More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

More pictures of Two Rivers Mall..largest mall in SS Africa outside S.A

Nikuulize swali, hivi lile daraja la Nyerere, na mabarabara mengine, hata stendi ya mkoa Morogoro nk, yasingeweza kujengwa na watz wenyewe, kwakuwa taaluma hatuna au mitaji hatuna?

Hapo ndo ninapouona ujinga huu, haswa kuona jengo tu limejengwa na wageni, linavutia, nasi kuona kwa hilo tumeendelea, mi siamini kama hayo nayo ni maendeleo.

Mfano, mi maskini, Bakresa amenipa bilioni moja, akanijengea nyumba nzuri na mengineyo,yote ndani ya wiki 2 tu. Je nami naweza pita mtaani na kujinadi kuwa nimeendelea?

Na wenye akili nao wanaweza kumsifia huyu mtu kuwa jamaa ameendelea? Najua uko vizuri, utakuwa umenielewa nini namaanisha hapo.
Labda ulikuwa hujanielewa..Sijui umri wako chifu lakini imeshawahi sikia kampuni inaitwa MECCO? Vitu walivyofanya? Tanganyika Packers? Kaudo? Machine tools? Tanga cement? Mbolea Tanga? Sungura text?Etc etc... vitu Hivi na vingine vingi viliharibiwa na ubinafsi na roho mbaya ya mijitu meusi.. Kutokana na roho mbaya hizi, ubinafsi uliopitiliza na usanii first class tenda hawapewi tena waswahili siku hizi hata hizo za madaraja unayosema..Hata za kujenga magorofa tu hapa mjini wanapewa wachina.. mijitu meusi ndoa tulivyo
 
kama babangu mzazi hajaingia mall yet we have almost 100 times the number of malls that Tanzania has, na babako jee?😀😀😀😀😀😀😀😀😀 very funny statement...its like mcanada anatusi mmarekani eti hajawahi ona white house😛😛😛
Babangu kwa sasa mahitaji yake ni chakula, tena ugali na maharagwe yaloungwa safi kwa nazi toka Bwagamoyo.

Sukari kwa chai yake, ardhi alime avune kidogo kwa ukame huu, wanae wasome hadi juu, asafiri vyema kwa wanawe,mavazi bora ayapate, maji safi japo ya kiasili ayapate, anywe pia na kapombe kake kamburudishe, hospitali apate huduma nzuri japo kwa sasa hapa si pazuri sana.

Babako anahtaji kipi? Vipi unampatia, wewe au nchi yako inampatia?
 
Labda ulikuwa hujanielewa..Sijui umri wako chifu lakini imeshawahi sikia kampuni inaitwa MECCO? Vitu walivyofanya? Tanganyika Packers? Kaudo? Machine tools? Tanga cement? Mbolea Tanga? Sungura text?Etc etc... vitu Hivi na vingine vingi viliharibiwa na ubinafsi na roho mbaya ya mijitu meusi.. Kutokana na roho mbaya hizi, ubinafsi uliopitiliza na usanii first class tenda hawapewi tena waswahili siku hizi hata hizo za madaraja unayosema..Hata za kujenga magorofa tu hapa mjini wanapewa wachina.. mijitu meusi ndoa tulivyo
Okay! Ulichokimaanisha hapa ni poor management, hili si kosa la itikadi bali jamii. Niaminivyo mm, ubinafsi ndo dhambi kuu kuliko zote. Kama Mungu yupo kweli, hii ndo atakayoanza nayo.

Hata Lucifer aliifanya hii. Niaminivyo bnadamu hafungwi kwa sheria bora hata kamba inaweza ikamdhibiti. Ujamaa ulitakiwa uwe imani na dini ya watu... mtu achomwe kwa ndani kwakuwa mbinafsi, asijifikirie yeye bali jamii.

Hili ndo kosa kuu alilolitenda mwl. Nyerere, aliwaamini watu akasahau kuwa ubinafsi wao ndo ubinadamu wao. Akaziachia taasisi zingine kama dini, shule, mila nk zisihuubiri ujamaa.

Mbona makaka wawili wanaweza wakaendesha kampuni vizuri tu. Ubinafsi uloviua viwanda vyetu unang'oleka kiurahisi tu mkuu.

Nia, sababu, zikiwepo uwezo utapatikana tu. Watu walidahi nguo, simu, radio, na dawa za meno,.walipozipata hawakutosheka. Leo ukiwauliza watu, watasema enzi za mwalimu, waliokuwepo huko waliikataa enzi hizo.

Binadamu kwa asili ni mbinafsi, bila yeye kuwa juu kamwe hatoridhika. Cha msingi hapa ni kumuondolea tu hili pepo la ubinafsi... Buddha alishazitoa kanuni zake.
 
