Chukua idadi ya watu wa kenya na Tanzania, linganisha na bajeti ya nchi hizi mbiliwanetuzidi kwa lipi??? eleza vzr kwa kina ukiwa na supporting evidences
tz tuko 53.4 mChukua idadi ya watu wa kenya na Tanzania, linganisha na bajeti ya nchi hizi mbili
Yani population zaidi ya Africa Mashariki combined Tz ,Rwanda, Burundi, Uganda and Kenya. πππcorrection: more than 190 million have used the dreamliner
Yani population zaidi ya Africa Mashariki combined Tz ,Rwanda, Burundi, Uganda and Kenya. πππcorrection: more than 190 million have used the dreamliner
Wacha uongo chauffeur wa muindi. Tz mko 55 million na budget ya $14 billiontz tuko 53.4 m
kenya wako 50m. haya nipe budget ya kenya π
na kama huna idea yoyote ya uchumi ni heri tuishie hapa maana usije ukajitia ujuaji alaf u knw nothing
tanzania budget is 16b usdYani population zaidi ya Africa Mashariki combined Tz ,Rwanda, Burundi, Uganda and Kenya. πππ
ATCL labda tuhesabu wale marubani wawili waliikomboa toka Canada ππ
Wacha uongo chauffeur wa muindi. Tz mko 55 million na budget ya $14 billion
Kenya 45million budget ya $30 billion ππ
Ujinga wa huyu Bleitz ni kujifanya hajui wakati ukweli anaujua.Haha kwa hiyo umeamua kujitoa akili nakuamua kujifanya hufahamu. Good for u.
Ujumbe huu umfikie Blietzkrieg:
Mimi ningewashauri waachane na ndege watafute kwanza uwezo wa kupata aridhi.yani ardhi ni sumu mbaya sana kwa wakenya yani watu hawana ardhi ya kujenga na uwezo wa kujenga nyumba zenyewe ππππ
So what brocorrection: more than 190 million have used the dreamliner
Hata hivyo nyinyi pia sio level yetu sisi Tanzanians na ndio maana tumeanza kuwatoa Wakenya katika major positions ili wasifanye hujuma ya viwanda na makampuni yetuSiku nyingine mkitaka kutufananisha na Kenya muwe nafikiria kwanza labda mjena issues za WAKIMBIZA UPEPO. Maswala ya kiuchumi acheni kabisa sisi sio wa level yenu.
Mkuu soma vizuri mimi mpareHata hivyo nyinyi pia sio level yetu sisi Tanzanians na ndio maana tumeanza kuwatoa Wakenya katika major positions ili wasifanye hujuma ya viwanda na makampuni yetu
India na China then London na USA
Point Nzuri sana, Actually Kenya budget in reality is much lower than Tz budget πtanzania budget is 16b usd
katika hio budget 75% ni internal and rest is loan and funds
View attachment 767833 View attachment 767834
kenya budget is 26b
but 17b usd from internal source and rest 9b usd from loan and funds
View attachment 767835
je umejifunza kitu hapoπππππ
uneona tofaut ya loan and funds in the budget???
tanzania is 3b while kenya is 9bπππ
..What a hopeless thread!correction: more than 190 million have used the dreamliner
Kenya Airways!Heeee, we ni pimbi kabisa! Wapi nimetaja KLM?
haya tuoneshe ardhi yako maskini wa kutupwa weweNashangaa mtu mzima anaongelea ndege. Wakati hana mahali pa kujenga nyumba yake. Nusu ya aridhi ya kwao inashikiwa na familia moja. Si ujinga huu?
Nyang'au ndiyo mlituibia ndege zetu mlipo vunja first EAC sasa mnatucheka Kwa kutuita DEADcorrection: more than 190 million have used the dreamliner
Nyang'au ndiyo mlituibia ndege zetu mlipo vunja first EAC sasa mnatucheka Kwa kutuita DEAD
haya tuoneshe ardhi yako maskini wa kutupwa wewe
So what bro
πππ JNIA imegeuka na kuwa port huko Watu wanavukishwa flooded aistrip kwa speed boats...hebu wekeni Picha kama mnafikiri nadanganya ππUjinga wa huyu Bleitz ni kujifanya hajui wakati ukweli anaujua.