More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

There might be such a chance, lakini ni ya uwezekano wa kushinda bahati nasibu ya Mimi ni Bingwa ya airtel kwa wiki kumi mfululizo.

Ukikutana na mwanamke/mwanaume Jf kwa kwa issue tofauti na mapenzi, may be mtu aliweka uzi akasema anauza kiwanja au shamba, au simu au kwa dili lolote la kibiashara au la kimaisha, hatimaye mkaamua kukutana (with no sexual drives attached) physically kwa minajili ya kufanikisha hilo dili na sio kutaka kuanzisha uhusiano, halafu katika kufanikisha dili lenu mkawa mmezoeana na hatimaye mkaanzisha uhusiano hapo nitakubaliana na wewe.

Lakini kuanza kumtongoza mtu MMU humfahamu kwa intention tofauti kama nilivyoeleza hapo juu, ni majanga usipime! There are several good reasons:

4. MMU watu wengi wapo desperate (wengi wao wameionja joto ya jiwe kwenye mahusiano, look at their threads) na mahusiano ambayo mengi ni kwa ajili ya kungonoana, wapo wanaotafuta wenza lakini they are doing it wrongly pia, come on, MMU sio shopping mall ya wanawake au wanaume.

5. MMU ni potential target ya akina Yahya (mtu anaweza kupretend kwa muda wa kutosha kukupata, lakini lazima ulie mwisho wa siku)

6. Kuweka uzi directly unatafuta mwenza au kuonyesha hisia wazi wazi kwamba unatafuta mwenza, you must be questionable na lazima nikuingize kwenye numbers 1 and 2, unless you are kidding.

7. The BIG question is: Mtu anayetafuta mwenza MMU ambaye hata hajulikani, inakuwaje ameshindwa kutafuta kutoka kwenye makundi ya watu anayokutana nayo?

Naenda kanisani, twendeni tinna cute Sista sister Ennie, etc.,

Haya tumeshatoka kanisani...sasa kesho twende Hija bagamoyo ukatafute mchumba uko...
 
Last edited by a moderator:
Mapi unatafuta mwenza MMU, na wale uliowaacha mtaani unaokutana nao? Kuweni wanaume jamani, face ladies physically, ukimface mwanamke kihivyo atakuheshimu, wanawake wanaporwa haki yao ya kutongozwa face-face, hatari!
yenyewe nikiwa nae muda wote yupo JF, kwanini nisikamate fursa????
 
Haya tumeshatoka kanisani...sasa kesho twende Hija bagamoyo ukatafute mchumba uko...

Hatariii, huko watakuwa wamevaa full hijab na masks, kuna kuingia mkenge pia!
 
Wapo wengi wenye mahaba zaidi yake. Umekutana na mmoja tu, fanya comparison.

Na huu uwongo wenu wa kumdanganya mtu mahaba unayonipa sijawahi kupata kwa mwanaume mwingine, hali umemwambia wewe hujawahi kuwa na mwanamke na bikira yako imetoka kwa sababu ya kuendesha baiskeli, nadhani source ni MMU.

Ongea yote lkn sie yetu yanaenda hatujali lolote.....
 
sister wewe tukikutana live! Kumbe wakatoliki mna hija! Nilidhani wale wengine.

Embu weka vzuri hapo tulikutana au tukikutana? Yap hii ni hija ya wanawake wakatoliki tanzania (WAWATA) lakini pia wengine wanakaribishwa kujumuika nasi
 
Mitaa imejaa wanawake, Kimara, Mwenge, Posta, Knyama na kwingineko. Ukizunguka tu leo hii, nakuhakikishia kama upo vizuri unafish mmoja fasta. tinna cute liliendi christine ibrahim Cynthia Chriss
sasa hao walioko kwenye hiyo mitaa si ndio haohao walioko huku JF!!!??? jamani wadada/wanawake wa JF mnaishi hewani au sayari nyingine? au unaposema huko mitaani unamaanisha wale ambao hawajajiunga JF au mtandao wowote wa kijamii??? je tatizo ni mahali watu walipokutana na kuanza uhusiano?? kama mtu anatabia njema kuwepo JF au mtandao wowote wa kijamii hakuwezi kubadili tabia yake.
 
Last edited by a moderator:
sasa hao walioko kwenye hiyo mitaa si ndio haohao walioko huku JF!!!??? jamani wadada/wanawake wa JF mnaishi hewani au sayari nyingine? au unaposema huko mitaani unamaanisha wale ambao hawajajiunga JF au mtandao wowote wa kijamii??? je tatizo ni mahali watu walipokutana na kuanza uhusiano?? kama mtu anatabia njema kuwepo JF au mtandao wowote wa kijamii hakuwezi kubadili tabia yake.

The problem is where, how and why.
 
Embu weka vzuri hapo TUKIKUTANA au tukikutana? Yap hii ni hija ya wanawake wakatoliki tanzania (WAWATA) lakini pia wengine wanakaribishwa kujumuika nasi

Both words are correct.
 
usi generalise mimi nishaoa kupitia humu humu mtoto mzuri.............!!
 
Back
Top Bottom