwa wanakuja kwa misimu, wana likizo za kurudi makwao nk. Wakamateni muwalazimishe wakaoneshe makwao, mtajuta mlizokuwa mkiwapa.
Tanzania haina watu masikini waloshindikana bana.
Anko Magu anakaza uzi, utakuja niambia. Wote tutabadili filosofi zetu.
 
Hizo indicators ni za kwako. Indicators za World Bank ni hizi: Indicators | Data

Ukisoma hizo indicators, utaona kwenye social development, World Bank wanaongelea juu ya: ajira za watoto, nguvukazi, life expectancy, literacy rate, hali ya UKIMWI, school enrollment katika ngazi zote (msingi, upili na elimu ya juu), masuala ya ajira n.k.

Vilevile, unaongelea social development bila kuongelea hali za huduma za kijamii (shule, umeme, maji, elimu, barabara n.k.)?

Kwa upande mwingine econometrics ambazo serikali ya CCM utumia katika kujifanya Tanzania inaendelea? Si umesikia wanajisifia kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi duniani?



Kwa hiyo hapa unataka kusema socialist countries are more socially developed than capitalist countries?
Hili nalo ni swali kaka? Kwahyo hujui ustawi wa jamii baina ya mataifa ya kijamaa na kibepari ya kijamaa huwa juu? Ktk mfumo wa kijamaa, jamii nzima huakikishiwa mahitaji yake muhimu, ni kwa kila mwanajamii lazima ayapate, kwakuwa tu ni sehemu ya jamii husika.
USA, kuna watu wanakosa huduma za afya kwakuwa ni maskini, Cuba wote huzipata kwakuwa tu ni wacuba.
 
Hizo indicators ni za kwako. Indicators za World Bank ni hizi: Indicators | Data

Ukisoma hizo indicators, utaona kwenye social development, World Bank wanaongelea juu ya: ajira za watoto, nguvukazi, life expectancy, literacy rate, hali ya UKIMWI, school enrollment katika ngazi zote (msingi, upili na elimu ya juu), masuala ya ajira n.k.

Vilevile, unaongelea social development bila kuongelea hali za huduma za kijamii (shule, umeme, maji, elimu, barabara n.k.)?

Kwa upande mwingine econometrics ambazo serikali ya CCM utumia katika kujifanya Tanzania inaendelea? Si umesikia wanajisifia kwamba uchumi wa Tanzania unakua kwa kasi duniani?



Kwa hiyo hapa unataka kusema socialist countries are more socially developed than capitalist countries?
Sasa hizo indicator ulizoziweka unajua lengo lake nini? Wewe hutumii hata akili kidogo tu. Mbona hawajaweka mambo ya security? Hujiulizi data hizo wanazipataje? Wewe hujui hizo data wanazipata kwa calculations zitokanazo na sample za watu wachache kisha wanatengeneza statistical data?
Lini umewasikia wakihesabu watu tangu tuhesabu miaka mingi iliyopita?
Wewe hujui hizo data ni za kupika? Hujui kuwa kunaformula wanazo ziweka nakupata majibu bila hata kwenda field.

Kwanini tukubali kupumbazwa na wazungu.
 
Sasa hizo indicator ulizoziweka unajua lengo lake nini? Wewe hutumii hata akili kidogo tu. Mbona hawajaweka mambo ya security? Hujiulizi data hizo wanazipataje? Wewe hujui hizo data wanazipata kwa calculations zitokanazo na sample za watu wachache kisha wanatengeneza statistical data?
Lini umewasikia wakihesabu watu tangu tuhesabu miaka mingi iliyopita?
Wewe hujui hizo data ni za kupika? Hujui kuwa kunaformula wanazo ziweka nakupata majibu bila hata kwenda field.

Kwanini tukubali kupumbazwa na wazungu.

yet 'YOU. YOU ARE THE GOD'. Watanzania mtatuonyesha mambo kweli! hahahahhaa
 
Hili nalo ni swali kaka? Kwahyo hujui ustawi wa jamii baina ya mataifa ya kijamaa na kibepari ya kijamaa huwa juu?

Ustawi wa jamii, siyo? Social welfare, right? Ebu toa data na stats ku-prove unachokisema.

Hayo mataifa ya kijamaa unayoyasema ni yepi? Na ya kibepari ni yepi?

Nchi inayotoa food stamps na unemployment wages utaiweka kwenye category ipi: ujamaa au ubepari? Marekani na mataifa mengi ya Ulaya yana taratibu hizi. Lakini mataifa yanayojiita ya kijamaa kama Tanzania (?) hayana utaratibu huu!!

Ktk mfumo wa kijamaa, jamii nzima huakikishiwa mahitaji yake muhimu, ni kwa kila mwanajamii lazima ayapate, kwakuwa tu ni sehemu ya jamii husika.