15877175_2079022962397197_4392551886427783168_n.jpg


15876920_247228572366381_4527068797554655232_n.jpg
 
Okay! Ulichokimaanisha hapa ni poor management, hili si kosa la itikadi bali jamii. Niaminivyo mm, ubinafsi ndo dhambi kuu kuliko zote. Kama Mungu yupo kweli, hii ndo atakayoanza nayo.

Hata Lucifer aliifanya hii. Niaminivyo bnadamu hafungwi kwa sheria bora hata kamba inaweza ikamdhibiti. Ujamaa ulitakiwa uwe imani na dini ya watu... mtu achomwe kwa ndani kwakuwa mbinafsi, asijifikirie yeye bali jamii.

Hili ndo kosa kuu alilolitenda mwl. Nyerere, aliwaamini watu akasahau kuwa ubinafsi wao ndo ubinadamu wao. Akaziachia taasisi zingine kama dini, shule, mila nk zisihuubiri ujamaa.

Mbona makaka wawili wanaweza wakaendesha kampuni vizuri tu. Ubinafsi uloviua viwanda vyetu unang'oleka kiurahisi tu mkuu.

Nia, sababu, zikiwepo uwezo utapatikana tu. Watu walidahi nguo, simu, radio, na dawa za meno,.walipozipata hawakutosheka. Leo ukiwauliza watu, watasema enzi za mwalimu, waliokuwepo huko waliikataa enzi hizo.

Binadamu kwa asili ni mbinafsi, bila yeye kuwa juu kamwe hatoridhika. Cha msingi hapa ni kumuondolea tu hili pepo la ubinafsi... Buddha alishazitoa kanuni zake.
hapa tunaelewana lugha sasa kiongozi..ni kweli ubinafsi na roho mbaya waweza ng'olewa ama kupunguzwa kwa kiasi kikubwa kwa bakora (angalia Rwanda, Uganda ya Iddi Amin ama Misri ya Nasser ama Burkina Faso ya Thomas Sankara)..Anyway tuna njia ndefu sana bado waafrika weusi kwa kuwa hata vile vitu ambavyo tumeachiwa na wenzetu tayari vimewekewa mfumo tunataka kupiga dili kuviharibu..Nani alijua kuwa South Afrika watakuwa na mgao mkali wa umeme kama sisi miafrika mingine?yote hayo dili ubinafsi roho mbaya kwenye tenda za maintenance ya miundombinu badala ya kufuata weledi
 
hapa tunaelewana lugha sasa kiongozi..ni kweli ubinafsi na roho mbaya waweza ng'olewa ama kupunguzwa kwa kiasi kikubwa kwa bakora (angalia Rwanda, Uganda ya Iddi Amin ama Misri ya Nasser ama Burkina Faso ya Thomas Sankara)..Anyway tuna njia ndefu sana bado waafrika weusi kwa kuwa hata vile vitu ambavyo tumeachiwa na wenzetu tayari vimewekewa mfumo tunataka kupiga dili kuviharibu..Nani alijua kuwa South Afrika watakuwa na mgao mkali wa umeme kama sisi miafrika mingine?yote hayo dili ubinafsi roho mbaya kwenye tenda za maintenance ya miundombinu badala ya kufuata weledi
Bakora zije zitumike mwishoni lakini, wakati wengi wetu tutakapokuwa tumeshaumaliza ubinafsi mioyoni mwetu.

Wakaidi wachache kupitia nguvu ya wengi, bakora zitawarudisha kwenye track.

Vinginevyo, binadamu atatafuta vinjia tu vya kuzikwepa hizo bakora, na kwa ubinafsi wetu, hata wacharaza bakora wenyewe watazicharaza za chelewa za mnazi, maigizo.
 
heheheh lakini brathe si uwachane na hu mse. It's like reasoning na makanga wa mat za Lunga Lunga. Just leave him.
Hehe
1483788429323.jpg


Eti afadhali angezaa uji [emoji23][emoji23][emoji23] naisha hapa
 
Hiyo treni mbona imechoka sana kama gari la kuzoa taka? Ndo inaenda Uganda? Hahahahaha

1242002.jpg

A Tanzanian man, his wife, and the street beggars they were arrested with on Wednesday night for collecting money in Embu town. Photo/KNA

A Tanzanian man and his wife have been arrested for allegedly placing physically challenged people on the streets of Embu town to beg for money.

Six people living with disabilities, aged between 20 and 25, and two who allegedly pushed the wheelchairs of the severely handicapped were also apprehended on Wednesday night.

Embu West OCPD Francis Sang' said the nine admitted hailing from Tanzania but added that the organiser of the ploy had their identification documents.

He said the arrests followed a tip-off from members of the public, who informed them the group stayed at a hotel in the town.

Sang' said they were told members were moved to various strategic locations in the morning and taken back to the hotel later every day.

Coins amounting to Sh3,844 were recovered from the suspects being held at Embu police station, he said, adding they reported collecting a lot of money.

