More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

C6 na charminglady tunaomba uzoefu wenu tafwadhali. this is serious

Mauzoefu yetu haya hapa......

Kwanza kabisa, kukutana JF i.e MMU na kuwa wapenzi / wachumba ni sawa na kukutana na mtu yeyote mahali popote na kuwa wapenzi / wachumba hatimaye mke na mume.

Si kwamba mnaanza kutupiana PM za kutongozana at the first time, bali mnaweza kutanishwa na event kama White Party n.k. Baada ya hapo mkaendelea kuwasiliana kama kawaida, mkafahamiana na mwisho wa siku mnaanza kudevelop interest hatimaye wapenzi »» wachumba »» ndoa!

Hivyo basi naweza kusema kuwa kukutana JF / MMU hakuna tatizo.....

Mie mwenyewe shahidi.....

C.C. Simplicity
 
Last edited by a moderator:
Mauzoefu yetu haya hapa......

Kwanza kabisa, kukutana JF i.e MMU na kuwa wapenzi / wachumba ni sawa na kukutana na mtu yeyote mahali popote na kuwa wapenzi / wachumba hatimaye mke na mume.

Si kwamba mnaanza kutupiana PM za kutongozana at the first time, bali mnaweza kutanishwa na event kama White Party n.k. Baada ya hapo mkaendelea kuwasiliana kama kawaida, mkafahamiana na mwisho wa siku mnaanza kudevelop interest hatimaye wapenzi »» wachumba »» ndoa!

Hivyo basi naweza kusema kuwa kukutana JF / MMU hakuna tatizo.....

Mie mwenyewe shahidi.....

C.C. Simplicity

Funguka kwa ushahidi zaidi sista charminglady....
Na mie najiandaa na ushuhuda wangu!...
 
Last edited by a moderator:
Dogo umefikiria vizuri lakini?

Hao walioko makanisani na kwenye sherehe za uhuru ndio hao hao walioko huku JF kwa ID nyingine. Unadhani ukimkuta snowhite kanisani utamjua? au ukimkuta amu yuko zake kitaa au Ennie akiwa kliniki utamjua?

unataka mifano ya successful marriage za wana JF au umejitia upofu tu? CC Preta

huyu analeta utani........
 
mkuu ni wapi pametengwa pa kumpatia mpenz? Pamejengwaje ili nisipotee nkiwa naenda?
 
eheeee........sasa basi.......wewe njoo na zako hizo 100.....nami nije na zangu 327......za kwamba.....MMU ni sehemu salama......ya kupata mwenza.......tena naleta kwa kiswahili fasaha..........

Dah! JF? yaani takribani unagonga sababu moja kila siku mwaka mzima, hadi raha!
 
Namshangaa sana huyu Simplicity, hivi kwani kuna utofauti gani wa kukutana JF na sehemu zingine. Ni kama mtu anayevutiwa na mwingine akiwa katika sehemu yoyote kisha wakaanza kufahamiana taratibu mwisho wakaoana!!!!

Mtoa mada atabaki kufahamu kuwa hakuna, hebu kam zis wei tukapate breakfast my hezbend @C6.....

images

ahsante kwa maneno mazuri wife wangu. na hizi mvua za mwanza mwee balaa... njoo blanketi langu
 
Last edited by a moderator:
ahsante kwa maneno mazuri wife wangu. na hizi mvua za mwanza mwee balaa... njoo blanketi langu

"Jeuri hawana watabaki kuguna"

Watuwache tupumuwe miaka 100...... Mekujaa kwa spidi kali kuliko ya husen bolt
Na waendelee kusubiri ushahidi wa picha!!
 
mkuu ni wapi pametengwa pa kumpatia mpenz? Pamejengwaje ili nisipotee nkiwa naenda?

Mapi unatafuta mwenza MMU, na wale uliowaacha mtaani unaokutana nao? Kuweni wanaume jamani, face ladies physically, ukimface mwanamke kihivyo atakuheshimu, wanawake wanaporwa haki yao ya kutongozwa face-face, hatari!
 
Naamini inawezekana kukutana na mtu hapa jukwaani na mkawa na Kaisha. Tatizo lako Simplicity ulitaka uliekutana nae awe na Vogue, Benzi au Verossa kama Mpwa wangu Mentor alivyosema. Jamani watu WA JF tuliowengi tuna maisha ya kawaida sana sio kweli kuwa kila mtu Yuko na goodlife kivileeee

Kuwa mwanaume aisee, face a woman physically.
 
Back
Top Bottom