Unaongelea mambo ya kwenye vitabu au on the ground? Tukisema Tanzania ni nchi ya kijamaa, hicho ulichokisema ndivyo ilivyo? Cuba je? China? Urusi? Huko kote kila mwanajamii anaakikishiwa mahitaji yake muhimu? Kama ndivyo, nchi hizo si zingekuwa zinaoongoza kwenye human development index. Ebu angalia mwenyewe hapa: | Human Development Reports

USA, kuna watu wanakosa huduma za afya kwakuwa ni maskini, Cuba wote huzipata kwakuwa tu ni wacuba.
Ebu angalia hizi world health statistics:

a) za USA - http://www.who.int/gho/countries/usa.pdf, na

b) za Cuba - http://www.who.int/gho/countries/cub.pdf

On other hand, huduma za afya ni moja tu ya indicators za maendeleo. Yes, Cuba's healthcare system is one of the best (and the only best amongst the so called socialist countries), but kuna indicators zingine, ambazo Cuba is struggling.

Cuba ni exceptional case kati ya socialist countries kwenye suala la healthcare. Soma hapa kidogo: Cuba's Health Care System: a Model for the World | The Huffington Post

Taja nchi zingine zinazojiita za kijamaa ambazo zinafanya vizuri kwenye healthcare.
 
Ustawi wa jamii, siyo? Social welfare, right? Ebu toa data na stats ku-prove unachokisema.

Hayo mataifa ya kijamaa unayoyasema ni yepi? Na ya kibepari ni yepi?

Nchi inayotoa food stamps na unemployment wages utaiweka kwenye category ipi: ujamaa au ubepari? Marekani na mataifa mengi ya Ulaya yana taratibu hizi. Lakini mataifa yanayojiita ya kijamaa kama Tanzania (?) hayana utaratibu huu!!



Unaongelea mambo ya kwenye vitabu au on the ground? Tukisema Tanzania ni nchi ya kijamaa, hicho ulichokisema ndivyo ilivyo? Cuba je? China? Urusi? Huko kote kila mwanajamii anaakikishiwa mahitaji yake muhimu? Kama ndivyo, nchi hizo si zingekuwa zinaoongoza kwenye human development index. Ebu angalia mwenyewe hapa: | Human Development Reports


Ebu angalia hizi world health statistics:

a) za USA - http://www.who.int/gho/countries/usa.pdf, na

b) za Cuba - http://www.who.int/gho/countries/cub.pdf

On other hand, huduma za afya ni moja tu ya indicators za maendeleo. Yes, Cuba's healthcare system is one of the best (and the only best amongst the so called socialist countries), but kuna indicators zingine, ambazo Cuba is struggling.

Cuba ni exceptional case kati ya socialist countries kwenye suala la healthcare. Soma hapa kidogo: Cuba's Health Care System: a Model for the World | The Huffington Post

Taja nchi zingine zinazojiita za kijamaa ambazo zinafanya vizuri kwenye healthcare.

bro don't stress yourself with data. here people go by personal thoughts, heresy and fanatical wishes. Scientific data is foreign in this land. Welcome to Jamii forums. Where they question scientifically researched data and celebrate personal views and assumptions. Great thinkers indeed.
 
hehehe. 'kwikwikwi' leo niko class I swear. My friend just confirmed to me kwamba this kwikwikwi ni kicheko. THE GOD! eh kweli!
Tatizo uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno kiasi cha mbegu ya mchicha. Haionekani, zaidi ya adopt vitu tu bila kujiweka wewe binafsi huru. Nakushauri tafuta kuwa spiritual aware kisha utaelewa maana ya signature yangu. Zaidi ya hapo nitakuwa nampigia mbuzi gita.
 
Tatizo uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno kiasi cha mbegu ya mchicha. Haionekani, zaidi ya adopt vitu tu bila kujiweka wewe binafsi huru. Nakushauri tafuta kuwa spiritual aware kisha utaelewa maana ya signature yangu. Zaidi ya hapo nitakuwa nampigia mbuzi gita.

hehehe but why would I argue with THE GOD, what do I know hehehe. YOU YOU ARE THE GOD. tell me more.
 
Ok. Rejea kwenye mada.

hehehe which one when you reason funny, refuting scientifically researched Data and insist that what you feel and personally believe is god truth. Maybe it is , after all YOU YOU ARE THE GOD. Topic will only be relevant if you choose to be responsible enough to appreciate researched data and stop being jingoistic about generally everything not Tanzanian. There are things good about Tanzania, mention them in their own forums and you will not see us in there and if we do visit said forum, it will be to celebrate with you not blindly throw tantrums over whose Sugarcane is sweeter. Be THE GOD that you claim to be...THE GOD.
 
Back
Top Bottom