The OCPD said they tracked down the organiser and that the group will be arraigned in court once investigations are completed.

He asked residents to inform police of suspicious people in their neighbourhoods in an effort to curb crime.
 
Kuna hata mahali ktk hii article inaonesha hawa jamaa wanaokuja kuombaomba huko ni maskini makwao? Niliandika hapa, hawa si maskini dizaini ni matapeli tu.
Haya, hili nilikuwa silijui, kwamba hata na wakenya wenyewe huwafaata huku, walemavu waje huko. Huu ni utapeli tu, kamwe hauwezi kuhusishwa na uchumi na ustawi wa jamii ktk nchi husika.
Kama utawafatilia wasukuma, ni watu wakujituma sana. Wanafuga na kulima. Wako vizuri kiuchumi, mila zao tu ndo zinawarudisha nyuma.
Hadi leo, maisha ya wasukuma ni ya kijamaa, hakuna tatizo la mtu binafsi huku, yote ni ya jamii. Hakuna mtu aishiye hovyo eti kisa ni mlemavu.

Tusaidieni kuwarudisha hao, si maskini kama mnavyoaminishwa huko.


Hivi mtu aliye na maisha mazuri anaweza chukuliwa awe ombaomba nchi jirani kweli?
 
Kuna hata mahali ktk hii article inaonesha hawa jamaa wanaokuja kuombaomba huko ni maskini makwao? Niliandika hapa, hawa si maskini dizaini ni matapeli tu.
Haya, hili nilikuwa silijui, kwamba hata na wakenya wenyewe huwafaata huku, walemavu waje huko. Huu ni utapeli tu, kamwe hauwezi kuhusishwa na uchumi na ustawi wa jamii ktk nchi husika.
Kama utawafatilia wasukuma, ni watu wakujituma sana. Wanafuga na kulima. Wako vizuri kiuchumi, mila zao tu ndo zinawarudisha nyuma.
Hadi leo, maisha ya wasukuma ni ya kijamaa, hakuna tatizo la mtu binafsi huku, yote ni ya jamii. Hakuna mtu aishiye hovyo eti kisa ni mlemavu.

Tusaidieni kuwarudisha hao, si maskini kama mnavyoaminishwa huko.


Hivi mtu aliye na maisha mazuri anaweza chukuliwa awe ombaomba nchi jirani kweli?
 
Kuna hata mahali ktk hii article inaonesha hawa jamaa wanaokuja kuombaomba huko ni maskini makwao? Niliandika hapa, hawa si maskini dizaini ni matapeli tu.
Haya, hili nilikuwa silijui, kwamba hata na wakenya wenyewe huwafaata huku, walemavu waje huko. Huu ni utapeli tu, kamwe hauwezi kuhusishwa na uchumi na ustawi wa jamii ktk nchi husika.
Kama utawafatilia wasukuma, ni watu wakujituma sana. Wanafuga na kulima. Wako vizuri kiuchumi, mila zao tu ndo zinawarudisha nyuma.
Hadi leo, maisha ya wasukuma ni ya kijamaa, hakuna tatizo la mtu binafsi huku, yote ni ya jamii. Hakuna mtu aishiye hovyo eti kisa ni mlemavu.

Tusaidieni kuwarudisha hao, si maskini kama mnavyoaminishwa huko.
 

Check out the laser and water fountain show at Two Rivers. Epic!

Nairobi is Coming of age ....you know the next mall bigger than Two rivers will be Next level shit .....and kedo 100,000m2
 
Nairobi going the Dubai style!! A first of its kind in Africa ama niaje??(fountains)
 
Nadhani unapendezwa, nami nitumie lugha hzo za kijinga, cha afadhali sikuzaliwa ktk mataifa hayo. Mm ni mtz.

Natamani nikuambie we ubaki na chako nami changu, kila mtu akiaminicho kuwa ni bora kwake. Mi naamini sina nikutegemeacho wewe, sijui wewe kwangu.

Jambo moja hulijui, hawa wa Jf ni miongoni mwa maraisi wajao wa Tz, na hii ndo misimamo yao. Hauko timamu, ungechukua tahadhari.

Hivi hata unalijua hili taifa wewe? au ndo historia hujaisoma?
Inawezekana bi mkubwa ni miongoni mwa wachache walio kama mama yake Yesu.

Hofu kwangu, wakenya walio wengi, eidha wanauchikia au watauchukia mfumo wao siku si nyingi. Nawaombea uchaguzi mwema. Pia nawatahadharisha, Tz ya leo ni ya kibepari, makosa yenu ni kufa kufaana.
utter nonsense!! kwanza wewe mwenyewe hujielewi utaelewaje unachokiropoka humu? eti lugha za kijinga! kiswahili chenyewe kinaandikwa kwa msaada wa kingereza
 
Back
Top Bottom